Uchaguzi 2020 Makamanda wameshagaragazwa hawana pumzi tena

Uchaguzi 2020 Makamanda wameshagaragazwa hawana pumzi tena

Nimeskia ratiba za kampeni mtaa wa Saba Dodoma najiuliza hizo ni kampeni za kutangaza SERA ama ni FIESTA?

Wasanii zaidi ya 100; hii ni mpya ya dunia.

Hapo nafikiri wasanii wamepata nafasi ya uzinduzi wa albam mpya walizonazo bure bure!!

CDM wapeni wananchi wanachotaka kukisikia ambazo ni Sera kwenye Elimu; Afya na hasa hasa Kilimo ambacho kinabeba wengi, haya mamiziki mamiziki ni kuwapumbaza watu ili wasipate muda wa kutafakari kwa kina sera badala yake wajikite kumshangaa Diamond na Harmonise!!
 
Kipindi kile CDM inapuyanga mikoani kupiga makelele kwa MGONGO wa kutafuta wadhamini, CCM ilikuwa kimya utafikiri haijui kinachoendelea , kwa Akili ndogo za Wana CDM na Viongozi wao wakawa wanaji mwambafai kuwa wameishika pabaya CCM, wakasahau kuwa wahenga walisema; "Ukiona tembo kainama jua anatunga Sheria".

Wakati ule CCM imekaa kimya ilitakiwa mujiulize swali la kwanini wapo kimya na Wala siyo kushangilia ukimya huo.
Zaidi ya majimbo 50 kwa Sasa Ni cleansheet kwa CCM na mamia ya kata Ni cleansheet wakati huo CDM macho yote kwa Lissu.
 
Mnawaondoa wagombea wa vyama vya upinzani mkidhani itatukatisha tamaa. Mmechelewa
 
Ccm ni waoga mpaka mnaomba msaada NEC mpitishwe kuwa wagombea pekee, kama nyie kweli ni chama kubwa tushindane kwenye sanduku la kura msipende ushindi wa mezani
Mawe ya nini sasa!
IMG_20200816_103611.jpg
 
CCM imeishiwa pumzi kule pemba wamewaengua wagombea ubunge wote wa ACT
 
Sheria ya Uchaguzi haijasema lazima masikio yote yaonekane ila inataka passport size tu yaani ukubwa wa picha ya mgombea na muonekano wa sura yake tu yaani uso. Mnalishwa matango na huyo Lissu wenu wakati mwingine tumieni akili zenu vizuri.
Anawachesha kweli wenye akili wamemshtukia!
 
Upinzani hasa Chadema na Act nadhani hamkujiandaa vizuri kwa uchaguzi, kitendo cha wagombea wenu wa ubunge na udiwani kuondolewa kwa kushindwa kujaza fomu vizuri ni aibu kwenu.

Kama mmeshindwa kuwasimamia wagombea wenu kujaza fomu zao kwa usahihi, je mnafaa kuaminiwa kuunda serikali?
Nchi haiwezi pewa wahuni!
 
MaCCM mmepanic balaa.

Hivi bado Lissu kajificha Belgium kama mlivyobashiri?
Hivi Lissu kaenguliwa kama mlivyobashiri???
 
Mbaka sasa simuoni kabisa Zito social media sijui kafa ,,
Ayupo faceboooook
Ayupo twitter
Ayupo instragram
Ayupo jamii forums
Kama kuna mtu kamuona huko mwambieni sisi Wapemba tunasubiri tamko la kiongozi wa chama
 
Kipindi kile CDM inapuyanga mikoani kupiga makelele kwa MGONGO wa kutafuta wadhamini, CCM ilikuwa kimya utafikiri haijui kinachoendelea , kwa Akili ndogo za Wana CDM na Viongozi wao wakawa wanaji mwambafai kuwa wameishika pabaya CCM, wakasahau kuwa wahenga walisema; "Ukiona tembo kainama jua anatunga Sheria".

Wakati ule CCM imekaa kimya ilitakiwa mujiulize swali la kwanini wapo kimya na Wala siyo kushangilia ukimya huo.
Zaidi ya majimbo 50 kwa Sasa Ni cleansheet kwa CCM na mamia ya kata Ni cleansheet wakati huo CDM macho yote kwa Lissu.
Naona muda huu anauliza ok yake ya return atawaacha sasa hivi!
 
Nimeskia ratiba za kampeni mtaa wa Saba Dodoma najiuliza hizo ni kampeni za kutangaza SERA ama ni FIESTA?

Wasanii zaidi ya 100; hii ni mpya ya dunia.

Hapo nafikiri wasanii wamepata nafasi ya uzinduzi wa albam mpya walizonazo bure bure!!

CDM wapeni wananchi wanachotaka kukisikia ambazo ni Sera kwenye Elimu; Afya na hasa hasa Kilimo ambacho kinabeba wengi, haya mamiziki mamiziki ni kuwapumbaza watu ili wasipate muda wa kutafakari kwa kina sera badala yake wajikite kumshangaa Diamond na Harmonise!!
Mtu wenu hana cha kunadi zaidi ya kusema eti amesahau hata kama kuna Mungu anasema anatembea na damu ya wakenya!
 
CCM inakwenda kukamilisha kazi mpaka muda huu Lissu amebaki kupiga kelele na kuvuta pumzi za mwisho kabla CCM haijatangazwa mshindi wa kishindo,makamanda wamekazana kulalamika twitter tu hajulikani mwenyekiti yupo wapi makamu ni nani wala katibu yuko wapi kila mmoja anasema lugha yake.

CCM hawana huruma na watawavuruga kweli maana mpaka sasa wameshavuna wabunge na madiwani kibao.

Ilitakiwa makamanda viongozi waitishe kikao cha dharura lakini ndio kwanza tumbo kwanza chama baadae,sema kwa kuwa hawana cha kupoteza wacha tuwaangalie.

KUTAFUTA WADHAMINI SIO KUWAFIKIA WAPIGA KURA.

Tukutane uwanja wa Jamhuri siku ya kuapishwa Rais kipenzi cha Watanzania JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI!
Kwa hiyo unashangilia ujinga, wenye akili hatushida na mawazo mfu.
 
CCM inakwenda kukamilisha kazi mpaka muda huu Lissu amebaki kupiga kelele na kuvuta pumzi za mwisho kabla CCM haijatangazwa mshindi wa kishindo,makamanda wamekazana kulalamika twitter tu hajulikani mwenyekiti yupo wapi makamu ni nani wala katibu yuko wapi kila mmoja anasema lugha yake.

CCM hawana huruma na watawavuruga kweli maana mpaka sasa wameshavuna wabunge na madiwani kibao.

Ilitakiwa makamanda viongozi waitishe kikao cha dharura lakini ndio kwanza tumbo kwanza chama baadae,sema kwa kuwa hawana cha kupoteza wacha tuwaangalie.

KUTAFUTA WADHAMINI SIO KUWAFIKIA WAPIGA KURA.

Tukutane uwanja wa Jamhuri siku ya kuapishwa Rais kipenzi cha Watanzania JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI!
CCM wanaiogopa sana Chadema. FACT.
CCM wanamgwaya mno Tundu Lissu. FACT.
CCM wanaogopa uchaguzi. FACT.
CCM watashindwa uchaguzi. FACT.
CCM watalazimisha ushindi. FACT.

Mungu atusaidie yasitokee ya kutokea but CCM wanaweza kupandishwa ndege hadi the Hague. HYPOTHESIS.
 
Wewe shangilia dhuluma tu na kipara uchwara chako, siku wana nchi wakasema basi, utatafuta handaki!
 
Back
Top Bottom