Makamanda tunayo ya kujifunza kwa Raila Odinga

Makamanda tunayo ya kujifunza kwa Raila Odinga

Tunauita ushujaa. Kaeni kwa kutulia. Tunakuja:

View attachment 2559523
20230320_165454.jpg


Mnakuja wapi?? 😅😅
 
Subirini matunda mle. Kwani lini yakipatikana huwa hamtokei kudai kumwuunga mkono Mama Kwa mnachoitaga kuwa ni ridhaa yake?

View attachment 2559517
Ndugu yangu, kama kweli hayo mateso anayodai Lema, anayodai Mbowe kuwa ni mateso yanayotakikana kupata ufumbuzi wa Haki, Katiba mpya na Kadhalika....kwa nini wasingebaki huko? Sasa mnataka watoto wa wenzenu ndio wawakingie vifua!
 
Odinga hajakimbilia ubelgiji dubai wala canada kama kina fulani...amekaza 😅😅
adonga ametishwa na nan kuwa atauwawa, kapigwa risas ngapi au mnabwabwaja kama mmewekewa dudu mahala sukuma gang jiandaeni kufutwa mtake msitake.
 
Inanikumbusha maandamano ya Ukuta, Polisi walipofanya tu mazoezi ya farasi na mbwa Mbowe akatimkia Moshi na kujifungia bandani.

Hata Ruto alidhani itakuwa mchekea. Hakuna anayekataa wa kuumia watakuwapo labda na hata kufa:



Ila tutafika tu.
 
Tanzania hatuwezi kukubali ujingaa huu utokee mpaka pale wale wanaohimiza maandamano wawepo mbele ya mstari na familia zao.

I mean hauwezi kuandaa mandamano afu siku ya kuandamana ushinde kwenye TV na familia yako ukiwaangalia uliowarubuni wakila mkong'oto kutoka kwa polisi brutal.
Kama hicho ndio msimamo wa sukuma gang endeleen kupigika na maisha au andamaneni na mamazenu.
 
kama mnamaisha magumu andamaneni na mamazenu kama ambavyo mlimwambia lissu aandamane na watoto wake.
Halafu sijamtaja mtu eti zaidi ya neno 'Makamanda'! Ila wewe umemtaja mpaka Lissu!! Mama zetu, watoto wake!! Shida iko wapi?

Halafu mimi najitegemea mwenyewe. Sina utaratibu wa kumtegemea mtu katika maisha yangu.
 
Yapo mengi ya kujifunza kwa nguli mpigania haki huyu:

1. Kutambua siasa ni sayansi yenye kubadilika kulingana na mazingira.
2. Hakuna rafiki wala adui wa kudumu bali agenda.
3. Maandamano yasiyo na ukomo ndiyo njia pekee ya kupata tunachohitaji na kwa wakati.
4. Hakuna nguvu iliyo kuu kuizidi nguvu ya Umma.
5. Maandamano hupangwa na kuratibiwa kikamilifu kuweza kufanikiwa na hata kufika kuliko dhamiriwa.
6. Maandamano hayawezi kuja spontaneous kama mvua.
7. Kwenye maandamano huwa casualties hawakosekani na anaweza kuwa awaye yote.
8. Raila au wakenya katika Mapambano si wajinga wanayo hoja na wanakijua wanachokipigania.

View attachment 2559513

Mafunzo mengine karibuni tuongezee.

View attachment 2559510

"Hatuna haha ya kupoteza muda na vijana was hovyo."

Hadi hapo:

"Shikamoo Raila Amolo Odinga."
Terrible, polisi wamekimbia!
 
Watanzania tunajielewa. Tunajua nani ana tutetea na nani ni mpigaji. Mtu alipiwe madeni yake arudi kutukana bodaboda alafu ajifanye mkombozi tumuelewe labda sio wabongo
Hakuna shetani anaekosa wafuasi. Kwahiyo huyo jamaa anaetukana bodaboda ana wajinga wake kina Dawa ya Uvccm wanamkubali na kumsikiliza sana hata akiwaomba kijambio watampa tu.
 
Halafu sijamtaja mtu eti zaidi ya neno 'Makamanda'! Ila wewe umemtaja mpaka Lissu!! Mama zetu, watoto wake!! Shida iko wapi?

Halafu mimi najitegemea mwenyewe. Sina utaratibu wa kumtegemea mtu katika maisha yangu.
Pambaneni na maisha yenu hakuna kamanda atakayepigania wapumbavu wasiojitambua.
 
Back
Top Bottom