Makamanda tusitegemee Mbowe kudai Katiba Mpya. Tayari ameshaingia kwenye 18 za CCM

Makamanda tusitegemee Mbowe kudai Katiba Mpya. Tayari ameshaingia kwenye 18 za CCM

Usalama wa kimasilahi binafsi ni bora kwa kila mwanadamu mwenye uhai......
 
Kauli zake zinatia mashaka makubwa.

Tayari ameshatishika na anajipendekeza kwa rais Samia.

Mimi ndio maana kwa machungu niliyonayo ndio maana huwa naamua kusema uView attachment 2144073kweli.

Mbowe tayari amenyoosha mikono juu.
Asipodai yeye, wewe si uendelee kudai..?

Na wewe obviousily ni wa upande wa wale wa kijani CCM kuumiza na kubambikia wapinzani wenu wa kisiasa kesi za ugaidi wa uongo....

Wewe unajiona mjanja eti umeji - comouflage kwa avatar ya logo/brand ya CHADEMA na kuji - personify kwenye u - CHADEMA kwa kujiita jina la "KAMANDA" wakati unajulikana wazi kwa kauli na maandishi yako wewe ni wa kule wa kula na kulala kwa mama....

Na hapa unaandika kwa sababu tu umejawa na hisia hasi dhidi ya M/kiti ndg Freeman Mbowe na unajaribu kuchochoea wana - CHADEMA waondoe imani kwake....

This is too cheap ndugu. Tuko kwenye majira na nyakati za kizazi cha kufikiri na ku - reason. Nyakati za propaganda za aina hii unazofanya wewe zilishapita miaka mingi....
 
Putin amefurahishwa sana na uzi wako wa kutaka tusitegemee Mbowe kudai katiba mpya na kwamba ameshaingia kwenye kumi na nane za CCM,msikilize hapa.
 
Kauli zake zinatia mashaka makubwa.

Tayari ameshatishika na anajipendekeza kwa rais Samia.

Mimi ndio maana kwa machungu niliyonayo ndio maana huwa naamua kusema uView attachment 2144073kweli.

Mbowe tayari amenyoosha mikono juu.
Familia zetu zinalala njaa eti mnataka kukomboa watu milioni sitini, familia ya mke na watoto wawili imekushinda
 
Unafikiri sero ni kitu kidogo eti muache tu mwenzio apumzike
 
Kweli mimi ni team jpm ila huwezi amini sina kadi ya ccm nina kadi ya chadema. Na mwaka 2015 nilimnadi sana lowasa.huu ndo ukweli.na hakuna sehemu hata humu nilishawahi msema vibaya mbowe.

Mimi ni muelewa awe upinzani au ccm anapofanya vizuri namsaport.

Kubwa kuliko yoooote hakuna kitu kilichoniuma kama kifo cha jpm. Tena umenikumbusha machungu trh kama ya leo ndo nilipata taarifa ya kifo cha jpm. Niliumia sana. Na muda huu niko chato nishalia macho yamevimba nitatoka mwisho wa mwezi huu.

Rip jpm wetu.
Acha uongo
 
Mimi kuna mtu kabisa alinitamkia kuwa siku zote mbowe sio chadema miaka hiyo yote, yeye yupo pale kama kivuli.

Mtu huyo akaendelea kuniuliza maswali, akaniuliza je nina uakika mbowe alikuwa akilala selo? Za chini zinasema hakuwahi kulala selo hata siku moja.tunaona kapandishwa gari yanayojili huko ni siri.

Na ajaniambia si karudi uraian? Hawezi fungua mdomo wake tena, sana sana atapiga kelele zile za kawaida tulizozizoea.
Watoto bwana
 
ccm ni watu wa ajabu sana yaan mtu mwenye akili hawezi kupinga mchakato wa katiba never sometimes naumia sana kuona
wanaotuongoza ni brainless than us...
 
Anayehitaji sana katiba mpya ni mwanasiasa, wananchi wa kawaida hawajui hata hii katiba ya sasa ina mapungufu gani
 
Ukiwaambiwa neno na mjinga na hilo neno ukaliamini basi wewe ni mpumbavu-Uknown.
Mimi kuna mtu kabisa alinitamkia kuwa siku zote mbowe sio chadema miaka hiyo yote, yeye yupo pale kama kivuli.

Mtu huyo akaendelea kuniuliza maswali, akaniuliza je nina uakika mbowe alikuwa akilala selo? Za chini zinasema hakuwahi kulala selo hata siku moja.tunaona kapandishwa gari yanayojili huko ni siri.

Na ajaniambia si karudi uraian? Hawezi fungua mdomo wake tena, sana sana atapiga kelele zile za kawaida tulizozizoea.
 
Kauli zake zinatia mashaka makubwa.

Tayari ameshatishika na anajipendekeza kwa rais Samia.

Mimi ndio maana kwa machungu niliyonayo ndio maana huwa naamua kusema uView attachment 2144073kweli.

Mbowe tayari amenyoosha mikono juu.
Kwani Mbowe ndiye anadai katiba mpya wananchi hawaitaki?
Kwanini atolewe chambo kamanda kama vipi zamu yako sasa kukaa front na kuongoza madai ya katiba
 
Mimi kuna mtu kabisa alinitamkia kuwa siku zote mbowe sio chadema miaka hiyo yote, yeye yupo pale kama kivuli.

Mtu huyo akaendelea kuniuliza maswali, akaniuliza je nina uakika mbowe alikuwa akilala selo? Za chini zinasema hakuwahi kulala selo hata siku moja.tunaona kapandishwa gari yanayojili huko ni siri.

Na ajaniambia si karudi uraian? Hawezi fungua mdomo wake tena, sana sana atapiga kelele zile za kawaida tulizozizoea.
Kwa hiyo wanaosema Mbowe anajipendekeza kwa Samia ni waongo? Manake kwa unachosema, Mbowe tayari yuko upande wa serikali.

Anyway, kwa Mbowe mengi yanasemwa na wanaCCM na mahasimu wake: Mbowe ni mchaga; anapenda pesa; hawezi kugomea ruzuku, ni mlevi wa Konyagi, ana mchepuko special, ananyanyasa kijinsia viti maalum, anakula ruzuku ya chama, anakula pasenti mishahara ya wabunge, anakilangua chama, ni gaidi, ni kibaraka wa mabeberu, muuza ngada, ni mhaini, ni system, Memba wa deep state, ni TISS, yuko upinzani kwa kazi maalum, n.k., n.k. !?

Well, your choice madam: kipi hasa unapenda kuamini kuhusu Mbowe?
 
Kweli mimi ni team jpm ila huwezi amini sina kadi ya ccm nina kadi ya chadema. Na mwaka 2015 nilimnadi sana lowasa.huu ndo ukweli.na hakuna sehemu hata humu nilishawahi msema vibaya mbowe.

Mimi ni muelewa awe upinzani au ccm anapofanya vizuri namsaport.

Kubwa kuliko yoooote hakuna kitu kilichoniuma kama kifo cha jpm. Tena umenikumbusha machungu trh kama ya leo ndo nilipata taarifa ya kifo cha jpm. Niliumia sana. Na muda huu niko chato nishalia macho yamevimba nitatoka mwisho wa mwezi huu.

Rip jpm wetu.
Out of curiosity, hizo hisia nzito kiasi hicho kwa JPM zinaelezeka? Au ndio nafsi kuamua tu?
 
Back
Top Bottom