Makamanda suala la DP World mmelipeleka kasi kiasi cha kuwagawa watu na kukosa umoja kwenye hili jambo

Makamanda suala la DP World mmelipeleka kasi kiasi cha kuwagawa watu na kukosa umoja kwenye hili jambo

Sultan MackJoe Khalifa

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2022
Posts
6,782
Reaction score
14,148
Makamanda swala la DP World lilianza vizuri kwa kujadili kwa hoja na staha kubwa kiasi cha watu ku-concetrate kwenye hili swala moja tu la DP World na IGA.

Ghafla speed ikaongezeka kwa kasi na kuanza kumuhusisha Magufuli na mkataba wa bandari, wakati ni ukweli ulio wazi Magufuli wapo wanaompenda,hili jambo likapunguza nguvu kwa vipenzi vya Magufuli na kuona ajenda ni kumpaka matope Magufuli DP World ni kivuli tu pro Magu wakapiga nutral.

Ikaja speed mpya kali ya kuhusisha udini na swala la DP World kwa maneno makali yasiyo na staha kiasi cha maulamaa kuona kumbe hoja sio bandari bali ni dini ya Rais?,maulamaa wakapiga stop wakagoma kwenda Mwembe yanga.

Likaja swala la utanganyika na uzanzibari nalo watu awakulipokea kwasababu ya kauli mbovu na chafu linagawa utaifa wetu.

Lisu mjanja akaona apige turn kwenda kwenye kaburi la Magufuli pamoja na maneno mazuri ya kumpamba Magufuli wana Chato wakagoma asikanyage kwenye kaburi la Mwamba.

maamuzi yakawa kwenda mahakamani nako hola,sasa ni maandamano na kusisusia kulipa kodi.

Sasa makamanda Sugu msitumie tena nguvu mtafeli jipangeni vizuri kwasababu zipo hoja za msingi kwenye swala la bandari.

wapo watu wabaya mnawaona wako pamoja na nyinyi kumbe hapana wapo kwaajili ya kukwamisha hili jambo kwa makusudi kwa kutoa kauli na taharuki za wazi ili kuwagawa watu na kuwa kwaza wenye mamlaka ili kukwamisha hoja za msingi kama ukomo wa mkataba wa bandari,muda n,k.

Mafano: Kwa makusudi kabisa ilizushwa DP World watakuja kujenga misikiti(wakati sio kweli)na makamanda wakaibeba hii hoja na kwenda nayo mitandaoni, sasa ulamaa atawezaje kumpinga mtu anaekuja kumpa misaada ya dini badala yake atahitaji aje tena haraka.
👆
aliyezusha hili ni pandikizi aliyetumwa kupenyeza kanuni ya divide and rule kwa hoja ya udini.na kweli amefanikwa maulamaa waligoma kwenda mwembe yanga.

Makamanda sugu acheni kwenda kwenda tu chujeni mambo watu na kauli zao ,watu wengine sio.
Slaa na Tibaijuka wanaonekana wazalendo hii ni kuupaka matope harakati za mkataba wa bandari.Mbowe,Warioba,Butiku,Kitine n,k hawajaonekana kutosha mpaka mpalamie watu wa hovyo na kuwaona mashujaa?

Nini kifanyike sasa makamanda sugu:

Kwanza shusheni silaha chini,tokeni mahakamani hamtoshinda,acheni kauli zisizo na staha punguzeni mijadala kwenye mitandao itakayo pelekea watu wabaya kumtusi au kumkashifu Rais na kuzidi kuweka ugumu wa mambo.

Anaepost mada ya kuligawa taifa au kumkashifu Rais msihisi ni mwenzenu hapana hao ndio watu wabaya kwenu wanawakwamisha bila nyinyi kujua.

Viongozi wa upinzani wanaweza kuomba nafasi ya kumuona Rais kwaajili ya mazungumzo,mama ni msikivu hawezi kukataa kamwe.kutumia nguvu ya umma au maneno makali aitofanikiwa kwasababu haiba ya watanzania kwenye mambo ya kitaifa si kutumia nguvu bali ni kukutana na kuzungumza na mambo yanakaa sawa bila labsha yoyote ile.

Uzi tayari.
 
