Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wait a minute [emoji848][emoji848][emoji848] Mmmhhh okay.
Mkataba unasemaje? Sisi kama nchi tunapata % ngapi? So gharama tu ya uchimbaji ni tril 70? Eti? Gharama hizi kubwa mno wamezipataje kabla hata mradi haujamalizika? Yaani deni la Taifa tokea uhuru hadi sasa ni Tril 78. Sasa gharama za uchimbaji gesi hata pamoja na kujenga LNG plant zote ni tril 70? Hizi gharama kubwa sanaaa, something haiko sawa.
Jamani, nawaza tu, usikute waka zidisha gharama sana tukaanza kupigwa mapemaaaaaa. Nawaza tu, uuwiii, OMG.
Pamoja na mapungufu yake jiwe ila ungese huu alikua hakubaliani nao kabisa.Wait a minute [emoji848][emoji848][emoji848] Mmmhhh okay.
Mkataba unasemaje? Sisi kama nchi tunapata % ngapi? So gharama tu ya uchimbaji ni tril 70? Eti? Gharama hizi kubwa mno wamezipataje kabla hata mradi haujamalizika? Yaani deni la Taifa tokea uhuru hadi sasa ni Tril 78. Sasa gharama za uchimbaji gesi hata pamoja na kujenga LNG plant zote ni tril 70? Hizi gharama kubwa sanaaa, something haiko sawa.
Jamani, nawaza tu, usikute waka zidisha gharama sana tukaanza kupigwa mapemaaaaaa. Nawaza tu, uuwiii, OMG.
Ungese upi Kiongozi?Pamoja na mapungufu yake jiwe ila ungese huu alikua hakubaliani nao kabisa.
Gesi ya mwanzo ilivyoanza kuchimbwa wananchi waliahidiwa faida kibao watazozipata kutokana na hio gesi ikiwa ni pamoja na punguzo la gharama za umeme.
Mnh! Awali lini hiyo kiongozi?! Tangu mradi uasisiwe back in 2015, gharama za ujenzi zilikadiriwa kuwa USD 30 Billion!!Mbona makadirio ya awali yalikuwa Trilion 40? au kuna vitu vimeongezeka?
Hiyo 70 Trillion is ONLY for Gas Processing Plant ambayo itajengwa pale Lindi!!Bila shaka taarifa inamaanisha uchimbaji na uchakataji, kwamba kutakuwa na plant ya LNG onshore
Kwa sababu kama ni uchimbaji tu, si unafanyika offshore na gesi inasafirishwa kuja Dar kwa bomba ya TPDC na lile la Pan African (Songosongo) kwa matumizi ya kufua umeme na nyumbani (kwa nyumba chache sanaaaaa)
Hakuna atakayekupa sababu ya kwanini mradi usianze...Sasa kaka Kama wasilozidiwa gharama ili wapate faida,Watapataje faida?
Sababu gharama zikiwa juu wakikupa ina maana huwezi kumtiza kodi wakati hapati faida.
Kwanza wewe kama Mtanzania Huna Uzoefu wa miradi kama hiyo na mikataba...Lazima Upigwe tuu hakuna Namna wala huruma.
Sasa mkuu ulitakaje sasa...Mradi usianze ili tukose hela?
Au wewe ulitakaje sasa???[emoji851][emoji851]
Tumechelewa sana ujue[emoji30]
Kuna faida nyingi za Kuanza kuliko kuendelea kuchelewa.
Hebu Nipe Sababu kwanini Mradi Usianze?
Cc: Chige
Chige tatizo wananchi tunalalamika kwa upande wetu hatuoni unafuu wowote baada ya hio gesi kuzalishwa.Hakuna atakayekupa sababu ya kwanini mradi usianze...
Kwanza kabisa, wengi wanachanganya madesa... wanashindwa kutofautisha kati ya Gas ya Songosongo & Msimbati kwa upande mmoja, na ile inayojengewa kiwanda cha Trillion 70 kwa upande mwingine!!
Kingine, wengi walimezeshwa sana propaganda kuhusu huu mradi!! Ambacho hawafahamu, waliyemwamini alikuwa anawadanganywa!! Inawezekana alikuwa anawadanganya kwa sababu nae alikuwa anadanganywa na watu wa karibu au alikuwa anawadanganya kwa sababu tu hakuwa na interest na gas industry!!
Ni hawa hawa ndio walikuwa wanadanganywa kwamba unaweza kujenga mtambo wa kuchenje makinikia kirahisi tu lakini hadi Shujaa anatangulia mbele za haki, huo mtambo haukujengwa!!
Sie wengine tuliposema wazi kujenga Copper Smelters kwa lengo la kuondoa copper ili ubaki na dhahabu sio jambo jepesi kiasi hicho, wale wale wakatukejeli sana hapa JF kwamba sisi ni Vibaraka wa Mafisadi, lakini hadi leo, mtambo HUJAJENGWA!
Man,Chige tatizo wananchi tunalalamika kwa upande wetu hatuoni unafuu wowote baada ya hio gesi kuzalishwa.
