Jack Daniel's
JF-Expert Member
- May 18, 2015
- 1,008
- 835
Pole sana Ben na asante kwa makala inayoelezea safari ya kisiasa ya Mawazo.....tumejifunza mengi kutoka kwake....
Takriban miaka 23, CCM bado wameshindwa kukumbatia demokrasia ya mfumo wa vyama vingi kwa mikono miwili....Lakini haya maovu yote yanayofanyika dhidi ya wapinzani yana mwisho wake.....
Mawazo ameuawa kikatili... ili kuzuia vitendo vya kulipiza kisasi, Jeshi la polisi iwakamate wote waliohusika ili sheria ifuate mkondo wake, lakini pia ili kurejesha imani ya wananchi na jeshi hilo....Wananchi tunahitaji kuona haki inatendeka.....
Takriban miaka 23, CCM bado wameshindwa kukumbatia demokrasia ya mfumo wa vyama vingi kwa mikono miwili....Lakini haya maovu yote yanayofanyika dhidi ya wapinzani yana mwisho wake.....
Mawazo ameuawa kikatili... ili kuzuia vitendo vya kulipiza kisasi, Jeshi la polisi iwakamate wote waliohusika ili sheria ifuate mkondo wake, lakini pia ili kurejesha imani ya wananchi na jeshi hilo....Wananchi tunahitaji kuona haki inatendeka.....