Uchaguzi 2020 Makamanda wameshagaragazwa hawana pumzi tena

Uchaguzi 2020 Makamanda wameshagaragazwa hawana pumzi tena

CCM inakwenda kukamilisha kazi mpaka muda huu Lissu amebaki kupiga kelele na kuvuta pumzi za mwisho kabla CCM haijatangazwa mshindi wa kishindo,makamanda wamekazana kulalamika twitter tu hajulikani mwenyekiti yupo wapi makamu ni nani wala katibu yuko wapi kila mmoja anasema lugha yake.

CCM hawana huruma na watawavuruga kweli maana mpaka sasa wameshavuna wabunge na madiwani kibao.

Ilitakiwa makamanda viongozi waitishe kikao cha dharura lakini ndio kwanza tumbo kwanza chama baadae,sema kwa kuwa hawana cha kupoteza wacha tuwaangalie.

KUTAFUTA WADHAMINI SIO KUWAFIKIA WAPIGA KURA.

Tukutane uwanja wa Jamhuri siku ya kuapishwa Rais kipenzi cha Watanzania JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI!
Sio Mambo ya kufurahia yaweza kuleta madhara ikawa too late
 
Sio mwana siasa lakini huu ni upuuzi
CCM inakwenda kukamilisha kazi mpaka muda huu Lissu amebaki kupiga kelele na kuvuta pumzi za mwisho kabla CCM haijatangazwa mshindi wa kishindo,makamanda wamekazana kulalamika twitter tu hajulikani mwenyekiti yupo wapi makamu ni nani wala katibu yuko wapi kila mmoja anasema lugha yake.

CCM hawana huruma na watawavuruga kweli maana mpaka sasa wameshavuna wabunge na madiwani kibao.

Ilitakiwa makamanda viongozi waitishe kikao cha dharura lakini ndio kwanza tumbo kwanza chama baadae,sema kwa kuwa hawana cha kupoteza wacha tuwaangalie.

KUTAFUTA WADHAMINI SIO KUWAFIKIA WAPIGA KURA.

Tukutane uwanja wa Jamhuri siku ya kuapishwa Rais kipenzi cha Watanzania JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI!
 
CCM wanaiogopa sana Chadema. FACT.
CCM wanamgwaya mno Tundu Lissu. FACT.
CCM wanaogopa uchaguzi. FACT.
CCM watashindwa uchaguzi. FACT.
CCM watalazimisha ushindi. FACT.

Mungu atusaidie yasitokee ya kutokea but CCM wanaweza kupandishwa ndege hadi the Hague. HYPOTHESIS.
Ndoto ya mchana hiyo!
 
Sheria ya Uchaguzi haijasema lazima masikio yote yaonekane ila inataka passport size tu yaani ukubwa wa picha ya mgombea na muonekano wa sura yake tu yaani uso. Mnalishwa matango na huyo Lissu wenu wakati mwingine tumieni akili zenu vizuri.
Mkuu sura ya mtu huwa ni eneo gani la mwili?
 
Mtu wenu hana cha kunadi zaidi ya kusema eti amesahau hata kama kuna Mungu anasema anatembea na damu ya wakenya!
Mtu wenu kuongea miaka 5 mfulilizo..madaraja, reli, ndege na makinikia....sasa huu mwezi mzima sijui ataongea nini...
 
Upinzani hasa Chadema na Act nadhani hamkujiandaa vizuri kwa uchaguzi, kitendo cha wagombea wenu wa ubunge na udiwani kuondolewa kwa kushindwa kujaza fomu vizuri ni aibu kwenu.

Kama mmeshindwa kuwasimamia wagombea wenu kujaza fomu zao kwa usahihi, je mnafaa kuaminiwa kuunda serikali?
uwe unatumia akili angalau kdg hata kama unawatumikia mabwana zako, huko kukosea kujaza form ni kwann iwe wakati huu wa awamu ya 5 tuu na sio awamu zilizopita ikizingatiwa vyama vya siasa ni vile vile?!.

usisahau vyama hivyo vya upinzani kwa sasa vinao uzoefu zaidi wa kujaza hizo form kuliko nyakati zilizopita!.
 
Mtu wenu kuongea miaka 5 mfulilizo..madaraja, reli, ndege na makinikia....sasa huu mwezi mzima sijui ataongea nini...
Ataongoea atakayoyafanya mapya kama vile kumuacha mkimbizi aje agombee uraisi bongo
 
Upinzani hasa Chadema na Act nadhani hamkujiandaa vizuri kwa uchaguzi, kitendo cha wagombea wenu wa ubunge na udiwani kuondolewa kwa kushindwa kujaza fomu vizuri ni aibu kwenu.

