Chadema mkishamzika mawazo mtatumia nini kutafuta umaarufu wa kisiasa? Maana huu msiba kwenu ni sherehe ya kisiasa mnatamani akae mochwari ata mwaka ili nyie mpate kick.
Kweli ninyi Maccm hamchoki kumwaga damu za watu, mnamzurumu haki yake na bado mnamuuwa, huu ni ujambazi, yaani uccm ni ushetani, shetani ndio mwenyekazi ya kuua watu.
Na ilaaaniwe CCM, na misinge yake yote kwa kumwaga damu zisizo kuwa na hatia.
Walaaniwe wote waliohusika na mauwaji haya, maisha yao na yawe ya hofu na woga siku zote.
Ilaaniwe kila yeyote aliyehusika na mpango wa mauwaji haya hata kama alisikia na akanyamanza pia.
Walaaniwe pilisi wote, ambao wamepuzia jambo hili na kuzuia haki isitendeke.
CCM, CCM, utaacha lini kuuwa watu, ambao wapo katika haki zao.
Ni CCM ambayo ilimua Daudi Mwangosi kule Iringa, chini ya kamanda Michael Chamuwanda, ni CCM ndio iliuwa wale watu kwa mabomu kule Arusha wakati wa kufunga kampeni za udiwani chini ya uratibu wa Mwiguru Nchemba.
Ni CCM hii hii, iliwauwa watu 21 kwa risasi mwaka 2001, wakiwa katika maandamano ya amani.
Tunajua haya yote yana mwisho, Mungu yupo, ipo siku huu utawala wa kidhalimu unaouwa watu wake utafika mwisho.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.