Makalio makubwa yageuka kuwa silaha pekee kwa wasichana wengi siku hizi

Makalio makubwa yageuka kuwa silaha pekee kwa wasichana wengi siku hizi

Wenyewe wanasema ukiwa na Chura mjini unajiamini na uhakika wa maisha kuliko mwenye Master degree asiye na chura.
Maneno ya mkosaji hayo. Hayo makalio yana expire date na itafikia kipindi soko hamna .
 
Nakunyimaje vitu tumepewa bure?
Umenichapa laki 8 nzima ndio bure hiyo au ndio kuhudumia mbususu...tena ngoja nikupe hela uende kununua kyupi na bra mupya mupya na lotion ya ukweli
 
Umenichapa laki 8 nzima ndio bure hiyo au ndio kuhudumia mbususu...tena ngoja nikupe hela uende kununua kyupi na bra mupya mupya na lotion ya ukweli
Ha haaaa nishaisahau eti hiyo laki 8.
Hebu fanya mambo basi seriously...siku nikila pesa yako wewe mbengo zetafongokaaaa...
 
Ha haaaa nishaisahau eti hiyo laki 8.
Hebu fanya mambo basi seriously...siku nikila pesa yako wewe mbengo zetafongokaaaa...
Uzur mie ikija kwenye suala la mbususu sinaga mkono wa birika as long as unanipa mambo mazuri
 
Huyu ana degree na tako
1661019738464.jpg
 
Mimi nisiwe muongo kwa kweli, binafsi udhaifu wangu upo kwenye makalio ya mwanamke.
Makalio ndicho kigezo kikuu ambacho huwa na- base on ikija kwenye suala zima la kutongoza.
Sijawahi Kuna na hamu na wanawake wasio na makalio ya kueleweka.Barabarani nikipishana na m/wanamke lazima nitageuka nyuma ili niconfirm Kama wowowo zipo,na Kama zipo huwaga nafurahi Sana Hadi jogoo wangu anapanda mtungi kimasihara.

Wanawake wenye misambwanda shikamooni🙏
 
wanaume ndo tuna amua wanawake watumie nini kututega, kwa sasa tumeamua yawe makalio siku tukiamu wenye masikio makubwa watuvutie utawaona wenye hayo masikio wakiringa na kujipitishapitisha, tukiamua manyonyo makubwa utawaona pia. wanawake wetu walivyo sasa ni vipaumbele vyetu sisi wanaume.
 
Nimefanya kajiutafiti nikagundua wanawake wengi wa Kitanzania au kiafrica wamekuwa tegemezi sana kwenye silaha moja tu.

MAKALIO YAO",Asilimia kubwa ya wanawake wamekuwa wakitumia makalio yao"Wowowo"Kuwanasa wanaume haswa maofisini n.k.
Nimejiuliza bila makalio mbinuko hawa watu wangetumia nini kutunasa?

We wafuatilie watembeapo huzungusha makalio,wapigapo picha hubinuwa makalio,walalapo kwa Bed huyaweka makalio yao juu juu.

Hivi ina maana makalio yenu yamegeka silaha yenu?

Na hii imewachangia baadhi ya wanaumme wawaze kuwatafuna utumbo mdogo a.k.a"Tigo"

Unakuta mwanamke kwa sura mzuuriii..Lakini kama ni flat screen anapoteza confidence kabisa.

At the same time unaweza kumkuta demu sura nguumuu..Imekunjamana kama kalamba ndimu.Lakini kwa sababu kajaaliwa Makalio mbinuko anajiamini plus kiburi juu.

Makalio a.k.a Wowowo ni SMG kwenu?Kujeni mjitolee tafsiri wenyewe mabibi na wazee wa Mikia.

Kalio kubwa lingekua silaha wanaume wasingeenda na wanaume wenzao wale mashoga

Ingekua makalio ndio silaha huku kwetu na flatscreen zetu tusingekuwa na waume tena kwa furaha, labda wanaume wenye akili za sodoma ndio wenye kutekwa na makalio makubwa.
 
Back
Top Bottom