wewe kila kukicha unaandika ujinga tuuu.sijui kwa faida ya nani? bilashaka umelaaniwa kwa uzushi na uongo
Juzi hapa mlikuwa mnaomba MBOWE afungwe mkimwita gaidi.... gaidi katoka kaitwa ikulu mnaendelea kumzushia mwacheni mbowe apumzike.
hoja ya katiba mpya ni ya wanachadema wenyewe wakiongozwa na mbowe kama mkt, tena ilipoanzishwa mlibeza kwamba wananchi wanataka maendeleo na siyo katiba.
KAMA MBOWE KANUNULIWA WEWE SI UFURAHI? UNAUMIA NINI
ewe mwana wa shetani wa lumumba acha uzushi, majungu, fitna na roho ya chuki kwa MBOWE