Makadirio ya ujenzi Contemporary ya room 3

Makadirio ya ujenzi Contemporary ya room 3

Hapo ni sawa na mm niseme hivyo kwako, kuwa una kichwa kizito ah huelewi

Nadhani Hadi hapa kwanza tumekubaliana hiyo 189sqm sio ukubwa wa nyumba. Hili limeisha

Huo urefu na upana, kwa nn unakataa hauwakilishi ukubwa wa nyumba? Hili ndio ulipaswa kunijibu
Kwa nn unakataa 13.3 times 18.2 sio ukubwa wa hiyo nyumba. Nadhani tuanzie hapa
Jioni njema chief!
 
Kama hujui sqm znapatkana vp ,swali ambalo nila mtoto wa diploma anaechukua engineering ,sasa nawezaje kutoa maelezo zaidi?
Sijui square metre zinapatikana vipi? Ww unaota au

Ww ulisema ukubwa wa hiyo nyumba ni 189sqm, mm nikakuambia hapana. Sasa ulitakiwa kusema kwa nn unasema hiyo nyumba ukubwa wake ni 189sqm na hiyo 189sqm umeipataje. Haya yote hujayajibu

Kuhusu taaluma yangu huifahamu
 
Mfano:

Jengo lina 13m x 15M ,sasa kwa akili za layman atasema hilo jengo lina 195sqm,
Kitu ambacho sio sahihi ,sababu jengo lina consists cona tofauti tofauti ,nandio maana tunatumia program mbalibali kupata sqm za majengo..
 
Kaka ebu achana na huyo mtu,hana anachojua kuhusu Building Square metres calculation
Ww niambie hiyo yako 189sqm umeipataje?
Maana ulisema umefanga calculation. How
Maana hiyo 189sqm ya floor area inaweza kuexclude baadhi ya space humo ndani, ndio nataka nijue ww umeipataje uone kama utakua sawa na waloyoweka kwenye huo mchoro

Wwka calculation hapa za hiyo 189sqm kama hujachemsha ndugu engineer.
 
Mfano:

Jengo lina 13m x 15M ,sasa kwa akili za layman atasema hilo jengo lina 195sqm,
Kitu ambacho sio sahihi ,sababu jengo lina consists cona tofauti tofauti ,nandio maana tunatumia program mbalibali kupata sqm za majengo..
Jengo lina 13 kwa 15?? How
Na ww ulisema hiyo 189sqm umeipata baada ya kufanya calculation, so 13×15=189??
 
Sijui square metre zinapatikana vipi? Ww unaota au

Ww ulisema ukubwa wa hiyo nyumba ni 189sqm, mm nikakuambia hapana. Sasa ulitakiwa kusema kwa nn unasema hiyo nyumba ukubwa wake ni 189sqm na hiyo 189sqm umeipataje. Haya yote hujayajibu

Kuhusu taaluma yangu huifahaW

Ww niambie hiyo yako 189sqm umeipataje?
Maana ulisema umefanga calculation. How
Maana hiyo 189sqm ya floor area inaweza kuexclude baadhi ya space humo ndani, ndio nataka nijue ww umeipataje uone kama utakua sawa na waloyoweka kwenye huo mchoro

Wwka calculation hapa za hiyo 189sqm kama hujachemsha ndugu

Jengo lina 13 kwa 15?? How
Na ww ulisema hiyo 189sqm umeipata baada ya kufanya calculation, so 13×15=189??
Aisee una kichwa kigumu sana ndugu yangu ,ebu soma vzuri msg yangu
 
Aisee una kichwa kigumu sana ndugu yangu ,ebu soma vzuri msg yangu
Mwanzo ulisema 189sqm, Kuna mtu akauliza umeipataje, ukasema umefanya calculation
Sasa hivi unassma ni 195sqm

Lakini mm nilikuuliza kwa nn unasema ukubwa wa nyumba ni 189sqm, hapa hadi sasa hujanijibu
 
samahani mleta mada nipo nje ya mada kidogo,mimi ni fundi wa kufunga cctv camera,electric fence,gate motor pamoja na video door bell,kwa mwenye kuhitaji huduma naomba tuwasiliane kwa namba 0622667749 au 0674376787 nipo Dar es Salaam
 
Back
Top Bottom