Makala ya wazi kwa Rais Samia imfikie popote alipo na kuisoma

Lucas nilishakuambia mara kibao. tafuta kazi ya kupata kipato chako halali, achana na 'ukunguni!'
 
Kwanini usimfuate kwake ukamwambia haya yote na wewe ni mwanae namba moja?
 
Yaani hupo eneo la tukio,huna taarifa za Eneo husika halafu unakimbilia kuleta habari za uongo mitandaoni.
Nimeamua kuuliza ambako huko upo umeme wa serikali kwa maana huku niliko hamna umeme kabisa wa serikali miaka nenda miaka rudi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…