Makalla atua Katavi na kusema Watasikiliza kero za Wananchi lakini siyo zile zilizopo Mahakamani

Acha tu mkuu!!kuna safari ndefu sana,sasa imekuwa ni kusifia tu,hali ya maisha ni ngumu na hao masikini ndio wanachezeshwa wimbo wa kusifia wasio ujua,wakati hao viongozi hawana shida,pesa kila siku inaliwa tu
Mi nalaumu wasomi na viongozi wa dini badala ya kusaidia wananchi wasio na sauti wamegeuka wasifiaji wakifukuzia maokoto pekee
 

Angeanza na za mahakamani tu
 
Huyu makalla kama alishindwa kuwashawishi watu elfu kumi wampe kura za ubunge hawa milioni arobaini ana muujiza gani? Katest mitambo kasikilizia mlio watu wametawanyika mkutanoni kabla ya mkutano kuisha, yaani wamemkimbia
 
Umeishia darasa la ngapi?

Unajua maana ya (Independence of Judiciary) Uhuru wa Mahakama?

Unajua maana ya Les subjudice?

Au watu waanze kukupa darasa hapa ili ujione kuwa wewe ni kilaza wa mwisho duniani?
Yaani kujua hayo ndio umejiona umesoma?? Mbona Mshamba hivyo wewe? Mimi nina Msc kutoka University of Bolton - UK, na MBA kutoka UDSM. Haya sema wewe umeishia wapi? Hako Ka-LLB ndio kanakusumbua hivyo?? Kilaza ni wewe....Umekaririshwa tu kuwa Mahakama haiingiliwi; wakati unaweza kutoa maoni kuhusu issue yoyote na kuelewesha umma - bila ya kuingilia mahakama. Kuzungumzia issue sio kuingilia mahakama; as long as hicho unachozungumza - sio kitu substance ku-affect maamuzi ya mahakama.
 
Naona mama kawekwa mtu kati. Wateule wake wa Chama wanapingana na Makonda, Makonda kipenzi cha mama. Sijui anasimamia wapi maana kuwa na serikali ambapo watu wanapingana nayo kisanga
Na hofu sana na uwezo wa maamuzi wa maza!...
 
Nadhani hiyo Ziara yao imekwenda kurekebisha na kufuta yale aliyosema Makonda!
 
MAKONDA Ana ELIMU NDOGO sana yeye anadhani kila kitu kinatatuliwa na Mwanasiasa
 
Umeishia darasa la ngapi?

Unajua maana ya (Independence of Judiciary) Uhuru wa Mahakama?

Unajua maana ya Les subjudice?

Au watu waanze kukupa darasa hapa ili ujione kuwa wewe ni kilaza wa mwisho duniani?
Nimeshakwambia nilipoishia, Msc University of Bolton, UK na MBA UDSM - nimekuuliza - hako ka-LLB ndio kanakufanya ujione unajua kila kitu duniani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…