Makamanda tunayo ya kujifunza kwa Raila Odinga

Makamanda tunayo ya kujifunza kwa Raila Odinga

Yapo mengi ya kujifunza kwa nguli mpigania haki huyu:

1. Kutambua siasa ni sayansi yenye kubadilika kulingana na mazingira.
2. Hakuna rafiki wala adui wa kudumu bali agenda.
3. Maandamano yasiyo na ukomo ndiyo njia pekee ya kupata tunachohitaji na kwa wakati.
4. Hakuna nguvu iliyo kuu kuizidi nguvu ya Umma.
5. Maandamano hupangwa na kuratibiwa kikamilifu kuweza kufanikiwa na hata kufika kuliko dhamiriwa.
6. Maandamano hayawezi kuja spontaneous kama mvua.
7. Kwenye maandamano huwa casualties hawakosekani na anaweza kuwa awaye yote.
8. Raila au wakenya katika Mapambano si wajinga wanayo hoja na wanakijua wanachokipigania.

View attachment 2559513

Mafunzo mengine karibuni tuongezee.

View attachment 2559510

"Hatuna haja ya kupoteza muda na vijana was hovyo."

Hadi hapo:

"Shikamoo Raila Amolo Odinga."
Sasa kwakuwa Odinga kaandamana na wewe unataka kuandamana? Wakiandamana Wasomali na wewe unataka kuandamana? Wakiandamana kina Malema na wewe uandamane? Wakiandamana Senegal kupinga Mhe. Rais Macky Sall asiongeze mhula nje ya katiba na wewe uandamane? Hoja yako ni nini hasa? 😀😀😀🙏🙏🙏
 
Kwa sababu tunapishana Lugha.
Huwezi gugu hayo ninayo bandika. Hakuna majibu kule.

Hata hivyo siko darasani hapa kukupa wewe mtiririko unaoutaka.
Pita huko, uache kuparamia kila nacho bandika. Utanielewa tu.

Narudia tena, una tatizo kubwa la uandishi, jitahidi kufanyia kazi eneo hilo. Ukifanikiwa hilo uje uendelee na mijadala humu. Ni ushauri wa bure.
 
Narudia tena, una tatizo kubwa la uandishi, jitahidi kufanyia kazi eneo hilo. Ukifanikiwa hilo uje uendelee na mijadala humu. Ni ushauri wa bure.
Utalegea tuu ....si hitaji ushauri kutoka kwa mjinga kama wewe.

Una kaswende ya kuparamia wanaume humu.

Kajinyonge kama hutaki
 
Sasa kwakuwa Odinga kaandamana na wewe unataka kuandamana? Wakiandamana Wasomali na wewe unataka kuandamana? Wakiandamana kina Malema na wewe uandamane? Wakiandamana Senegal kupinga Mhe. Rais Macky Sall asiongeze mhula nje ya katiba na wewe uandamane? Hoja yako ni nini hasa? 😀😀😀🙏🙏🙏

Umesoma mada? Wakiandamana tuna ya kujifunza:

FrqiYyHXoAA-BCP.jpeg


Juu polisi wanasepa hilo nyomi si la kawaida:



Yameorodheshwa pale. Kama vipi ongeza na ya kwako.
 
Chuma alikuwa anaongea mara moja tu. Waganga njaa wa Chadema wanatii bila shurti ni kauli moja tu 😂😂😂
Ukombozi sio lele mama unataka asali alafu unaigiza mwana harakati.
chuma mavi anayeoza chato wajane mmebaki kujifariji ujinga na ikifika 2025 tunawafuta kabisa hata udiwan wa kupita bila kupingwa mtabaki kuuota.
 
Baada ya uchaguzi wa 2020,

Siku hiyo ilikuwa jumamosi Lisu akawaambiwa machadema kwamba andamaneni nchi nzima kuanzia jumatatu yake kupinga matokeo!

Jumatatu ilipofika watu wakaendelea na mishe zao hakuna hata mbuzi aliejitokeza kuandamana,

Alipohojiwa na DW kwamba kwanini watu hawajaitikia wito wa maandamano na migomo ulioitisha? Akajibu kinyonge sana eti "nmegundua watz hawako tayari kwa manadariko"

[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio maana nasema kama mmepigika andamaneni na mamazenu lissu hana muda wa kuwambia muandamane.
 
