Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asipodai yeye, wewe si uendelee kudai..?Kauli zake zinatia mashaka makubwa.
Tayari ameshatishika na anajipendekeza kwa rais Samia.
Mimi ndio maana kwa machungu niliyonayo ndio maana huwa naamua kusema uView attachment 2144073kweli.
Mbowe tayari amenyoosha mikono juu.
Familia zetu zinalala njaa eti mnataka kukomboa watu milioni sitini, familia ya mke na watoto wawili imekushindaKauli zake zinatia mashaka makubwa.
Tayari ameshatishika na anajipendekeza kwa rais Samia.
Mimi ndio maana kwa machungu niliyonayo ndio maana huwa naamua kusema uView attachment 2144073kweli.
Mbowe tayari amenyoosha mikono juu.
Acha uongoKweli mimi ni team jpm ila huwezi amini sina kadi ya ccm nina kadi ya chadema. Na mwaka 2015 nilimnadi sana lowasa.huu ndo ukweli.na hakuna sehemu hata humu nilishawahi msema vibaya mbowe.
Mimi ni muelewa awe upinzani au ccm anapofanya vizuri namsaport.
Kubwa kuliko yoooote hakuna kitu kilichoniuma kama kifo cha jpm. Tena umenikumbusha machungu trh kama ya leo ndo nilipata taarifa ya kifo cha jpm. Niliumia sana. Na muda huu niko chato nishalia macho yamevimba nitatoka mwisho wa mwezi huu.
Rip jpm wetu.
Watoto bwanaMimi kuna mtu kabisa alinitamkia kuwa siku zote mbowe sio chadema miaka hiyo yote, yeye yupo pale kama kivuli.
Mtu huyo akaendelea kuniuliza maswali, akaniuliza je nina uakika mbowe alikuwa akilala selo? Za chini zinasema hakuwahi kulala selo hata siku moja.tunaona kapandishwa gari yanayojili huko ni siri.
Na ajaniambia si karudi uraian? Hawezi fungua mdomo wake tena, sana sana atapiga kelele zile za kawaida tulizozizoea.
Mimi kuna mtu kabisa alinitamkia kuwa siku zote mbowe sio chadema miaka hiyo yote, yeye yupo pale kama kivuli.
Mtu huyo akaendelea kuniuliza maswali, akaniuliza je nina uakika mbowe alikuwa akilala selo? Za chini zinasema hakuwahi kulala selo hata siku moja.tunaona kapandishwa gari yanayojili huko ni siri.
Na ajaniambia si karudi uraian? Hawezi fungua mdomo wake tena, sana sana atapiga kelele zile za kawaida tulizozizoea.
Kwani Mbowe ndiye anadai katiba mpya wananchi hawaitaki?Kauli zake zinatia mashaka makubwa.
Tayari ameshatishika na anajipendekeza kwa rais Samia.
Mimi ndio maana kwa machungu niliyonayo ndio maana huwa naamua kusema uView attachment 2144073kweli.
Mbowe tayari amenyoosha mikono juu.
Mbowe kutoka jela, mbona sijasikia neno lolote toka kwa Lissu?Kauli zake zinatia mashaka makubwa.
Tayari ameshatishika na anajipendekeza kwa rais Samia.
Mimi ndio maana kwa machungu niliyonayo ndio maana huwa naamua kusema uView attachment 2144073kweli.
Mbowe tayari amenyoosha mikono juu.
And you would rather support the crooked ruling party...Hakuna upinzani Tanzania!
Supporting opposition politicians in Tanzania is a wild goose chase!
An exercise in futility!
Kwa hiyo wanaosema Mbowe anajipendekeza kwa Samia ni waongo? Manake kwa unachosema, Mbowe tayari yuko upande wa serikali.Mimi kuna mtu kabisa alinitamkia kuwa siku zote mbowe sio chadema miaka hiyo yote, yeye yupo pale kama kivuli.
Mtu huyo akaendelea kuniuliza maswali, akaniuliza je nina uakika mbowe alikuwa akilala selo? Za chini zinasema hakuwahi kulala selo hata siku moja.tunaona kapandishwa gari yanayojili huko ni siri.
Na ajaniambia si karudi uraian? Hawezi fungua mdomo wake tena, sana sana atapiga kelele zile za kawaida tulizozizoea.
Unaamini upinzani wa kweli unahitajika Tanzania?Sina haja ya kuanzisha upinzani wangu!
Out of curiosity, hizo hisia nzito kiasi hicho kwa JPM zinaelezeka? Au ndio nafsi kuamua tu?Kweli mimi ni team jpm ila huwezi amini sina kadi ya ccm nina kadi ya chadema. Na mwaka 2015 nilimnadi sana lowasa.huu ndo ukweli.na hakuna sehemu hata humu nilishawahi msema vibaya mbowe.
Mimi ni muelewa awe upinzani au ccm anapofanya vizuri namsaport.
Kubwa kuliko yoooote hakuna kitu kilichoniuma kama kifo cha jpm. Tena umenikumbusha machungu trh kama ya leo ndo nilipata taarifa ya kifo cha jpm. Niliumia sana. Na muda huu niko chato nishalia macho yamevimba nitatoka mwisho wa mwezi huu.
Rip jpm wetu.