Makamanda tusitegemee Mbowe kudai Katiba Mpya. Tayari ameshaingia kwenye 18 za CCM

Makamanda tusitegemee Mbowe kudai Katiba Mpya. Tayari ameshaingia kwenye 18 za CCM

Kwa hiyo wanaosema Mbowe anajipendekeza kwa Samia ni waongo? Manake kwa unachosema, Mbowe tayari yuko upande wa serikali.

Anyway, kwa Mbowe mengi yanasemwa na wanaCCM na mahasimu wake: Mbowe ni mchaga; anapenda pesa; hawezi kugomea ruzuku, ni mlevi wa Konyagi, ana mchepuko special, ananyanyasa kijinsia viti maalum, anakula ruzuku ya chama, anakula pasenti mishahara ya wabunge, anakilangua chama, ni gaidi, ni kibaraka wa mabeberu, muuza ngada, ni mhaini, ni system, Memba wa deep state, ni TISS, yuko upinzani kwa kazi maalum, n.k., n.k. !?

Well, your choice madam: kipi hasa unapenda kuamini kuhusu Mbowe?

Out of curiosity, hizo hisia nzito kiasi hicho kwa JPM zinaelezeka? Au ndio nafsi kuamua tu?
We acha tu huyu mtu hakustaili kufa mapema hivi. Yale mazingira ya kifo yanauma
 
Tuwe na katiba ambayo itaondoa ukiritimba wa kiuongozi.

Katiba ambayo itatupa wanachama mamlaka na maamuzi juu ya chama chetu.

Katiba ambayo itabadili chama chetu kuwa sio mali ya familia ya watu kadhaa.

Tunatakiwa kubadili katiba yetu maana sasa tumekata tamaa juu ya katiba mpya.

Charity begins at home.
 
Kamanda kila siku katika nyuzi zako huachi kuonyesha yale unayodhani ni mapungufu yaliyopo ndani ya CDM. Ni vyema ukatumia muda na nafasi yako ikiwa kama kweli wewe ni mwanchama hai kufikisha maoni yako kupitia viongozi wako.

Hata ukiandika nyuzi nyingi kila siku, zitakuwa hazina maana yoyote ile kama wahusika hawazioni. Na pia hata kama wanaziona, zitakuwa hazina maana yoyote ile kwao na pengine kuzipuuzia kutokana wao kukuona wewe ni kama mlopokaji tu, na pia kama mtu mwenye uelewa mdogo sana wa masuala ya chama.
 
Kamanda kila siku katika nyuzi zako huachi kuonyesha yale unayodhani ni mapungufu yaliyopo ndani ya CDM. Ni vyema ukatumia muda na nafasi yako ikiwa kama kweli wewe ni mwanchama hai kufikisha maoni yako kupitia viongozi wako.

Hata ukiandika nyuzi nyingi kila siku, zitakuwa hazina maana yoyote ile kama wahusika hawazioni. Na pia hata kama wanaziona, zitakuwa hazina maana yoyote ile kwao na pengine kuzipuuzia kutokana wao kukuona wewe ni kama mlopokaji tu, na pia kama mtu mwenye uelewa mdogo sana wa masuala ya chama.
Huyu ni "MPUMBAVU ASIE CHOKA" mbele ya "WEREVU TUSIOKUA NA MWISHO"

Makamanda huyu niachieni mimi nyie endeleeni na shughuli zingine

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ... Safari hii ndio atajua hajui !
 
kwa hiyo mbowe ndotulimtuma adai katiba yetu? kama tumegundua mbowe amechoka, muhimu kama watanzania nikatiba ya chadema au ya nchi? maana kama katiba inayofanya nchi kuwa ya familia ni ya nchi au ya chama? mbowe anadai katiba ya nchi wewe unataka tudai ya chadema nawala siya ccm wala vyama vingine nani amechoka kati ya mbowe na wewe? mbowe alianza harakati za kudai haki wewe ulifanya nini kuendeleza,?
 
Sawa yeye hawezi kuzuia kudaiwa kwa katiba mpya lakini yeye hatohusika na kudai huko.

Kalagabaho!
Sidhani kama hayo yataweza kuwasaidia kuiepuka Katiba mpya. Inakuja tu.
Wakati wa kuwa na katiba itakayoweka misingi ya haki, uhuru na maendeleo sawa na sawia, ndio HUU
 
Kauli zake zinatia mashaka makubwa.

Tayari ameshatishika na anajipendekeza kwa Rais Samia.

Mimi ndiyo maana kwa machungu niliyonayo huwa naamua kusema uView attachment 2144073kweli.

Mbowe tayari amenyoosha mikono juu.
Suala la katiba mpya ni la wananchi wote na sio la Mbowe.

Katika vita kufa kwa baadhi ya askari njiani ni kawaida ivyo kutokuwepo kwa Mbowe hakutoondoa madai ya katiba mpya...wapo wengineo wengi km akina Lissu.
 
Kweli mimi ni team jpm ila huwezi amini sina kadi ya ccm nina kadi ya chadema. Na mwaka 2015 nilimnadi sana lowasa.huu ndo ukweli.na hakuna sehemu hata humu nilishawahi msema vibaya mbowe.

Mimi ni muelewa awe upinzani au ccm anapofanya vizuri namsaport.

Kubwa kuliko yoooote hakuna kitu kilichoniuma kama kifo cha jpm. Tena umenikumbusha machungu trh kama ya leo ndo nilipata taarifa ya kifo cha jpm. Niliumia sana. Na muda huu niko chato nishalia macho yamevimba nitatoka mwisho wa mwezi huu.

Rip jpm wetu.
Sabaya,
acha porojo tumia nguvu zilizosalia kusimamia mikesi yako
1646987324113.png
 
Kauli zake zinatia mashaka makubwa.

Tayari ameshatishika na anajipendekeza kwa Rais Samia.

Mimi ndiyo maana kwa machungu niliyonayo huwa naamua kusema uView attachment 2144073kweli.

Mbowe tayari amenyoosha mikono juu.
Mbowe na lissu sasa rasmi ni mateka, miezi 8 jela huyu jamaa kaona kwa vyovyote waongee na mama kuuza chama chao lakini atoke tu, mbowe hawezi tena kuwa kiongozi wa upinzani
 
Ndiyo.

Haki inaweza kupatikana bila katiba mpya.

Hii hii katiba ya sasa ikifuatwa vizuri, haki itapatikana vizuri tu mbona.

Mimi nataka katiba mpya. Lakini katiba mpya haitoleta haki automatically.

Haki huletwa na watu. Hailetwi na kurasa za vitabu.
Hii Katiba iliyopo haiwezi kutoa haki kwa sababu inategemea utashi wa mtu.
Of course, Katiba Mpya hata iwe nzuri vipi kama itakuwa ignored haitaleta haki. Uzuri wake ni kuwa watakao idharau watajua kuwa iko siku watalipia udhalimu wao.

Amandla..
 
Back
Top Bottom