Umesahau - wananchiccm na watanzaniaccm!CHADEMA inashindana na wengi, neccm, policcm, tbccm na ccm yenyewe, abaki ccm peke yake muone kama atatoboa!
Kwahiyo sikio moja lisipoonekana maana yake siyo yeye? Si mlisema hakuweka picha kabisaKwenye form hz passport mbona picha ya mheshimiwa inaonekana sikio moja??? Vp aligrukia pembeni au madoido
Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
Hili swali zuri wacha aje wakili wao anaitwa Mmawia atakujibu huyo ni zito kwake!Kwahiyo sikio moja lisipoonekana maana yake siyo yeye? Si mlisema hakuweka picha kabisa
Mawe ya nini sasa!Ccm ni waoga mpaka mnaomba msaada NEC mpitishwe kuwa wagombea pekee, kama nyie kweli ni chama kubwa tushindane kwenye sanduku la kura msipende ushindi wa mezani
Anawachesha kweli wenye akili wamemshtukia!Sheria ya Uchaguzi haijasema lazima masikio yote yaonekane ila inataka passport size tu yaani ukubwa wa picha ya mgombea na muonekano wa sura yake tu yaani uso. Mnalishwa matango na huyo Lissu wenu wakati mwingine tumieni akili zenu vizuri.
Nchi haiwezi pewa wahuni!Upinzani hasa Chadema na Act nadhani hamkujiandaa vizuri kwa uchaguzi, kitendo cha wagombea wenu wa ubunge na udiwani kuondolewa kwa kushindwa kujaza fomu vizuri ni aibu kwenu.
Kama mmeshindwa kuwasimamia wagombea wenu kujaza fomu zao kwa usahihi, je mnafaa kuaminiwa kuunda serikali?
Naona muda huu anauliza ok yake ya return atawaacha sasa hivi!Kipindi kile CDM inapuyanga mikoani kupiga makelele kwa MGONGO wa kutafuta wadhamini, CCM ilikuwa kimya utafikiri haijui kinachoendelea , kwa Akili ndogo za Wana CDM na Viongozi wao wakawa wanaji mwambafai kuwa wameishika pabaya CCM, wakasahau kuwa wahenga walisema; "Ukiona tembo kainama jua anatunga Sheria".
Wakati ule CCM imekaa kimya ilitakiwa mujiulize swali la kwanini wapo kimya na Wala siyo kushangilia ukimya huo.
Zaidi ya majimbo 50 kwa Sasa Ni cleansheet kwa CCM na mamia ya kata Ni cleansheet wakati huo CDM macho yote kwa Lissu.
Mtu wenu hana cha kunadi zaidi ya kusema eti amesahau hata kama kuna Mungu anasema anatembea na damu ya wakenya!Nimeskia ratiba za kampeni mtaa wa Saba Dodoma najiuliza hizo ni kampeni za kutangaza SERA ama ni FIESTA?
Wasanii zaidi ya 100; hii ni mpya ya dunia.
Hapo nafikiri wasanii wamepata nafasi ya uzinduzi wa albam mpya walizonazo bure bure!!
CDM wapeni wananchi wanachotaka kukisikia ambazo ni Sera kwenye Elimu; Afya na hasa hasa Kilimo ambacho kinabeba wengi, haya mamiziki mamiziki ni kuwapumbaza watu ili wasipate muda wa kutafakari kwa kina sera badala yake wajikite kumshangaa Diamond na Harmonise!!
Hao wangekuwa wanaikubali ccm, wagombea wa ccm wasingeogopa sanduku la kura!Umesahau - wananchiccm na watanzaniaccm!
Kwa hiyo unashangilia ujinga, wenye akili hatushida na mawazo mfu.CCM inakwenda kukamilisha kazi mpaka muda huu Lissu amebaki kupiga kelele na kuvuta pumzi za mwisho kabla CCM haijatangazwa mshindi wa kishindo,makamanda wamekazana kulalamika twitter tu hajulikani mwenyekiti yupo wapi makamu ni nani wala katibu yuko wapi kila mmoja anasema lugha yake.
CCM hawana huruma na watawavuruga kweli maana mpaka sasa wameshavuna wabunge na madiwani kibao.
Ilitakiwa makamanda viongozi waitishe kikao cha dharura lakini ndio kwanza tumbo kwanza chama baadae,sema kwa kuwa hawana cha kupoteza wacha tuwaangalie.
KUTAFUTA WADHAMINI SIO KUWAFIKIA WAPIGA KURA.
Tukutane uwanja wa Jamhuri siku ya kuapishwa Rais kipenzi cha Watanzania JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI!
CCM wanaiogopa sana Chadema. FACT.CCM inakwenda kukamilisha kazi mpaka muda huu Lissu amebaki kupiga kelele na kuvuta pumzi za mwisho kabla CCM haijatangazwa mshindi wa kishindo,makamanda wamekazana kulalamika twitter tu hajulikani mwenyekiti yupo wapi makamu ni nani wala katibu yuko wapi kila mmoja anasema lugha yake.
CCM hawana huruma na watawavuruga kweli maana mpaka sasa wameshavuna wabunge na madiwani kibao.
Ilitakiwa makamanda viongozi waitishe kikao cha dharura lakini ndio kwanza tumbo kwanza chama baadae,sema kwa kuwa hawana cha kupoteza wacha tuwaangalie.
KUTAFUTA WADHAMINI SIO KUWAFIKIA WAPIGA KURA.
Tukutane uwanja wa Jamhuri siku ya kuapishwa Rais kipenzi cha Watanzania JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI!
Bila NECcm na policcm, ccm ni wepesi kama pambaMawe ya nini sasa!View attachment 1550385