Mjadala ulikuwa unaenda vizuuri Slaa alipotia timu tu vurugu na makelele yakaanza
Kwenye mkataba wa bandari zipo hoja ila waliolibeba wamekosa hakima na busara,kama kwenye maridhiano Mbowe aliomba kukutana Rais wazungumze tangia utawala wa Magu.hatimae mama akawa Rais akawaita wakazungumza na mambo yakanyooka vizuri hili la bandari imeshindikana nini kuomba kumuona Rais wazungumze?
 
Makamanda swala la DP World lilianza vizuri kwa kujadili kwa hoja na staha kubwa kiasi cha watu ku-concetrate kwenye hili swala moja tu la DP World na IGA.

Ghafla speed ikaongezeka kwa kasi na kuanza kumuhusisha Magufuli na mkataba wa bandari, wakati ni ukweli ulio wazi Magufuli wapo wanaompenda,hili jambo likapunguza nguvu kwa vipenzi vya Magufuli na kuona ajenda ni kumpaka matope Magufuli DP World ni kivuli tu pro Magu wakapiga nutral.

Ikaja speed mpya kali ya kuhusisha udini na swala la DP World kwa maneno makali yasiyo na staha kiasi cha maulamaa kuona kumbe hoja sio bandari bali ni dini ya Rais?,maulamaa wakapiga stop wakagoma kwenda Mwembe yanga.
Likaja swala la utanganyika na uzanzibari nalo watu awakulipokea kwasababu ya kauli mbovu na chafu linagawa utaifa wetu.

Lisu mjanja akaona apige turn kwenda kwenye kaburi la Magufuli pamoja na maneno mazuri ya kumpamba Magufuli wana Chato wakagoma asikanyage kwenye kaburi la Mwamba.

maamuzi yakawa kwenda mahakamani nako hola,sasa ni maandamano na kusisusia kulipa kodi.

Sasa makamanda Sugu msitumie tena nguvu mtafeli jipangeni vizuri kwasababu zipo hoja za msingi kwenye swala la bandari.

wapo watu wabaya mnawaona wako pamoja na nyinyi kumbe hapana wapo kwaajili ya kukwamisha hili jambo kwa makusudi kwa kutoa kauli na taharuki za wazi ili kuwagawa watu na kuwa kwaza wenye mamlaka ili kukwamisha hoja za msingi kama ukomo wa mkataba wa bandari,muda n,k.

Mafano:kwa makusudi kabisa ilizushwa DP World watakuja kujenga misikiti(wakati sio kweli)na makamanda wakaibeba hii hoja na kwenda nayo mitandaoni,sasa ulamaa atawezaje kumpinga mtu anaekuja kumpa misaada ya dini badala yake atahitaji aje tena haraka.
👆
aliyezusha hili ni pandikizi aliyetumwa kupenyeza kanuni ya divide and rule kwa hoja ya udini.na kweli amefanikwa maulamaa waligoma kwenda mwembe yanga.

Makamanda sugu acheni kwenda kwenda tu chujeni mambo watu na kauli zao ,watu wengine sio.
Slaa na Tibaijuka wanaonekana wazalendo hii ni kuupaka matope harakati za mkataba wa bandari.Mbowe,Warioba,Butiku,Kitine n,k hawajaonekana kutosha mpaka mpalamie watu wa hovyo na kuwaona mashujaa?

Nini kifanyike sasa makamanda sugu:

Kwanza shusheni silaha chini,tokeni mahakamani hamtoshinda,acheni kauli zisizo na staha punguzeni mijadala kwenye mitandao itakayo pelekea watu wabaya kumtusi au kumkashifu Rais na kuzidi kuweka ugumu wa mambo.

anaepost mada ya kuligawa taifa au kumkashifu Rais msihisi ni mwenzenu hapana hao ndio watu wabaya kwenu wanawakwamisha bila nyinyi kujua.
Viongozi wa upinzani wanaweza kuomba nafasi ya kumuona Rais kwaajili ya mazungumzo,mama ni msikivu hawezi kukataa kamwe.kutumia nguvu ya umma au maneno makali aitofanikiwa kwasababu haiba ya watanzania kwenye mambo ya kitaifa si kutumia nguvu bali ni kukutana na kuzungumza na mambo yanakaa sawa bila labsha yoyote ile.

