Makala: Buriani Komredi Mawazo, Mpe Hongera Zangu Ken Saro-Wiwa

Makala: Buriani Komredi Mawazo, Mpe Hongera Zangu Ken Saro-Wiwa

Kwanza poleni sana kwa msiba huo mzito, ijapokuwa pole ni pia kwa watanzania wote hasa wale wapenda mabadiliko na wanaoitakia mema nchi hii. Nakupa hongera sana kwa sababu unaweka pamoja na kujumuisha vitu vingi adimu. nia ya kweli ya kuleta mapinduzi, ari ya kusoma na kujiendeleza, kusimama kwenye ukweli, kutumia kichwa na ubongo kutafakari, kufikiri hatua chache mbele zaidi, kuwa tayari kufanyia kazi ndoto zako, kuwa na msimamo usioyumba wala kuyumbishwa, kutokuwa mchumia tumbo - hayo ni baadhi ya mambo adimu kuyakuta yamewekwa pamoja katika mwanasiasa wa Tanzania. kwa kweli namuomba Mungu akujalie udumu hivyo hivyo, usiwe kama wengine wengi ambao jamii iliwaamini, wakaja kuzidiwa na ulevi wa madaraka, au kuingia mkenge kwa kushauriwa vibaya na wasakatonge, na hivyo kuhujumu matumaini ya watanzania. Hongera sana.
 
aache kuchochea hasira za chadema sio za watanzania! kuna sehemu kubwa hawamjui na upate taarifa tu ni maarufu zaidi mitandaoni na amekuwa maarufu baada ya kifo! Binafsi sikuwa namjua,so rekebisha sema hasira za chadema ukisema watanzania una maanisha wote

Hata wakiwa wanachadema wawili, ni watanzania pia. au unadhani kuwa mwanachadema siyo kuwa mtanzania? na siyo lazima wote wahusike. hakuna tukio lolote ambalo limewahi kuhusisha watanzania woote kwa mara moja. mfano hata kupiga kura, ni milioni 15 tu waliopiga kura, wakati population ni 50 million plus. hata siku ya uhuru 9 Desemba 1961, kuna watanganyika wengi tu ambao wala hawakujua kinachoendelea.

Ni kweli hata mimi sikumjua Mawazo kabla, lakini hiyo si tatizo. kuna watu hakumwona Shaaban Robert na walikuwa hai enzi zake, lakini baada ya kumsoma wamemkubali sana tu. kwa hiyo usidhani dunia inaishia pale unapojua wakati huo tu. baada ya kusoma makala ya Ben nimeguswa sana na nitafuatilia zaidi kumjua huyu Mpambanaji. wanasema kaandika kitabu. du! hapo sasa atakuwa maarufu zaidi
 
Ben your article has been a good lesson to me,u hv strengthen me coz i lost in G/E bt with the faith of late Mawazo and fellow revolutionarists lets walk their vision together for the best of tmr

Aluta Continua!
 
Pumzika kwa Amani Komredi,Rafiki,Kaka yetu na Ndugu yetu AC MAWAZO ,na mwanga wa Yesu ukuangazie Milele ili siku moja tuonane tena Ktk Utukufu wa Mungu,Amen.
 
Ben your article has been a good lesson to me,u hv strengthen me coz i lost in G/E bt with the faith of late Mawazo and fellow revolutionarists lets walk their vision together for the best of tmr

Aluta Continua!

Thanks Gimbi...
 
Last edited by a moderator:
Mkuu umenikumbusha mbali sana hasa "kiti cha Mohamed Mtoi", nimekutana na Mawazo Kalenga na mara nyingine kadhaa hakika amepotea kiongozi mahiri sana aliyekuwa akisimamia anachoamini.
 
Mkuu umenikumbusha mbali sana hasa "kiti cha Mohamed Mtoi", nimekutana na Mawazo Kalenga na mara nyingine kadhaa hakika amepotea kiongozi mahiri sana aliyekuwa akisimamia anachoamini.

ithangaledi ni kweli aliongoza vizuri kampeni za Kalenga kisha Chalinze.
 
Last edited by a moderator:
Hongera kamanda Ben kwa kumuandalia makala mpambanaji wetu. mwenyezi Mungu amlaze mahali pema peponi Amina
 
Ni mwaka mmoja umetimia leo tangu Kamanda Mawazo auawe Kikatili
 
ben upo ? umepotea sana ndugu mtoa mada wa JF... anasikika malisa godlisten sana kwa sasa...did yu leave with dr siLAha?

Ni mwaka mmoja umetimia leo tangu Kamanda Mawazo auawe Kikatili
 
Pumzika kwa Amani Mawazo..Waliokatisha maisha yako damu iwaandame hadi vizazi vya saba.
 
Hakika zambi hukitafuna kizazi hadi kizazi watambue unalomfanyia mwenzako malipo ni hapahapa
 
Soon before the red moon we shall see you Ben ....
 
Popote ulipo Ben, Mungu akutangulie
Nasikia mwenye nguvu kashatoa amri..ya mwisho juu ya pumzi...kosa lake kufuatilia uhalali wa phd
Heri yake Msemakweli Kainerugaba alitoa tuhuma enzi ya uhuru wa habari
Hiii ni dhambi kubwa sana kwa..kiumbe.huyu mnyonge ..Mungu atamlipia
 
Back
Top Bottom