Niliacha kutumia nguvu 2015 palee biafra
Wenye nchi walikuja kukwala matokeo vimbele mbele sie tukajifanya wafata mkumbo et! Wazee wasiondoke na matokeo , ilikuwa mshike mshike hatari palee biafra

Zilipigwa njugu live na sio kupigwa juu unalengwa yaani live live bila chenga, wapo waliokamatwa palee wakaenda nyea debe, kuna jamaa alikanyangwa mguu na baada ya matibabu kushindikana jamaa alienda kukatwa mguu- kama kuna mtu ana kumbuka ataikumbuka hii

Mimi kuna asikari mmoja alinikimbiza yaani aliniungia mpaka kwenye kona ya chuo kikuu huria kutoka shule ya biafra , aliniacha kwenye ilee kona ya chuo kikuu huria yaani sikurudi tena wallah nilipofika magheton nikachota maji bombani nikaoga nikaenda kulala moja Kwa moja yaani
Matokeo ya misuko suko ya wengine nilisikia kesho yake

Na nna huhakika kuna watu wanalamba asali kwenye hizi inshu sisi vimbele mbele tutaenda jiuguza baada ya kujitia kimbele mbele- sitaki kabsa mambo ya kutumia nguvu na vyombo vya dola other ways kuna kitu napata.’

Jamaa aliyokatwa mguu yupo tu aangaliwi na yeyote yaani imemgharimu kizembe tu, maisha hayaa daaah nachukia siasa kinoma noma sitaki kusikia chama chochote kilee
Pole mkuu, umejifunza kwa njia ngumu sana. Sisi wengine tuna macho ya rohoni utuingizi chaka kijinga.
 
Nakumbuka makamanda waliambiwa kwenye maandamano wakae mbele ili wamwagwe mkojo vizuri...tangia hapo wakapoteana mazima 😊😊
Viongozi wenu walizoea kutanguliza masikini kama chambo huku wao wanatafuna ruzuku wakakutanana na Chuma. No asali ni pumzi ya moto tu 😅😅🔥🔥🔥
Kwani siku Akwilina anauawa Mbowe hakua front ya maandamano?

Acheni kuongea upuuzi
 
Mtoto wa Mbowe anaitwa Dudley. Yeye utazama maandamano kupitia YouTube channel akiwa Dubai. Kisha anatoa inputs nini kiboreshwe na baba yake wakati huo hana hata fungu la panadol.
 
Yapo mengi ya kujifunza kwa nguli mpigania haki huyu:

1. Kutambua siasa ni sayansi yenye kubadilika kulingana na mazingira.
2. Hakuna rafiki wala adui wa kudumu bali agenda.
3. Maandamano yasiyo na ukomo ndiyo njia pekee ya kupata tunachohitaji na kwa wakati.
4. Hakuna nguvu iliyo kuu kuizidi nguvu ya Umma.
5. Maandamano hupangwa na kuratibiwa kikamilifu kuweza kufanikiwa na hata kufika kuliko dhamiriwa.
6. Maandamano hayawezi kuja spontaneous kama mvua.
7. Kwenye maandamano huwa casualties hawakosekani na anaweza kuwa awaye yote.
8. Raila au wakenya katika Mapambano si wajinga wanayo hoja na wanakijua wanachokipigania.

View attachment 2559513

Mafunzo mengine karibuni tuongezee.

View attachment 2559510

"Hatuna haja ya kupoteza muda na vijana was hovyo."

Hadi hapo:

"Shikamoo Raila Amolo Odinga."
Raila ni mroho wa madaraka. Pamoja na kwamba nawaunga mkono Wapinzani lakini hawataki WI kufanya the Raila way. Raila kapoteza uchaguzi, akaenda mahakamani akapoteza. Sasa seven months after ndiyo anamobilize watu kwa gia ya maisha magumu... This is not right.
 
The difference.

Risasi za moto (live bullets) zilipigwa kwenye hayo maandamano kama ilivyokuwa kwa Akwilina na Sheikh Ponda na assassination attempt ya Lissu? Kama hatuoni ujasiri kwenye hayo yanayotokea kwetu basi ujinga, unafiki na roho mbaya ndiyo jadi ya wengi wetu.

Nchi ina mazingira ya kisiasa ya ovyo sana, halafu wengi tunasherehekea tu na kuwakebehi wanaojitahidi kupambana kuyarekebisha. Eti watangulize familia na watoto wao wavunjwe miguu! Halafu tunalalamikia utawala mbaya na kuwashambulia wapinzani badala ya watawala kwa hali hiyo. Pathetic!
 
Achana na chawa hilo mkuuu lifirwe tu

Kwetu wengine huu ni ushujaa:

FrqgobkX0AEOr7I.jpeg


Kwetu upuuzi ni huu mnaoleta vijana hovyo:

"Hatuna haja ya kupoteza muda na vijana wa hovyo msiokuwa na mchango wowote kwa taifa hili."

Ila kutokea kwa kina Raila tunayo bwerere ya kujifunza.

Ninyi hata mkikaa kwa kutulia mkasubiri matunda, hamtupi pressure wala nini.

Wa aina yenu hata kipindi Nyerere anadai uhuru mlikuwapo wengi tu.

Bure kabsa!
 
Back
Top Bottom