Kama mmeshindwa kuwasimamia wagombea wenu kujaza fomu zao kwa usahihi, je mnafaa kuaminiwa kuunda serikali?
Wagombea wameondolewa kwa sababu nyingi mfano
i.kufanyiwa fujo mfano devota minja,mgombea wa kongwa,mgombea wa misungwi,ruangwa,buyungu,mtama,kavuu,
 
Tatizo siyo kujaza fomu tatizo ni fujo,ubambikiziaji kesi,ukamataji
 
CHADEMA inashindana na wengi, neccm, policcm, tbccm na ccm yenyewe, abaki ccm peke yake muone kama atatoboa!

Ccm ni waoga mpaka mnaomba msaada NEC mpitishwe kuwa wagombea pekee, kama nyie kweli ni chama kubwa tushindane kwenye sanduku la kura msipende ushindi wa mezani

Ushindi wa CCM ni dhahiri kutokana na msingi imara na mipango mizuri, hayo meninge yote ni sababu tuu za kujiandaa kupokea kushindwa. Upinzani wanajua wazi imewakalia vibaya ila wanawahadaa watu waliowaaminisha kuwa watashinda. Mimi nasema CCM watashinda hata wapinzani waungane, kama huaelewi kwanini hebu jiulize...

Wakati CCM wana wanachama zaidi ya 15mil unaweza kuniambia upinzani wana wanachama wangapi? na wakati huohuo ukumbuke jumla ya wapiga kura ni mil29

wakati CCM wana wana wajumbe wa serikali za mtaa zaidi ya 97% wanaotoa elimu nyumba kwa nyumba upinzani wanafanya nini

CCM wana office kila mtaa na vitega uchumi vya kutosha kujiimarisha wakati huo wapinzani mko kulalamika tuu.

Kujenga upinzani imara inahitaji kujitoa haswa ili kujijenga na kujiimarisha. Upinzani haujengwi kwa kulalamika na kutafuta sababu za kushindwa bali kwa kuijenga misingi ya kushinda
 
Kati ya Lissu na wewe nani anapiga kelele?
 
Ushindi wa CCM ni dhahiri kutokana na msingi imara na mipango mizuri, hayo meninge yote ni sababu tuu za kujiandaa kupokea kushindwa. Upinzani wanajua wazi imewakalia vibaya ila wanawahadaa watu waliowaaminisha kuwa watashinda. Mimi nasema CCM watashinda hata wapinzani waungane, kama huaelewi kwanini hebu jiulize...

Wakati CCM wana wanachama zaidi ya 15mil unaweza kuniambia upinzani wana wanachama wangapi? na wakati huohuo ukumbuke jumla ya wapiga kura ni mil29

wakati CCM wana wana wajumbe wa serikali za mtaa zaidi ya 97% wanaotoa elimu nyumba kwa nyumba upinzani wanafanya nini

CCM wana office kila mtaa na vitega uchumi vya kutosha kujiimarisha wakati huo wapinzani mko kulalamika tuu.

Kujenga upinzani imara inahitaji kujitoa haswa ili kujijenga na kujiimarisha. Upinzani haujengwi kwa kulalamika na kutafuta sababu za kushindwa bali kwa kuijenga misingi ya kushinda
Mna yote hayo lkn bado mnaogopa sanduku la kura mpaka mnalazimisha ushindi wa mezani
 
Nchi na haki tunayoipigania leo ni kwa ajili yako pia na kizazi chako cha badae pindi haupo tena au nguvu ya kutype huna hata ,
 
Mna yote hayo lkn bado mnaogopa sanduku la kura mpaka mnalazimisha ushindi wa mezani
Nyie ndio mnasema ila haitawahi kutokea chama chenye wanachama 15 million kushindwa uchaguzi kwenye nchi yenye wapiga kura 29 million
Sahau
 
Ushindi wa CCM ni dhahiri kutokana na msingi imara na mipango mizuri, hayo meninge yote ni sababu tuu za kujiandaa kupokea kushindwa. Upinzani wanajua wazi imewakalia vibaya ila wanawahadaa watu waliowaaminisha kuwa watashinda. Mimi nasema CCM watashinda hata wapinzani waungane, kama huaelewi kwanini hebu jiulize...

Wakati CCM wana wanachama zaidi ya 15mil unaweza kuniambia upinzani wana wanachama wangapi? na wakati huohuo ukumbuke jumla ya wapiga kura ni mil29

wakati CCM wana wana wajumbe wa serikali za mtaa zaidi ya 97% wanaotoa elimu nyumba kwa nyumba upinzani wanafanya nini

CCM wana office kila mtaa na vitega uchumi vya kutosha kujiimarisha wakati huo wapinzani mko kulalamika tuu.

Kujenga upinzani imara inahitaji kujitoa haswa ili kujijenga na kujiimarisha. Upinzani haujengwi kwa kulalamika na kutafuta sababu za kushindwa bali kwa kuijenga misingi ya kushinda
Umempoteza vibaya sana!
 
Back
Top Bottom