SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Mbona hamueleweki.Kama hicho ndio msimamo wa sukuma gang endeleen kupigika na maisha au andamaneni na mamazenu.
Mara 'sukuma gang' wamefinywa mirija.
Mara tutawatoa katika uso wa dunia
Mara wakazikwe huko
Mara wameficha fedha China
Mara waondolewe kwenye nyadhifa
Halafu unakuja kuwapigia goti na kuwaambia wanapigika kimaisha? How?
mbona unaleta ya Lema hapa? Uwongo, Uchonganishi na kejeli lukuki