Makamanda tunayo ya kujifunza kwa Raila Odinga

Makamanda tunayo ya kujifunza kwa Raila Odinga

Ukabila mtupu. Hapo "lafudhi" ni akina Okech, Odongo, onyau tupu. Kwetu tunabahati ukianzisha timbwili la kichaga dhidi ya wasukuma utakuta wanawake wa kichaga wameolewa usukumani na ma uncle kibaooo. Utatangqza ukuta watu wanakuangalia tu. Kwa hivyo mzee Nyerere alifanya jambo kubwa sana kutuunganisha watanzania. Hawa jamaa hawaendi hata hata kwenye bar, restaurant hata mabasi hawapandi ya kabila pinzani. Hii mbegu huwa haifi.
Umesikia Ruto, Gachagua au mkenya yeyote akisema pana ukabila hapo? Kalonzo, Karua, Wajakoya au Uhuru ni wajaluo? Ujaluo unaujua wewe Tandahimba huko?

Kulikoni kuonyesha umburula wako hivi mjomba?
 
WAAFRICA ni WAJINGA sana.

Mimi kwangu kuandamana ni UPUMBAVU wa Hali ya JUU.

KWANINI USIKAE MEZA MOJA NA UONGOZI MKAMALIZA TOFAUTI???

naamini sana Meza ya mazungumzo.

If a door is shut, attempts should be made to open it; if it is ajar, it should be pushed until it is wide open. In neither case should the door be blown up at the expense of those inside.

Julius Nyerere
 
Kama nyote mkiwa na nia Thabiti bila janja janja mazungumzo ni njia bora kabisa kabisa !! Maana hata Uhuru wa Nchi hii ulipatikana kwa njia ya mazungumzo tu !! It can be done ✔️ But no janja janja !!
Nikiazima maneno ya Mwalimu:

"If a door is shut, attempts should be made to open it; if it is ajar, it should be pushed until it is wide open. In neither case should the door be blown up at the expense of those inside."

Hapo ndipo sehemu ya maandamano inapokuja.
 
Raila kaitisha maandamano yasiyokuwa na ukomo kuikomboa Kenya. Malengo yake hayana tofauti na yetu makamanda.

Uwanja wa mapambano Kenya na wetu uko sawa sawa. Sisi tunakwama hapa:

1. Raila anapigana vita hii kama mkenya, siyo kama ODM au Azimio la Umoja.
2. Raila anatumia lugha rafiki akiwaunganisha wakenya kutokea katika magumu yanayowagusa wote.
3. Raila hawanyooshei vidole Kenya Kwanza, mtu au chama chochote bali William Ruto.
4. Raila haondoki alipo kuelekea kwenye maandamano bila kuzungukwa na nyomi ya haja.
5. Raila hahangaiki na wasaliti au vijana wale wa hovyo.
6. Raila amewaandaa watu kufahamu kwenye mapambano kama haya: kukamatwa, kujeruhiwa au hata kufa kumo na hakuna mwenyewe.
7. Raila anapigana huku akiongea pia, ndiyo maana shughuli hii ni ya jumatatu Kwa jumatatu, Hadi kieleweke.
8. Raila yuko wazi mapambano yake ni ya amani.
9. Nk.

View attachment 2559974

Makamanda tuendelee Kuongezea nyama ushindi ni hakika.

View attachment 2559973

Tupigane tukiongea kitaeleweka tu:

View attachment 2559972

Shikamoo Raila Amolo Odinga.
Moi alimshindwa Raila kipindi Kenya iko zama za giza..

Kibaki akanyoosha mikono, Raila akaongoza upinzani kuipatia Kenya katiba mpya

Uhuru akasanda, akafanya 'handshake' na Raila

What makes Ruto think he can contain Raila?
 
Nikiazima maneno ya Mwalimu:

"If a door is shut, attempts should be made to open it; if it is ajar, it should be pushed until it is wide open. In neither case should the door be blown up at the expense of those inside."

Hapo ndipo sehemu ya maandamano inapokuja.
Kama first option ikishindikana ! Lakini haiwezi kushindikana kama hakuna janja janja !! (Delaying tactics). !
 
Moi alimshindwa Raila kipindi Kenya iko zama za giza..

Kibaki akanyoosha mikono, Raila akaongoza upinzani kuipatia Kenya katiba mpya

Uhuru akasanda, akafanya 'handshake' na Raila

What makes Ruto think he can contain Raila?
Kwakweli nakumbuka Mwai Kibaki ilibidi aapishwe usiku umeshaingia kwa kiwewe !!
 
Kama first option ikishindikana ! Lakini haiwezi kushindikana kama hakuna janja janja !! (Delaying tactics). !
Ruto, Gachagua na genge lao wamekataa mazungumzo kama first option.

Makwetu wapo waliodai Katiba Mpya si kipaumbele chao.

Si unaona Raila anawapeleka jumatatu kwa jumatatu hadi akili iwakae sawa?

Hata Mbowe na maridhiano ni hivyo hivyo.

Angalizo: hatutavumilia janja janja zao hadi kurudi kwa nabii Issa kwa mara ya pili.
 
Raila kaitisha maandamano yasiyokuwa na ukomo kuikomboa Kenya. Malengo yake hayana tofauti na yetu makamanda.

Uwanja wa mapambano Kenya na wetu uko sawa sawa. Sisi tunakwama hapa:

1. Raila anapigana vita hii kama mkenya, siyo kama ODM au Azimio la Umoja.
2. Raila anatumia lugha rafiki akiwaunganisha wakenya kutokea katika magumu yanayowagusa wote.
3. Raila hawanyooshei vidole Kenya Kwanza, mtu au chama chochote bali William Ruto.
4. Raila haondoki alipo kuelekea kwenye maandamano bila kuzungukwa na nyomi ya haja.
5. Raila hahangaiki na wasaliti au vijana wale wa hovyo.
6. Raila amewaandaa watu kufahamu kwenye mapambano kama haya: kukamatwa, kujeruhiwa au hata kufa kumo na hakuna mwenyewe.
7. Raila anapigana huku akiongea pia, ndiyo maana shughuli hii ni ya jumatatu Kwa jumatatu, Hadi kieleweke.
8. Raila yuko wazi mapambano yake ni ya amani.
9. Nk.

View attachment 2559974

Makamanda tuendelee Kuongezea nyama ushindi ni hakika.

View attachment 2559973

Tupigane tukiongea kitaeleweka tu:

View attachment 2559972

Shikamoo Raila Amolo Odinga.
Issue sio makamanda. Issue ni sisi watanzania. Unafikiri mtanzania ataandamana akitishiwa bomu la machozi? Sisi waoga, period. Naomba waniprove wrong. Nitafurahi.
 
Ruto, Gachagua na genge lao wamekataa mazungumzo kama first option.

Makwetu wapo waliodai Katiba Mpya si kipaumbele chao.

Si unaona Raila anawapeleka jumatatu kwa jumatatu hadi akili iwakae sawa?

Hata Mbowe na maridhiano ni hivyo hivyo.

Angalizo: hatutavumilia janja janja Hadi kurudi kwa nabii Issa kwa mara ya pili.
Duh !!
 
Back
Top Bottom