Makamba: Gesi ya Mtwara kuanza kuchimbwa 2025

Ndio tatizo ambalo mabeberu wanajua tukilijua na kufunguka ubongo tutawazidi sana iko hivi tunakopa tunajengea barabara badala ya kutumia kutafuta
MALI tulizo nazo chini
 
Unaweza ni nionyesha hiyo t 1.5 kwenye ripoti CAG au highlight hiyo paragraph iliyosema t 1.5 ilipigwa.
 
Mkataba umeshaambiwa siri, utauonaje? Ila yule mwenye dhamana ya kuuangalia akiungalia na akakueleza, halafu wengine waliopewa nao dhamana ya kuuona walikuwa hawapingi, then unatakaje?
 
Alafu home boy wake anayetokea ilipo gesi anataka mikopo ya awamu ya tano ichunguzwe lakini si issue za gesi! Ngoja tuendelee kunywa mtori bila kuchokonoa uwepo wa nyama au la [emoji2]
 
Halafu huko tuendako matumizi ya hii nishati ipo mashakani. Je, utafiti umefanyika kuhusu soko la hiyo gesi ndani na nje ya nchi?
 
Hapana na ndo maana sijawahi kuzungumza chochote kuhusu ubaya au uzuri wake....nimeamua kukaa kimya sababu katika siasa zetu lolote laweza kusemwa
Sasa unakaaje kimya kwa kubishia maneno ya aliyeona, kaa kimya kabisa tujue umefunga mdomo
 
Sawa sawa mamaake Makamba!tumekupata!!!
 
Ukubwa au udogo wa gharama hutegemea na project husika... Na si kulinganisha na vitu visivyohusiana na project hiyo..
Mfano, tungejua wenzetu barani Afrika wenye gesi kama yetu, wao plant yenye uwezo kama unaotarajiwa kujengwa kwetu gharama zao zipoje
 
Sawa sawa mamaake Makamba!tumekupata!!!
Aisee nilivyo busy na ujenzi sina hata sekunde ya kujibizana na mapunga aina yako,.......tena nyie mashostito wa mitandaoni ndiyo kabisaaaaa, nawapitia mbali. Please, try another stand
 
Ama kweli Viongozi wa Tanzania yangu vilaza kwelikweli.
Hivi si alikuwepo wakati yunaambiwa kuna bomba la gasi lilitandikwa hadi Wazo hill au uchimbaji huu ni kusini nyingineyo tusiyoijua.
Yaani ni movie kila kukicha na umasikini unaendelea!
Kuweni serious basi kwa mustakabali wa Tanzania..
 

Gesi ya Mtwara kuanza kuchimbwa 2025? Kwanini isianze Chiba mwaka 2024 kabla ya uchaguzi mkuu? Hii mnataka kuja kufanya Gia ya kuomba kura. Badili kauli makamba​

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…