Dawa ya Uvccm
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 2,223
- 4,717
kama mnamaisha magumu andamaneni na mamazenu kama ambavyo mlimwambia lissu aandamane na watoto wake.Makamanda wetu sisi ni wachumia tumbo tu, halafu wana njaakalihatari. Wakilambishwa kidogo tu asali, wanasahau maumivu yote waliyopitia.
Watoto wake mpaka sasa wako nje ya nchi wakifuatilia maandamano kupitia kwenye TV.Hata Odinga hakukaa mbele. Odinga kaja baadaye kutokea kusikojulikana. Hili ni funzo muhimu sana. Amekuja kuhutubia na kuweka msimamo:
View attachment 2559521
Ndugu yangu, kama kweli hayo mateso anayodai Lema, anayodai Mbowe kuwa ni mateso yanayotakikana kupata ufumbuzi wa Haki, Katiba mpya na Kadhalika....kwa nini wasingebaki huko? Sasa mnataka watoto wa wenzenu ndio wawakingie vifua!Subirini matunda mle. Kwani lini yakipatikana huwa hamtokei kudai kumwuunga mkono Mama Kwa mnachoitaga kuwa ni ridhaa yake?
View attachment 2559517
adonga ametishwa na nan kuwa atauwawa, kapigwa risas ngapi au mnabwabwaja kama mmewekewa dudu mahala sukuma gang jiandaeni kufutwa mtake msitake.Odinga hajakimbilia ubelgiji dubai wala canada kama kina fulani...amekaza 😅😅
Inanikumbusha maandamano ya Ukuta, Polisi walipofanya tu mazoezi ya farasi na mbwa Mbowe akatimkia Moshi na kujifungia bandani.
Odinga kapigwa mabomu lakini kaendeleza mtiti. Lissu alikimbilia ubalozi wa mabeberu kuomba escort akimbie 😂😂😂😂adonga ametishwa na nan kuwa atauwawa, kapigwa risas ngapi au mnabwabwaja kama mmewekewa dudu mahala sukuma gang jiandaeni kufutwa mtake msitake.
Odinga hajakimbilia ubelgiji dubai wala canada kama kina fulani...amekaza 😅😅
kama mnamaisha magumu andamaneni na mamazenu kama ambavyo mlimwambia lissu aandamane na watoto wake.
Watoto wake mpaka sasa wako nje ya nchi wakifuatilia maandamano kupitia kwenye TV.
Kama hicho ndio msimamo wa sukuma gang endeleen kupigika na maisha au andamaneni na mamazenu.Tanzania hatuwezi kukubali ujingaa huu utokee mpaka pale wale wanaohimiza maandamano wawepo mbele ya mstari na familia zao.
I mean hauwezi kuandaa mandamano afu siku ya kuandamana ushinde kwenye TV na familia yako ukiwaangalia uliowarubuni wakila mkong'oto kutoka kwa polisi brutal.
Watanzania tunajielewa. Tunajua nani ana tutetea na nani ni mpigaji. Mtu alipiwe madeni yake arudi kutukana bodaboda alafu ajifanye mkombozi tumuelewe labda sio wabongo
Mnakuja wapi.. mimi mtoto wa Odinga nipo zangu nje nafuatilia maandamano yenu kupitia kwenye TV.
Halafu sijamtaja mtu eti zaidi ya neno 'Makamanda'! Ila wewe umemtaja mpaka Lissu!! Mama zetu, watoto wake!! Shida iko wapi?kama mnamaisha magumu andamaneni na mamazenu kama ambavyo mlimwambia lissu aandamane na watoto wake.
endelea kuendesha bodaboda huku watoto wa kitila mkumbo wakifanya kaz BOT.Watanzania tunajielewa. Tunajua nani ana tutetea na nani ni mpigaji. Mtu alipiwe madeni yake arudi kutukana bodaboda alafu ajifanye mkombozi tumuelewe labda sio wabongo
Mbona unaandika ukiwa ndani na mumeo. Toa pua yako nje nikusugue kijambio.Kama hicho ndio msimamo wa sukuma gang endeleen kupigika na maisha au andamaneni na mamazenu.
Terrible, polisi wamekimbia!Yapo mengi ya kujifunza kwa nguli mpigania haki huyu:
1. Kutambua siasa ni sayansi yenye kubadilika kulingana na mazingira.
2. Hakuna rafiki wala adui wa kudumu bali agenda.
3. Maandamano yasiyo na ukomo ndiyo njia pekee ya kupata tunachohitaji na kwa wakati.
4. Hakuna nguvu iliyo kuu kuizidi nguvu ya Umma.
5. Maandamano hupangwa na kuratibiwa kikamilifu kuweza kufanikiwa na hata kufika kuliko dhamiriwa.
6. Maandamano hayawezi kuja spontaneous kama mvua.
7. Kwenye maandamano huwa casualties hawakosekani na anaweza kuwa awaye yote.
8. Raila au wakenya katika Mapambano si wajinga wanayo hoja na wanakijua wanachokipigania.
View attachment 2559513
Mafunzo mengine karibuni tuongezee.
View attachment 2559510
"Hatuna haha ya kupoteza muda na vijana was hovyo."
Hadi hapo:
"Shikamoo Raila Amolo Odinga."
Kwani kuna mahali nimemshauri mtu aandamane kwa niaba yangu!Unamsubiri nani aandamane kwa niaba yako? unataka mabadiliko kupitia kwa wengine? bado tuna safari ndefu sana.
Kwa hiyo nifanywe chambo na kina Mbowe ili mtoto wa kitila awe jobless au Mbowe nikishaandamana ataninunulia gari niache bodaboda?endelea kuendesha bodaboda huku watoto wa kitila mkumbo wakifanya kaz BOT.
Hakuna shetani anaekosa wafuasi. Kwahiyo huyo jamaa anaetukana bodaboda ana wajinga wake kina Dawa ya Uvccm wanamkubali na kumsikiliza sana hata akiwaomba kijambio watampa tu.Watanzania tunajielewa. Tunajua nani ana tutetea na nani ni mpigaji. Mtu alipiwe madeni yake arudi kutukana bodaboda alafu ajifanye mkombozi tumuelewe labda sio wabongo
Pambaneni na maisha yenu hakuna kamanda atakayepigania wapumbavu wasiojitambua.Halafu sijamtaja mtu eti zaidi ya neno 'Makamanda'! Ila wewe umemtaja mpaka Lissu!! Mama zetu, watoto wake!! Shida iko wapi?
Halafu mimi najitegemea mwenyewe. Sina utaratibu wa kumtegemea mtu katika maisha yangu.