Makamanda tusitegemee Mbowe kudai Katiba Mpya. Tayari ameshaingia kwenye 18 za CCM

Makamanda tusitegemee Mbowe kudai Katiba Mpya. Tayari ameshaingia kwenye 18 za CCM

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Kauli zake zinatia mashaka makubwa.

Tayari ameshatishika na anajipendekeza kwa Rais Samia.

Mimi ndiyo maana kwa machungu niliyonayo huwa naamua kusema u
Screenshot_20220309-083147.jpg
kweli.

Mbowe tayari amenyoosha mikono juu.
 
Kauli zake zinatia mashaka makubwa.

Tayari ameshatishika na anajipendekeza kwa rais Samia.

Mimi ndio maana kwa machungu niliyonayo ndio maana huwa naamua kusema uView attachment 2144073kweli.

Mbowe tayari amenyoosha mikono juu.

Kivipi?. Mbowe mwenyewe kakiri kwamba yeye sio CHADEMA , hivyo yeye hawezi kuzuia kudaiwa kwa katiba mpya.
 
Mbowe hawezi kudai tena katiba mpya, akijaribuvkesi yake inafufuliwa upya, kumbuka hajashinda kesi, bali imewekwa pending.
 
Mimi kuna mtu kabisa alinitamkia kuwa siku zote mbowe sio chadema miaka hiyo yote, yeye yupo pale kama kivuli.

Mtu huyo akaendelea kuniuliza maswali, akaniuliza je nina uakika mbowe alikuwa akilala selo? Za chini zinasema hakuwahi kulala selo hata siku moja.tunaona kapandishwa gari yanayojili huko ni siri.

Na ajaniambia si karudi uraian? Hawezi fungua mdomo wake tena, sana sana atapiga kelele zile za kawaida tulizozizoea.
 
Back
Top Bottom