Makamanda tunayo ya kujifunza kwa Raila Odinga


To be honest napata shida sana kuelewa unaandika nini, una tatizo kubwa la kiuandishi. Huna mtiririko mzuri wa uandishi kiasi kwamba inakuwa ngumu kuelewaka nini hasa hoja yako. Sina hakika kama ww ni mtanzania, au una asili ya Tanzania.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yani dada yetu amekuwa useless kabisa. Ndio maana kwa aibu anabadilisha IDs kila siku.

Mara ajiite Mmawia, mara Dawa ya kijambio chake nk.
Ulivyo punguani unachekelea. Hivi madreva boda boda huwa mkoje?
 
Chezeeni Serikali na Dola zake.....isitoshe karibia kila uzi majivu yenu ni kudai kuwa akwilina alifanyiwa uovu. Mnalia kila siku....
Sasa mnataka Kina Akwilina wengine kwa sababu zenu binafsi.

R.I.P Akwilina
Hawa makamanda uchwara wamejichimbia uvunguni huku wanajifanya majasiri. Hilo tatizo wanalo tangu zamani sana.
 
To be honest napata shida sana kuelewa unaandika nini, una tatizo kubwa la kiuandishi. Huna mtiririko mzuri wa uandishi kiasi kwamba inakuwa ngumu kuelewaka nini hasa hoja yako. Sina hakika kama ww ni mtanzania, au una asili ya Tanzania.
Kwa sababu tunapishana Lugha.
Huwezi gugu hayo ninayo bandika. Hakuna majibu kule.

Hata hivyo siko darasani hapa kukupa wewe mtiririko unaoutaka.
Pita huko, uache kuparamia kila nacho bandika. Utanielewa tu.
 
Kwani Raila Odinga yeye alikuwa mstari wa mbele?
 
Mnakuja wapi.. mimi mtoto wa Odinga nipo zangu nje nafuatilia maandamano yenu kupitia kwenye TV.
Maandamano yoyote huwa hayatuhusu sisi maana tunapata kila tunachohitaji. Andamaneni nyie kina kajamba nani.

Ukweli mchungu hatuwahitaji:

Your browser is not able to display this video.
 
Kwa hiyo nifanywe chambo na kina Mbowe ili mtoto wa kitila awe jobless au Mbowe nikishaandamana ataninunulia gari niache bodaboda?

Ujinga tofauti Iko hapa:

Your browser is not able to display this video.
 
Odinga hajakimbilia ubelgiji dubai wala canada kama kina fulani...amekaza πŸ˜…πŸ˜…
Zote ni njia za kufikia lengo. Hao wapigania uhuru wa South Africa wenyewe walikimbilia Mazimbu,Morogoro. Eduardo Mondlane mwenyewe aliishi Dar akimkwepa Mreno na bado anaheshimika sana Msumbiji. Na haukusoma kuna wakati Yesu na wazazi wake nao walienda exile Misri wakimkwepa Herode?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…