Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ben umenitoa machozi. damu ya Mawazo isipumzike mpaka ijipatie kisasi kwa wale waliotoa uhai wake bila sababu yoyote. Damu yake na iwe chachu ya mabadiriko ya kweli ambayo mpaka sasa ni maigizo na geresha! Pumzika kwa amani mwana mwema wa Tanganyika!
Heshima Mkuu! Historia kwa vizazi vijavyo.Shukrani sana Petro
You CCM g**Y and a bunch of butchers,
If you really mean that Alphonce Mawazo is a weed smoker.........Then why killed him?????A weed smoker must be out of his/her senses. You're the one, that's why you killed Mawazo.For your info. Alphonce is a HERO and you're just a mere COWARD very afraid of Mawazo and you killled him just to vindicate your cowardice. One of these days you gonna pay the price. Nonsense.
R.I.P CAMARADA ALPHONCE MAWAZO. God shall revenge for you like He did to Cain who killed his brother Abel. Amen.
Inasikitisha sana,halafu bado watu wa propaganda wataendelea imba Tanzania ni Kisiwa cha amani mbali na mauaji ya aina hii .Imeniumiza sana kukatisha uhai wa mtu asie na hatia(Mungu akulaze pema Mawazo).
Chadema mkishamzika mawazo mtatumia nini kutafuta umaarufu wa kisiasa? Maana huu msiba kwenu ni sherehe ya kisiasa mnatamani akae mochwari ata mwaka ili nyie mpate kick.
Chadema mkishamzika mawazo mtatumia nini kutafuta umaarufu wa kisiasa? Maana huu msiba kwenu ni sherehe ya kisiasa mnatamani akae mochwari ata mwaka ili nyie mpate kick.
Fikiri kabla ya kunena unaweza ukadhani utawafurahisha hao mabwana zako kumbe wao pia wanakuona kama carcass tu hapo ujui ulifanyalo.