Hyo factor haileti tofauti kubwa sana kwenye gharama za ujenzi,gharama za ujenzi zinatofautiana kulingana na sqm za jengo na aina ya building materials usedInawezeka kweli gharama za ujenzi zikawa juu kwa mikao kama Morogoro, Tanga , lindi , kilimanjaro na Arusha kuliko Dar es salaam ?