Uchaguzi 2020 Makamanda wameshagaragazwa hawana pumzi tena

Uchaguzi 2020 Makamanda wameshagaragazwa hawana pumzi tena

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
CCM inakwenda kukamilisha kazi mpaka muda huu Lissu amebaki kupiga kelele na kuvuta pumzi za mwisho kabla CCM haijatangazwa mshindi wa kishindo,makamanda wamekazana kulalamika twitter tu hajulikani mwenyekiti yupo wapi makamu ni nani wala katibu yuko wapi kila mmoja anasema lugha yake.

CCM hawana huruma na watawavuruga kweli maana mpaka sasa wameshavuna wabunge na madiwani kibao.

Ilitakiwa makamanda viongozi waitishe kikao cha dharura lakini ndio kwanza tumbo kwanza chama baadae,sema kwa kuwa hawana cha kupoteza wacha tuwaangalie.

KUTAFUTA WADHAMINI SIO KUWAFIKIA WAPIGA KURA.

Tukutane uwanja wa Jamhuri siku ya kuapishwa Rais kipenzi cha Watanzania JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI!
 
Nyota njema!
IMG_20200827_112803.jpg
 
Upinzani hasa Chadema na Act nadhani hamkujiandaa vizuri kwa uchaguzi, kitendo cha wagombea wenu wa ubunge na udiwani kuondolewa kwa kushindwa kujaza fomu vizuri ni aibu kwenu.

Kama mmeshindwa kuwasimamia wagombea wenu kujaza fomu zao kwa usahihi, je mnafaa kuaminiwa kuunda serikali?
 
Kwenye form hz passport mbona picha ya mheshimiwa inaonekana sikio moja??? Vp aligrukia pembeni au madoido

Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
Sheria ya Uchaguzi haijasema lazima masikio yote yaonekane ila inataka passport size tu yaani ukubwa wa picha ya mgombea na muonekano wa sura yake tu yaani uso. Mnalishwa matango na huyo Lissu wenu wakati mwingine tumieni akili zenu vizuri.
 
Kasuku wa kihindi hawana zaidi ya kukariri!
Ccm ni waoga mpaka mnaomba msaada NEC mpitishwe kuwa wagombea pekee, kama nyie kweli ni chama kubwa tushindane kwenye sanduku la kura msipende ushindi wa mezani
 
Back
Top Bottom