Uzi tayari.
Wala sio kwamba ni mamluki wanapaka tope, Ni CHADEMA wenyewe, hawana staha wala hawana principle zozote

Mfano hili suala la kuanza kumshambulia Samia kuwa ni Mzanzibari na hafai kuongoza Tz alilianzisha Mbowe, na Tundu Lissu

Kule Twitter pia kuna vijana wengi wa Chadema, ambao tena ni viongozi wanaandika upumbavu usio na staha hata kidogo

Vijana wa Chadema leo hii wanaandika jeshi lipindue serikali kama nchi za Mali na Niger huko wakidai jeshi ndio wataongoza kwa uzalendo

Watu hawahawa ndio waliokuwa wakilia kwa sauti kubwa Magufuli alivyokua akitumia jeshi kwenye korosho, na Bureau De Change, ndio waliokuwa wakilia serikali ilivyokuwa ikivunja katiba, leo hii wanatamani tutawaliwe kijeshi

Hili ni kundi la wahuni, sio chama, wataungwa mkono na hao vijana wasiojielewa lakini kamwe hawataheshimika na watu wa maana kama ilivyokuwa mwaka 2015 kurudi nyuma
 
Walikuwa na hoja lakini wakashindwa kuzieleza. Wakataka kufanya hizo hoja kuwa mtaji wa kisiasa ila walichokosea ni kuunganisha matusi hoja ya ukanda,ubaguzi na udini. Wafanikiwa kuibua hisia Kali za wachache
 
Makamanda swala la DP World lilianza vizuri kwa kujadili kwa hoja na staha kubwa kiasi cha watu ku-concetrate kwenye hili swala moja tu la DP World na IGA.

Ghafla speed ikaongezeka kwa kasi na kuanza kumuhusisha Magufuli na mkataba wa bandari, wakati ni ukweli ulio wazi Magufuli wapo wanaompenda,hili jambo likapunguza nguvu kwa vipenzi vya Magufuli na kuona ajenda ni kumpaka matope Magufuli DP World ni kivuli tu pro Magu wakapiga nutral.

Ikaja speed mpya kali ya kuhusisha udini na swala la DP World kwa maneno makali yasiyo na staha kiasi cha maulamaa kuona kumbe hoja sio bandari bali ni dini ya Rais?,maulamaa wakapiga stop wakagoma kwenda Mwembe yanga.
Likaja swala la utanganyika na uzanzibari nalo watu awakulipokea kwasababu ya kauli mbovu na chafu linagawa utaifa wetu.

Lisu mjanja akaona apige turn kwenda kwenye kaburi la Magufuli pamoja na maneno mazuri ya kumpamba Magufuli wana Chato wakagoma asikanyage kwenye kaburi la Mwamba.

maamuzi yakawa kwenda mahakamani nako hola,sasa ni maandamano na kusisusia kulipa kodi.

Sasa makamanda Sugu msitumie tena nguvu mtafeli jipangeni vizuri kwasababu zipo hoja za msingi kwenye swala la bandari.

wapo watu wabaya mnawaona wako pamoja na nyinyi kumbe hapana wapo kwaajili ya kukwamisha hili jambo kwa makusudi kwa kutoa kauli na taharuki za wazi ili kuwagawa watu na kuwa kwaza wenye mamlaka ili kukwamisha hoja za msingi kama ukomo wa mkataba wa bandari,muda n,k.

Mafano:kwa makusudi kabisa ilizushwa DP World watakuja kujenga misikiti(wakati sio kweli)na makamanda wakaibeba hii hoja na kwenda nayo mitandaoni,sasa ulamaa atawezaje kumpinga mtu anaekuja kumpa misaada ya dini badala yake atahitaji aje tena haraka.
👆
aliyezusha hili ni pandikizi aliyetumwa kupenyeza kanuni ya divide and rule kwa hoja ya udini.na kweli amefanikwa maulamaa waligoma kwenda mwembe yanga.

Makamanda sugu acheni kwenda kwenda tu chujeni mambo watu na kauli zao ,watu wengine sio.
Slaa na Tibaijuka wanaonekana wazalendo hii ni kuupaka matope harakati za mkataba wa bandari.Mbowe,Warioba,Butiku,Kitine n,k hawajaonekana kutosha mpaka mpalamie watu wa hovyo na kuwaona mashujaa?

