Mwamaleki
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 727
- 2,969
Ipende kazi yako ya uboda boda mke wanguKwa hiyo nifanywe chambo na kina Mbowe ili mtoto wa kitila awe jobless au Mbowe nikishaandamana ataninunulia gari niache bodaboda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipende kazi yako ya uboda boda mke wanguKwa hiyo nifanywe chambo na kina Mbowe ili mtoto wa kitila awe jobless au Mbowe nikishaandamana ataninunulia gari niache bodaboda?
Nyumba ipi? Akili za kitoto hivi huwezi kuwa na nyumbaMimi kwenye kuandamana nitoeni siwezi kutumika kumpambania Mr big belly yoyote nitaandamana kama nyumba yangu itavunjwa
Mke wangu nilikuaga nakuona mwenye akiliKupitia haya maelezo yako, kama kuna Kamanda yeyote yule aliyekwisha tayari kulamba asali, halafu anataka kurudi zake "uhamishoni", ni bora akarudi tu.
Hakuna sababu ya msingi ya kuwatukana wapiga kura, Kamanda.
Mkuu nilichojifunza na yanayojiri Kenya....ni kuwa Serikali hazichezewi.
"Makamanda" na hapa naweza kusema ni watia vifua mbele wa CHADEMA, wana mengi ya kujifunza.....Braza J amegusia eneo moja linalo kinzana na yale mnayohubiri hapa kila siku.....mnaita maovu. Kifo cha Akwilina. R.I.P.
Hivi karibuni jumbe zenu zimejikita katika kuwafarakanyisha na kuwachonganisha wapiga kura(mnaotegemea)na Serikali.
Mmewaita masikini na wana laana, ili kuwatia hasira....hizo sio sera bali ni uharakati. Leo mnachutama mnawaita makamanda? mnaomba waingie barabarani kama inavyotokea Kenya? Kwa sababu zipi za msingi?
Manake kila kukicha mnadai SSH kageuza kila kitu, kuanzia haki, uchumi, siasa safi n.k .n.k na hakuna hata Kiongozi mmoja wa Chadema anazungumzia "Njaa" za mtaani, why?
Sasa, ni sababu zipi za msingi zitakazo wapeleka kuingia barabarani? kama sio kutaka kuchezea dhima ya Dola?
Ulivyo punguani unachekelea. Hivi madreva boda boda huwa mkoje?Walipgika watu Wakaja kutupwa kwenye karandinga nako Wanapokelewa na vipigo.
Acha kabisa, sikia kwa mwenzio.
Kweli kabisa mke wa tumbiliBila kuwadhibiti hizi tumbili hakika taifa lingevuna mabua
[emoji23][emoji23][emoji23]Bila shaka hujapewa buyu la asali na kina mbowe!
Ulivyo punguani unachekelea. Hivi madreva boda boda huwa mkoje?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yani dada yetu amekuwa useless kabisa. Ndio maana kwa aibu anabadilisha IDs kila siku.
Mara ajiite Mmawia, mara Dawa ya kijambio chake nk.
Hawa makamanda uchwara wamejichimbia uvunguni huku wanajifanya majasiri. Hilo tatizo wanalo tangu zamani sana.Chezeeni Serikali na Dola zake.....isitoshe karibia kila uzi majivu yenu ni kudai kuwa akwilina alifanyiwa uovu. Mnalia kila siku....
Sasa mnataka Kina Akwilina wengine kwa sababu zenu binafsi.
R.I.P Akwilina
Kwa sababu tunapishana Lugha.To be honest napata shida sana kuelewa unaandika nini, una tatizo kubwa la kiuandishi. Huna mtiririko mzuri wa uandishi kiasi kwamba inakuwa ngumu kuelewaka nini hasa hoja yako. Sina hakika kama ww ni mtanzania, au una asili ya Tanzania.
Na wewe kubwa Zima na akili za kikubwa unakaa nyumba ya kupangaNyumba ipi? Akili za kitoto hivi huwezi kuwa na nyumba
Kwani Raila Odinga yeye alikuwa mstari wa mbele?Nakumbuka makamanda waliambiwa kwenye maandamano wakae mbele ili wamwagwe mkojo vizuri...tangia hapo wakapoteana mazima 😊😊
Viongozi wenu walizoea kutanguliza masikini kama chambo huku wao wanatafuna ruzuku wakakutanana na Chuma. No asali ni pumzi ya moto tu 😅😅🔥🔥🔥
Mnakuja wapi.. mimi mtoto wa Odinga nipo zangu nje nafuatilia maandamano yenu kupitia kwenye TV.
Maandamano yoyote huwa hayatuhusu sisi maana tunapata kila tunachohitaji. Andamaneni nyie kina kajamba nani.
Kwa hiyo nifanywe chambo na kina Mbowe ili mtoto wa kitila awe jobless au Mbowe nikishaandamana ataninunulia gari niache bodaboda?
Zote ni njia za kufikia lengo. Hao wapigania uhuru wa South Africa wenyewe walikimbilia Mazimbu,Morogoro. Eduardo Mondlane mwenyewe aliishi Dar akimkwepa Mreno na bado anaheshimika sana Msumbiji. Na haukusoma kuna wakati Yesu na wazazi wake nao walienda exile Misri wakimkwepa Herode?Odinga hajakimbilia ubelgiji dubai wala canada kama kina fulani...amekaza 😅😅
We chawa imekuuma sio 😹😹😹Kama hicho ndio msimamo wa sukuma gang endeleen kupigika na maisha au andamaneni na mamazenu.