Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
- Thread starter
- #21
Jibu unalo.Ungeweka taarifa kamili sio wote walipitia taarifa ya CAG.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu unalo.Ungeweka taarifa kamili sio wote walipitia taarifa ya CAG.
Kwa sababu unahoji pumba vilevile. Nimekuuliza CAG Kitchere amesemaJe mahesabu ya Cdm , unakwepa tukufanyeJe ?!Hizi pumba sasa.
Jibu unalo.
Tuanze kwanza na Nyumba za serikali zilizouzwa bila kufuata matakwa ya wanainchi wazalendo wa TanzaniaHuu ni ufisadi na kama makamanda makini basi tuwe na kasumba ya kuhoji matumizi ya pesa za umma.
Sasa kama kuna nyumba ya mil 50 ilinunuliwa huko Serengeti mbona hatuhoji hata kidogo? Hata picha tu Mnyika hataki kutuonyesha?
Tuwe tunahoji bila uoga
Kuna uhusiano wa unachodai na mada husika?Tuamadanze kwanza na Nyumba za serikali zilizouzwa bila kufuata matakwa ya wanainchi wazalendo wa Tanzania
Kamanda kama we unaijua hiyo nyumba tupe majibu.Sina Jibu Mkuu ,wewe ndio umetoa taarifa ,ungekuja na taarifa konki zaidi ,kwani serengeti hauwezi kujenga nyumba ya milioni 50 au 60? Umeiona nyumba yenyewe? Thamani yake halisi ikoje? Nenda Kilimanjaro kijijini au Kagera ukaone mijengo ya milioni 500 kwenye migomba.
Kamanda kama we unaijua hiyo nyumba tupe majibu.
Tuanzie hapo Lumumba, Tukague kwa mara nyingine miradi ya mwendazake.Kuhoji viongozi mafisadi
Tuanzie hapo Lumumba, Tukague kwa mara nyingine miradi ya mwendazake.
Kuchangia uzi huu inakua ngum, kwa wengine tunaopenda claims ikiambatana na official documents na picha za nyumba husika nyumba husika Ili tujue pa kuanzia. AhsntHuu ni ufisadi na kama makamanda makini basi tuwe na kasumba ya kuhoji matumizi ya pesa za umma.
Sasa kama kuna nyumba ya mil 50 ilinunuliwa huko Serengeti mbona hatuhoji hata kidogo? Hata picha tu Mnyika hataki kutuonyesha?
Tuwe tunahoji bila uoga
Kuna uhusiano wa unachodai na mada husika?
Magufuli aliuza nyumba za umma kwa mahawala zake kina KABULA yule wa pale Kebys pale bamaga? Alikuwa akimfuata hostel mabibo.Huu ni ufisadi na kama makamanda makini basi tuwe na kasumba ya kuhoji matumizi ya pesa za umma.
Sasa kama kuna nyumba ya mil 50 ilinunuliwa huko Serengeti mbona hatuhoji hata kidogo? Hata picha tu Mnyika hataki kutuonyesha?
Tuwe tunahoji bila uoga