Makalio makubwa yageuka kuwa silaha pekee kwa wasichana wengi siku hizi

Makalio makubwa yageuka kuwa silaha pekee kwa wasichana wengi siku hizi

Someone is cyber stalking meeee!๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Wee mwenyewe mada hizi hukoseagi njia
Mmh hapana yaani kuna mada nikianza tu kuisoma najisemea moyoni huyu mwamba simkosi, niki-scroll mara huyu hapa ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
mambo yangu
20220825_212024.jpg
 
Yule want nyoka๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐ŸคฃBado Upo kule,mi nishahama....nikishanogesha thread ya mtu nahamia kungine.....Bado nipo likizo na vibarua nimenyimwa Ivo nipo na muda mwingi humu๐Ÿ˜‰
 
Mmh hapana yaani kuna mada nikianza tu kuisoma najisemea moyoni huyu mwamba simkosi, niki-scroll mara huyu hapa ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Kumbe....ata mie najua mada za thressome wewe na yule partner wetu hamkosekani
 
Ukiona mwanamke wa miaka hii ana matako makubwa basi amini hana akili hata kidogo... Ndio maana wanaishia kujiuza kuliwa kuzalishwa na kuacha... Wana amini matako ndio kilakitu ktk maisha yao...
 
Back
Top Bottom