Nini kifanyike sasa makamanda sugu:

Kwanza shusheni silaha chini,tokeni mahakamani hamtoshinda,acheni kauli zisizo na staha punguzeni mijadala kwenye mitandao itakayo pelekea watu wabaya kumtusi au kumkashifu Rais na kuzidi kuweka ugumu wa mambo.

anaepost mada ya kuligawa taifa au kumkashifu Rais msihisi ni mwenzenu hapana hao ndio watu wabaya kwenu wanawakwamisha bila nyinyi kujua.
Viongozi wa upinzani wanaweza kuomba nafasi ya kumuona Rais kwaajili ya mazungumzo,mama ni msikivu hawezi kukataa kamwe.kutumia nguvu ya umma au maneno makali aitofanikiwa kwasababu haiba ya watanzania kwenye mambo ya kitaifa si kutumia nguvu bali ni kukutana na kuzungumza na mambo yanakaa sawa bila labsha yoyote ile.

Uzi tayari.

Akili huna
 
walipokosea na hapa "MAMA ANATAKA KUUZA BANDARI" hii sentensi ni nzito na MBAYA sana
Makamanda swala la DP World lilianza vizuri kwa kujadili kwa hoja na staha kubwa kiasi cha watu ku-concetrate kwenye hili swala moja tu la DP World na IGA.

Ghafla speed ikaongezeka kwa kasi na kuanza kumuhusisha Magufuli na mkataba wa bandari, wakati ni ukweli ulio wazi Magufuli wapo wanaompenda,hili jambo likapunguza nguvu kwa vipenzi vya Magufuli na kuona ajenda ni kumpaka matope Magufuli DP World ni kivuli tu pro Magu wakapiga nutral.

Ikaja speed mpya kali ya kuhusisha udini na swala la DP World kwa maneno makali yasiyo na staha kiasi cha maulamaa kuona kumbe hoja sio bandari bali ni dini ya Rais?,maulamaa wakapiga stop wakagoma kwenda Mwembe yanga.
Likaja swala la utanganyika na uzanzibari nalo watu awakulipokea kwasababu ya kauli mbovu na chafu linagawa utaifa wetu.

Lisu mjanja akaona apige turn kwenda kwenye kaburi la Magufuli pamoja na maneno mazuri ya kumpamba Magufuli wana Chato wakagoma asikanyage kwenye kaburi la Mwamba.

maamuzi yakawa kwenda mahakamani nako hola,sasa ni maandamano na kusisusia kulipa kodi.

Sasa makamanda Sugu msitumie tena nguvu mtafeli jipangeni vizuri kwasababu zipo hoja za msingi kwenye swala la bandari.

wapo watu wabaya mnawaona wako pamoja na nyinyi kumbe hapana wapo kwaajili ya kukwamisha hili jambo kwa makusudi kwa kutoa kauli na taharuki za wazi ili kuwagawa watu na kuwa kwaza wenye mamlaka ili kukwamisha hoja za msingi kama ukomo wa mkataba wa bandari,muda n,k.

Mafano:kwa makusudi kabisa ilizushwa DP World watakuja kujenga misikiti(wakati sio kweli)na makamanda wakaibeba hii hoja na kwenda nayo mitandaoni,sasa ulamaa atawezaje kumpinga mtu anaekuja kumpa misaada ya dini badala yake atahitaji aje tena haraka.
👆
aliyezusha hili ni pandikizi aliyetumwa kupenyeza kanuni ya divide and rule kwa hoja ya udini.na kweli amefanikwa maulamaa waligoma kwenda mwembe yanga.

Makamanda sugu acheni kwenda kwenda tu chujeni mambo watu na kauli zao ,watu wengine sio.
Slaa na Tibaijuka wanaonekana wazalendo hii ni kuupaka matope harakati za mkataba wa bandari.Mbowe,Warioba,Butiku,Kitine n,k hawajaonekana kutosha mpaka mpalamie watu wa hovyo na kuwaona mashujaa?

