Uchaguzi 2020 Makamanda wameshagaragazwa hawana pumzi tena


Hii nayo ya wapi?

"Ukiona tembo kainama jua anatunga Sheria".

Hiiiii bagosha!
 
Huyu aliyeweka passport anakula mahindi ahawezi kushinda uchaguzi huu...hata tungemuwekea Esta Bulaya. Na hili kitathibitika muda mchache
 
Hii nayo ya wapi?

"Ukiona tembo kainama jua anatunga Sheria".

Hiiiii bagosha!
Acha kuishi kwa kukariri dogo Hapo ningeweza hata kutumia Simba na nisiharibu Maana.
 
Hii Nchi Idara ya usalamani Idara ya usalama wa CCM

Polisi kazi yao ni kulinda Vigogo wa CCM na mali zao walizopora
 
Acha kuishi kwa kukariri dogo Hapo ningeweza hata kutumia Simba na nisiharibu Maana.

Ujinga mzigo.

Endelea kujidanganya pia kuwa anaweza tu kutubadilishia uhuru wetu kwa madaraja!

Hiiiii bagosha!
 
CHADEMA inashindana na wengi, neccm, policcm, tbccm na ccm yenyewe, abaki ccm peke yake muone kama atatoboa!
Mnalia nini nyie si mna umma na nyie tumieni huo umma........au mna uma wa kulia vyipsi
 
Ccm ni waoga mpaka mnaomba msaada NEC mpitishwe kuwa wagombea pekee, kama nyie kweli ni chama kubwa tushindane kwenye sanduku la kura msipende ushindi wa mezani
Hatutaki na mtafanya nn??
 
Miaka mitano bila kufanya siasa wakati mwenzio anazinguka , tuwe fair kidogo
 
Yaani wewe kwa upumbavu wako unaona sawa kabisa, kweli Tanzania ina watu wajinga!
 
Wakurugenzi wote wa uchaguzi wameteuliwa na Mwenyekiti wa chama kimoja kinachogombea, CCM. Tumeona mpango ulivyosukwa Moshi. Wagombea wa upinzani wanapewa fomu zenye dosari na risiti feki.

Mie si Chadema, na sina chama. Ila nachukia DHULUMA kupita maelezo.

Inaelekea CCM wanataka kutawala kwa MABAVU, na sii kwa ridhaa ya wananchi. Hilo litaendelea hadi lini? I hate to think about violent ways of ending that.

Binafsi napendezwa sana na kazi alizofanya Rais Magufuli, na namna amekuwa akiwaajibisha wazembe papo kwa hapo. But why this electoral fraud? Kwanini analelea ufisadi wa kisiasa?
 
Mchukia dhuluma na asiye na chama hasemi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…