Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Tangu lini Makamanda wa Polisi mkadai Katiba? Nyie ni watiifu Kwa CCM mnaona suala la Katiba haliwahusu.Kauli zake zinatia mashaka makubwa.
Tayari ameshatishika na anajipendekeza kwa rais Samia...
Kauli zake zinatia mashaka makubwa.
Tayari ameshatishika na anajipendekeza kwa rais Samia.
Mimi ndio maana kwa machungu niliyonayo ndio maana huwa naamua kusema uView attachment 2144073kweli.
Mbowe tayari amenyoosha mikono juu.
KiherehereWe si CCM shida iko wapi?
Wewe huwezi kuelewa.Kivipi?. Mbowe mwenyewe kakiri kwamba yeye sio CHADEMA , hivyo yeye hawezi kuzuia kudaiwa kwa katiba mpya.
We ni pimbi? Mimi sio CCMKuherehere
Hawa wanyiramba ni watu wa hovyo sn yupo huko kwa Mwigulu Nchemba kwenye nyumba za tembe tupuKuherehere
Wapinzani tunatia aibu sana. Hatuna misimamo.Hakuna upinzani Tanzania!
Supporting opposition politicians in Tanzania is a wild goose chase!
An exercise in futility!
Huyo mnywa pombe za kienyeji hana issue mkuu msamehe bureKwahio hio Taarifa kwa Akili yako umeidadavua kua Mbowe Ka Nywea??..Basi huo ni uelewa wako na waeleweshe hivo na kizazi chako ila sio sisi tunaoelewa zaidi°
Kwanini usianzishe chama chako?Wapinzani tunatia aibu sana. Hatuna misimamo.
Ndugu yangu tuwe tunakubali ukweli.Kwanini usianzishe chama chako?
Kaeni na Mwigulu Nchemba muanzishe chama chenuNdugu yangu tuwe tunakubali ukweli.
Mimi nitasema kweli daima.Kaeni na Mwigulu Nchemba muanzishe chama chenu
Unajua kusoma na kuandika?Kwahio hio Taarifa kwa Akili yako umeidadavua kua Mbowe Ka Nywea??..Basi huo ni uelewa wako na waeleweshe hivo na kizazi chako ila sio sisi tunaoelewa zaidi°