Nini kifanyike sasa makamanda sugu:

Kwanza shusheni silaha chini,tokeni mahakamani hamtoshinda,acheni kauli zisizo na staha punguzeni mijadala kwenye mitandao itakayo pelekea watu wabaya kumtusi au kumkashifu Rais na kuzidi kuweka ugumu wa mambo.

anaepost mada ya kuligawa taifa au kumkashifu Rais msihisi ni mwenzenu hapana hao ndio watu wabaya kwenu wanawakwamisha bila nyinyi kujua.
Viongozi wa upinzani wanaweza kuomba nafasi ya kumuona Rais kwaajili ya mazungumzo,mama ni msikivu hawezi kukataa kamwe.kutumia nguvu ya umma au maneno makali aitofanikiwa kwasababu haiba ya watanzania kwenye mambo ya kitaifa si kutumia nguvu bali ni kukutana na kuzungumza na mambo yanakaa sawa bila labsha yoyote ile.

Uzi tayari.
 
Huyu ni mwanaharakati wa Chadema wa muda mrefu, anaposti picha ya Hamza aliyeua polisi, kuwa wanahitajika watu kama hao kwenye harakati zao... au na hapa wanapakwa tope?

Screenshot_20230815-124616.png
 
Walikuwa na hoja lakini wakashindwa kuzieleza. Wakataka kufanya hizo hoja kuwa mtaji wa kisiasa ila walichokosea ni kuunganisha matusi hoja ya ukanda,ubaguzi na udini. Wafanikiwa kuibua hisia Kali za wachache
Sure,waliruhusu kila mtu kuwa msemaji chini ya kivuli cha chama,Tec walishatoa maoni yao kuhusu mkataba kulikuwa na ulazima gani kuwavuta kuja kuzingumza ktk mikutano ya chadema??mwabukusi alitoka kama mtu huru au mwanasheria tukashangaa ghafla anajiassociate na chadema akasimama na katika mikutano ya chadema,watu wakawa wanaropoka kihisia na kuingiza hoja za kidini,kikanda chino ya mwavuli wa chadema,hata waliokuwa ccm wanapinga mkataba wakarudi nyuma maana ikawa mtego chadema wanateka kila mtu anayeonesha anamsimamo unaofanana na wao,sasa wanataka kuliingiza na jeshi na mazuala ya mapinduzi,chama hakina muelekeo tena,mjadala huru umemezwa kihisia ndo maana watu kama kina zzk wamejiweka pembeni waache chadema wajibu issue za udini na ukanda!!
 
Kwenye mkataba wa bandari zipo hoja ila waliolibeba wamekosa hakima na busara,kama kwenye maridhiano Mbowe aliomba kukutana Rais wazungumze tangia utawala wa Magu.hatimae mama akawa Rais akawaita wakazungumza na mambo yakanyooka vizuri hili la bandari imeshindikana nini kuomba kumuona Rais wazungumze?
Kama hoja zipo basi si wawasikilize, kuna haja ya kukamatana?
 
Mjadala wa bandari umeshakorogeka kwa chadema kukaribisha kila mtu mwnye akili ns asiye na akili kuzungumza chini ya kivuli chao,hatujadili tena vifungu vya mkataba bali ni udini na ukanda!!unaanza kukosoa waarabu na dini yao unategemea utapata sapoti ya waislamu?? Unaanza kukosoa wazanzibar unategemea unategemea utapata sapoti ya chama kama ACT ambach ngome yake kubwa na vipngoz wngi wanstoka znz??
 
Sio kwamba anataka, Wanasema Samia Ameuza bandari kwa Waarabu, ambao ni wajomba zake
sio kweli na haiwezi kutokea, yule mama hana ujasiri.....na kila unachokiona kina fanywa na raisi basi ufahamu kimeishajidiriwa zaidi ya mara moja
 
Mjadala wa bandari umeshakorogeka kwa chadema kukaribisha kila mtu mwnye akili ns asiye na akili kuzungumza chini ya kivuli chao,hatujadili tena vifungu vya mkataba bali ni udini na ukanda!!unaanza kukosoa waarabu na dini yao unategemea utapata sapoti ya waislamu?? Unaanza kukosoa wazanzibar unategemea unategemea utapata sapoti ya chama kama ACT ambach ngome yake kubwa na vipngoz wngi wanstoka znz??
yaaani sio siri hawa jamaa walikuwa na hoja nzuri na kweli walionyesha uzarendo, lakini walipoingiza mambo ya ukanda, udini na ukabira hapa ndipo walipuyanga....
 
Makamanda swala la DP World lilianza vizuri kwa kujadili kwa hoja na staha kubwa kiasi cha watu ku-concetrate kwenye hili swala moja tu la DP World na IGA.

