Kuna uozo mahakamani pia mwingi tu wananchi wakitapika nyongo zao ni wajibu wa Chama kubeba na kuyapeleka kwa jaji mkuu aone uozo wa watendaji wake achukue hatuaKesi iko mahakamani unataka mwenezi aamue kama nani? Jaman majukum ya mahakama yaachwe huko huko
Waende katika mikutano na Wananchi waweleze hizo habari zao ili waishie kufanya vikao vya ndani.Naona mama kawekwa mtu kati. Wateule wake wa Chama wanapingana na Makonda, Makonda kipenzi cha mama. Sijui anasimamia wapi maana kuwa na serikali ambapo watu wanapingana nayo kisanga
Mkuu, hivi ulizo la mswalishaji umelielewa kumbe?Mkuu imekuwaje tena!
Kiswahili ni lugha yetu bhana.
Rudia kusoma thread ili uone mantiki ya mwandishi katika muktadha wake.
Wewe umekuja kutafsiri kwa usahihi 'kitenzi' kilichokwisha kukosewa.
Sasa, tafsiri yako sahihi kwa neno lililokosewa haiwezi kuhalalisha makosa ya matumizi ama makosa ya uandishi wa neno husika.
Mkuu hivi makala anawezaje kuingilia kesi ambazo zipo mahakamani ? Bc tuseme hamna haja yakua namahakama ,makala yupo sahihiShenzi san makala Yuko radhi kuona wananchi wanaonewa ili wao wamkomoe makondaa iko siku makonda atakuwa rais
Wahuni siyo watu. Watamuandikia barua ya kujiuzulu na wamsainie kabisa halafu isambazwe mitandaoni.Huyu makonda atakuja kuwa kama job, maana atakosa upande. Amejichanganya sana. Mara anatetea wanyonge mara anasimama na mama yake hataki asemwe kwa mabaya. Atajikuta anaishia kujiuzulu
Kuna mipaka, si kwamba makalla hajielewi. Unae shindwa kuelewa ni wewe. Wakuu wa mikoa, wilaya, meya, mawaziri , makatibu wanakuwa na kazi gani? Mpaka chama kipeleke malalamiko?Kuna uozo mahakamani pia mwingi tu wananchi wakitapika nyongo zao ni wajibu wa Chama kubeba na kuyapeleka kwa jaji mkuu aone uozo wa watendaji wake achukue hatua
Makalla naye hajielewi
Akiwasikiliza atapungukiwa nini?
Watu wavivu wa kufanya maamuzi au kusaidia wananchi wako wengi mmoja wapo ni Makala. Huyu atabaki kuandika taarifa za vikao tu.Hata kama issue iko mahakamani, si aelezee position au maamuzi sahihi yanayitakiwa kufanyika? Mbona Waziri wa Ardhi, Jerry Slaa, amekuwa akieleza waziwazi kuwa wasimazi wa mirathi hawana authority kuuza ardhi au majengo ya mirathi, na mahakama zimekuwa zikibariki ardhi au majengo yaliyouzwa na wasimamizi wa mirathi, sasa kama hiyo elimu isingetolewa, wasimamizi wa mirathi wangeendelea kudhulumu.
Watu wa Lema mbona mnaongea asi if watu wa suti mnao nyie. Hahaha.Wahuni siyo watu. Watamuandikia barua ya kujiuzulu na wamsainie kabisa halafu isambazwe mitandaoni.
Kisha wazee wa makotikoti watampa ulinzi wa kutokutoka nyumbani kwake
Jaribu kufiatilia kesi mahakamani utajua kwanini makonda yuko sahihi haki za watu zinanyongwa snKesi iko mahakamani unataka mwenezi aamue kama nani? Jaman majukum ya mahakama yaachwe huko huko
Mwamba yoko fresh anasaidia sanaMbowe ana wauma sn UWT
It is very unwisse to try at this point and time to try unwind what has been winded by on Makonda. It can backfireMwenezi wa CCM Komredi Amos Makala amesema katika Ziara yao Katavi na maeneo mengine watasikiliza kero za wananchi lakini siyo zile zilizoko mahakamani
Makala amesema wanajua Wananchi Wana changamoto mbalimbali na kimbilio lao ni CCM
Source Jambo TV
====== ======
KAULI YA MAKALLA
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa, Amosi Makalla amesema lazima Watu wajue kuwa mambo yaliyo Mahakamani yanamalizwa Mahakamani na hakuna Kiongozi wa Serikali au Chama anayeweza kuingilia Mhimili wa Mahakama.
Akiongea Mkoani Katavi leo wakati wa ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Emmanuel Nchimbi na Viongozi wengine, Makalla amesema:
“Ninaposikiliza kero Mimi nimetoka kwenye Ukuu wa Mkoa, la kwanza tutasikiliza kero ambazo hazipo Mahakamani, siku moja nipo Mbeya kuna Mtu alikuja na makabrasha akasema Mahakama ya kwanza nilishindwa, Mahakama ya Wilaya nillishindwa, Mahakama Kuu nilishindwa, Mahakama ya Rufaa nilishindwa, wewe umeteuliwa na Rais tengua hizo hukumu zote, itawezekana wapi!?”
