denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Labda tuanze kumtafuta kwa fake id yake mpaka tumjue yeye ni nani ndio atuongozee mapambano.Ushauri wako tujipange na Zitto au Polepole?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda tuanze kumtafuta kwa fake id yake mpaka tumjue yeye ni nani ndio atuongozee mapambano.Ushauri wako tujipange na Zitto au Polepole?
Labda tuanze kumtafuta kwa fake id yake mpaka tumjue yeye ni nani ndio atuongozee mapambano.
Kauli zake zinatia mashaka makubwa.
Tayari ameshatishika na anajipendekeza kwa rais Samia.
Mimi ndio maana kwa machungu niliyonayo ndio maana huwa naamua kusema uView attachment 2144073kweli.
Mbowe tayari amenyoosha mikono juu.
Wewe huwezi kuelewa.
Huwa una tu-stories twa kijinga kweli.Kauli zake zinatia mashaka makubwa.
Tayari ameshatishika na anajipendekeza kwa rais Samia.
Mimi ndio maana kwa machungu niliyonayo ndio maana huwa naamua kusema uView attachment 2144073kweli.
Mbowe tayari amenyoosha mikono juu.
Hakuna upinzani Tanzania!
Supporting opposition politicians in Tanzania is a wild goose chase!
An exercise in futility!
Ni uhuru na utashi wako. Hata hivyo haujawahi kuwa wa upinzani.Hakuna upinzani Tanzania!
Supporting opposition politicians in Tanzania is a wild goose chase!
An exercise in futility!
Wapinzani tunatia aibu sana. Hatuna misimamo.
Wewe gamba unajifanya CDM kafie mbaliWewe huwezi kuelewa.
Alikushika masikio...je haku kukopa?Mimi kuna mtu kabisa alinitamkia kuwa siku zote mbowe sio chadema miaka hiyo yote, yeye yupo pale kama kivuli.
Mtu huyo akaendelea kuniuliza maswali, akaniuliza je nina uakika mbowe alikuwa akilala selo? Za chini zinasema hakuwahi kulala selo hata siku moja.tunaona kapandishwa gari yanayojili huko ni siri.
Na ajaniambia si karudi uraian? Hawezi fungua mdomo wake tena, sana sana atapiga kelele zile za kawaida tulizozizoea.
Ile kesi haiwezi kufunguliwa tena katika mahakama yoyote hapa Tz, kenge bluu wewe.Mbowe hawezi kudai tena katiba mpya, akijaribuvkesi yake inafufuliwa upya, kumbuka hajashinda kesi, bali imewekwa pending.
Amekua compromised
Poleni sana mnaojaribu kupoza maumivu yenu baada ya Mbowe kuwa huru. Madai yapo vilevile. KATIBA mpya yaja vilevile.Mbowe hawezi kudai tena katiba mpya, akijaribuvkesi yake inafufuliwa upya, kumbuka hajashinda kesi, bali imewekwa pending.
Wewe si mlawa wewe, Mimi siyo mlawa nimekwambia!We ni pimbi? Mimi sio CCM
Wewe ni CCM, labda kuna wachache wasiolifahamu hilo ila wengi wanaufahamu u CCM wako.We ni pimbi? Mimi sio CCM
Kwani Katiba Mpya ni kwa manufaa ya Mbowe??Kauli zake zinatia mashaka makubwa.
Tayari ameshatishika na anajipendekeza kwa rais Samia.
Mimi ndio maana kwa machungu niliyonayo ndio maana huwa naamua kusema uView attachment 2144073kweli.
Mbowe tayari amenyoosha mikono juu.
Anaupenda ukamanda na mbogamboga Kwa wakati mmoja. Karibu kwenye ukamanda potezea mboga mboga.Kwan ukikubal utadhurika?? Yaan ujipatie dhambi bure kwa kukaza shingo? Kubali tu ww ni mbogamboga FC!!!
Wewe pambana na hali yako hapo mbogamboga, yawenzio waachie, kesi mchongo imedunda. Unda nyingine.Mbowe alishaelekea kibra siku kadhaa kabla hajatoka jela!
Hii ya kumsifia sifia Samia na kumshukuru kwa kuonesha utu kwenye kesi yake wakati yeye ndio aliemfunga ilitqkiwa iwazindue machadema. Lakini watazindukaje? Akili hiyo wanayo?
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Mbowe hawezi kudai tena katiba mpya, akijaribuvkesi yake inafufuliwa upya, kumbuka hajashinda kesi, bali imewekwa pending.
Sawa yeye hawezi kuzuia kudaiwa kwa katiba mpya lakini yeye hatohusika na kudai huko.Kivipi?. Mbowe mwenyewe kakiri kwamba yeye sio CHADEMA , hivyo yeye hawezi kuzuia kudaiwa kwa katiba mpya.