Ghafla speed ikaongezeka kwa kasi na kuanza kumuhusisha Magufuli na mkataba wa bandari, wakati ni ukweli ulio wazi Magufuli wapo wanaompenda,hili jambo likapunguza nguvu kwa vipenzi vya Magufuli na kuona ajenda ni kumpaka matope Magufuli DP World ni kivuli tu pro Magu wakapiga nutral.

Ikaja speed mpya kali ya kuhusisha udini na swala la DP World kwa maneno makali yasiyo na staha kiasi cha maulamaa kuona kumbe hoja sio bandari bali ni dini ya Rais?,maulamaa wakapiga stop wakagoma kwenda Mwembe yanga.
Likaja swala la utanganyika na uzanzibari nalo watu awakulipokea kwasababu ya kauli mbovu na chafu linagawa utaifa wetu.

Lisu mjanja akaona apige turn kwenda kwenye kaburi la Magufuli pamoja na maneno mazuri ya kumpamba Magufuli wana Chato wakagoma asikanyage kwenye kaburi la Mwamba.

maamuzi yakawa kwenda mahakamani nako hola,sasa ni maandamano na kusisusia kulipa kodi.

Sasa makamanda Sugu msitumie tena nguvu mtafeli jipangeni vizuri kwasababu zipo hoja za msingi kwenye swala la bandari.

wapo watu wabaya mnawaona wako pamoja na nyinyi kumbe hapana wapo kwaajili ya kukwamisha hili jambo kwa makusudi kwa kutoa kauli na taharuki za wazi ili kuwagawa watu na kuwa kwaza wenye mamlaka ili kukwamisha hoja za msingi kama ukomo wa mkataba wa bandari,muda n,k.

Mafano:kwa makusudi kabisa ilizushwa DP World watakuja kujenga misikiti(wakati sio kweli)na makamanda wakaibeba hii hoja na kwenda nayo mitandaoni,sasa ulamaa atawezaje kumpinga mtu anaekuja kumpa misaada ya dini badala yake atahitaji aje tena haraka.
👆
aliyezusha hili ni pandikizi aliyetumwa kupenyeza kanuni ya divide and rule kwa hoja ya udini.na kweli amefanikwa maulamaa waligoma kwenda mwembe yanga.

Makamanda sugu acheni kwenda kwenda tu chujeni mambo watu na kauli zao ,watu wengine sio.
Slaa na Tibaijuka wanaonekana wazalendo hii ni kuupaka matope harakati za mkataba wa bandari.Mbowe,Warioba,Butiku,Kitine n,k hawajaonekana kutosha mpaka mpalamie watu wa hovyo na kuwaona mashujaa?

Nini kifanyike sasa makamanda sugu:

Kwanza shusheni silaha chini,tokeni mahakamani hamtoshinda,acheni kauli zisizo na staha punguzeni mijadala kwenye mitandao itakayo pelekea watu wabaya kumtusi au kumkashifu Rais na kuzidi kuweka ugumu wa mambo.

anaepost mada ya kuligawa taifa au kumkashifu Rais msihisi ni mwenzenu hapana hao ndio watu wabaya kwenu wanawakwamisha bila nyinyi kujua.
Viongozi wa upinzani wanaweza kuomba nafasi ya kumuona Rais kwaajili ya mazungumzo,mama ni msikivu hawezi kukataa kamwe.kutumia nguvu ya umma au maneno makali aitofanikiwa kwasababu haiba ya watanzania kwenye mambo ya kitaifa si kutumia nguvu bali ni kukutana na kuzungumza na mambo yanakaa sawa bila labsha yoyote ile.

Uzi tayari.
DP WORLD issue is a PURE POLITICAL SCAM
Viongozi wote wakiwa na nia njema kabisa wakiwemo wabunge na Rais mwenyewe pia, swala hili wameshaliongelea vya kutosha kabisa Hawa viongozi sasa mimi naomba wakae kimya, wasiseme chochote. Wameshaongea inatosha
Hii scam inaweza kuwa imesababishwa na mikutano ya kisiasa ambayo wenye kuendesha miikutano hiyo hawana tena hoja muhimu za kuwaeleza wanachi, ila wakiwa bado wanapenda kuendelea kufanya mikutano hiyo
 
Back
Top Bottom