“Lazima Watu wetu wajue mambo yaliyo Mahakamani yanamalizwa Mahakamani, tutakachokupa ushauri basi kata rufaa, tunachowasaidia Wananchi yale mashauri ambayo yanahitaji mambo ya utawala, kwahiyo ukija mkutano wa hadhara tunawakaribisha lakini usilete mambo ambayo yapo Mahakamani, ukweli lazima usemwe itakuwa tunawadanganya tu Watu kwamba hili unajua lipo Mahakamani tutakusaidia, sio kweli lazima wakati mwingine tuwe Wakweli”
Katika hatua nyingine Makalla amesema katika jitihada za kuufanya Mkoa wa Katavi uwe na umeme wa uhakika, mradi kuunganisha Mkoa huo na gridi ya Taifa unaendelea kwa kasi na sasa umefikia 56%.
“Nilikuwa natembelea mara kwa mara kwenye jenereta zetu, umeme hautoshi unakatikakatika na huku mvua za radi zikianza kila saa umeme unakatika na wakati huo unaangalia Simba na Yanga halafu umeme unakatika, ninayo heshima na furaha kusema tayari Serikali inaendele kutekeleza wa kuunganisha Katavi na gridi ya Taifa, mradi umefikia 56% na kasi ya mradi huo mtaiona ikiendelea lazima tuwe na umeme wa uhakika.”
=====
KAULI YA NCHIMBI
Upande wa Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi naye amesema:
Katika mambo tutakayoshughuliki kama kero hatutagusa ambayo yapo Mahakamani, ndio utaratibu wa Utawala Bora.
Katika kutekeleza sera za CCM, moja ya jambo muhimu ni kusimamia suala la Utawala wa Sheria, wakati wote tutakuwa tunahamasisha na kuziwezesha Mahakama kutenda haki wakati wote bila kuingilia katika maamuzi yake.
Nchi inayotaka kufanikiwa lazima isimamie Utawala wa Sheria, ukijenga utaratibu wa kuingilia Mahakama katika mfumo wa Sheria siku moja zitawaumiza wote.
Kwahiyo hawajaanza tu kutatua kero? Au kutosikiliza kero zilizoko mahakamani ndo kutatua kero kwenyewe? Ama kweli Makonda alikuwa mwambaMwenezi wa CCM Komredi Amos Makala amesema katika Ziara yao Katavi na maeneo mengine watasikiliza kero za wananchi lakini siyo zile zilizoko mahakamani
Makala amesema wanajua Wananchi Wana changamoto mbalimbali na kimbilio lao ni CCM
Source Jambo TV
====== ======
KAULI YA MAKALLA
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa, Amosi Makalla amesema lazima Watu wajue kuwa mambo yaliyo Mahakamani yanamalizwa Mahakamani na hakuna Kiongozi wa Serikali au Chama anayeweza kuingilia Mhimili wa Mahakama.
Akiongea Mkoani Katavi leo wakati wa ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Emmanuel Nchimbi na Viongozi wengine, Makalla amesema:
“Ninaposikiliza kero Mimi nimetoka kwenye Ukuu wa Mkoa, la kwanza tutasikiliza kero ambazo hazipo Mahakamani, siku moja nipo Mbeya kuna Mtu alikuja na makabrasha akasema Mahakama ya kwanza nilishindwa, Mahakama ya Wilaya nillishindwa, Mahakama Kuu nilishindwa, Mahakama ya Rufaa nilishindwa, wewe umeteuliwa na Rais tengua hizo hukumu zote, itawezekana wapi!?”
“Lazima Watu wetu wajue mambo yaliyo Mahakamani yanamalizwa Mahakamani, tutakachokupa ushauri basi kata rufaa, tunachowasaidia Wananchi yale mashauri ambayo yanahitaji mambo ya utawala, kwahiyo ukija mkutano wa hadhara tunawakaribisha lakini usilete mambo ambayo yapo Mahakamani, ukweli lazima usemwe itakuwa tunawadanganya tu Watu kwamba hili unajua lipo Mahakamani tutakusaidia, sio kweli lazima wakati mwingine tuwe Wakweli”
Katika hatua nyingine Makalla amesema katika jitihada za kuufanya Mkoa wa Katavi uwe na umeme wa uhakika, mradi kuunganisha Mkoa huo na gridi ya Taifa unaendelea kwa kasi na sasa umefikia 56%.
“Nilikuwa natembelea mara kwa mara kwenye jenereta zetu, umeme hautoshi unakatikakatika na huku mvua za radi zikianza kila saa umeme unakatika na wakati huo unaangalia Simba na Yanga halafu umeme unakatika, ninayo heshima na furaha kusema tayari Serikali inaendele kutekeleza wa kuunganisha Katavi na gridi ya Taifa, mradi umefikia 56% na kasi ya mradi huo mtaiona ikiendelea lazima tuwe na umeme wa uhakika.”
=====
KAULI YA NCHIMBI
Upande wa Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi naye amesema:
Katika mambo tutakayoshughuliki kama kero hatutagusa ambayo yapo Mahakamani, ndio utaratibu wa Utawala Bora.
Katika kutekeleza sera za CCM, moja ya jambo muhimu ni kusimamia suala la Utawala wa Sheria, wakati wote tutakuwa tunahamasisha na kuziwezesha Mahakama kutenda haki wakati wote bila kuingilia katika maamuzi yake.
Nchi inayotaka kufanikiwa lazima isimamie Utawala wa Sheria, ukijenga utaratibu wa kuingilia Mahakama katika mfumo wa Sheria siku moja zitawaumiza wote.
Jumatatu unatajwa wewe mhuniSafi sana
Naamini kweli Nchimbi ana akili.
Sio upuuzi ule uliokuwa unafanywa kwa watu kuingilia mhimili wa Mahakama as if Tanzania ni banana Republic na haina Katiba wala Sheria