Mfano kipindi kile cha mchakato wa uchimbaji msimbati, tulipewa ahadi kemkem na waziri wa nishati kipindi kile prefesa Muhongo, alitukokotelea mpaka gharama ya unit moja ya umeme tutanunua chini ya shilingi 100, ila baada ya mradi maisha yanabaki vilevile,
Bado tunaagiza gesi kutoka nje ya nchi!! Huo unafuu labda unaweza kupatikana endapo tutachimba hiyo gas ya baharini!! Na kama unafuatilia, TPDC waliitisha tenda ya kusambaza mabomba nchi mzima kwa ajili ya hiyo gesi ili ifike majumbani na viwandani!!Mfano wa pili kabla ya mradi wa gesi huko Mtwara tulikua tunanunua gesi ya kupikia kwa bei nafuu na hio gesi yenyewe ilikua inatoka nje ya nchi, sasa baada ya kuzalisha gesi yetu wenyewe gharama inapanda baada ya kushuka, hali hii kwa sisi wananchi wa kawaida tunaona miradi hii mikubwa inayotumia pesa nyingi haina faida ni bora hizo pesa zikatumike katika miradi mingine yenye impact kubwa inayoonekana kwa wananchi.
Hili la sukari ni pasua kichwa manake sijui tunakwama wapi...Mfano Sukari, Cement n.k tunazonunua nje ya nchi bei yake ni ndogo sana ukilinganisha na bidhaa hizohizo zinazozalishwa hapa nchini, sasa hapa mwananchi wa kawaida anajiuliza kunafaida gani ya kuhangaika kufuga ng'ombe ili upate maziwa na nyama ikiwa utatumia gharama kuubwa kumhudumia tofauti na kununua maziwa na nyama yanayouzwa kwa bei ya chini?
Wait a minute 🤔🤔🤔 Mmmhhh okay.
Mkataba unasemaje? Sisi kama nchi tunapata % ngapi? So gharama tu ya uchimbaji ni tril 70? Eti? Gharama hizi kubwa mno wamezipataje kabla hata mradi haujamalizika? Yaani deni la Taifa tokea uhuru hadi sasa ni Tril 78. Sasa gharama za uchimbaji gesi hata pamoja na kujenga LNG plant zote ni tril 70? Hizi gharama kubwa sanaaa, something haiko sawa.
Jamani, nawaza tu, usikute waka zidisha gharama sana tukaanza kupigwa mapemaaaaaa. Nawaza tu, uuwiii, OMG.
Ni kwa sababu huyo alieuona pia hakutaka na sisi tuuone. Alitaka tu tuamini maneno yake. Angekua mkweli, angetuonyesha!Sasa unakaaje kimya kwa kubishia maneno ya aliyeona, kaa kimya kabisa tujue umefunga mdomo
Mkuu Chige naheshimu sana na kuthamini mchango wako mkubwa hapa jamii forum, kupitia kwako nimejifunza mambo mengi ambayo nilikua siyafahamu, wewe ni katika miongoni mwa watu nnaojivunia uwepo wao hapa jukwaani, ila yote ya yote katika hii miradi kunakukuwa na propaganda na ahadi nyingi za uongo.Man,
Tofauti na watu wanavyodhani... Gesi ya Msimbati haikuanza kuchimbwa wakati wa JK bali tangu wakati wa Mkapa!!
Ambacho kilitokea, baada ya gesi kuchimbwa, Kampuni ya ARTMAS ikawa inazalisha umeme kule kule Mtwara! Sasa kama unavyojua uchumi wa Mikoa ya Kusini, umeme uliokuwa unazalishwa ulikuwa mwingi mno kulingana na mahitaji ya mikoa hiyo!
Na usidhani ulikuwa mamia ya MW, hell no... kama kumbukumbu zangu zipo sawa, ulikuwa less than 30MW but still southern economy failed to consume that amount in electricity!
Sasa baada ya JK kuona Mtwara kuna gesi inayozalisha umeme kwa mikoa ya kusini, lakini mikoa haina uchumi wa kuweza ku-utilize huo umeme, ndipo serikali ikaamua kuisafirisha hiyo gesi hadi Dar es salaam, kisha uzalishwe umeme utaokaongizwa kwenye grid ya taifa na kutumika nchi nzima!!!
Na hata gesi aliyokuwa anaizungumzia sana Muhongo hadi kufikia kuwaita Wafanyabiashara wa Tanzania hawana pesa ya kuingia kwenye gas industry wala alikuwa hamaanishi hiyo gas ya Msimbati ambayo ilikuwa imeshaanza kuchimbwa bali alikuwa anamaanisha hiyo iliyogundulika deep sea ambayo haijachimbwa!!
REMEMBER, hiyo ya Msimbati na Songosongo kwa ujumla wake ni only 7.5 TCF wakati tuliyoahidiwa Tanzania kuwa kama Dubai, ni 47 TCF!
Bado tunaagiza gesi kutoka nje ya nchi!! Huo unafuu labda unaweza kupatikana endapo tutachimba hiyo gas ya baharini!! Na kama unafuatilia, TPDC waliitisha tenda ya kusambaza mabomba nchi mzima kwa ajili ya hiyo gesi ili ifike majumbani na viwandani!!
Kwa maana nyingine, ikishachimbwa, gasi itakuwa inasambazwa kwa mabomba na sio kwa matungi ingawaje pia mitungi itakuwepo kwa ajili ya maeneo yasiyofikika kwa mabomba!!
Hili la sukari ni pasua kichwa manake sijui tunakwama wapi...
Labda Bakheresa na kiwanda chake cha Bagamoyo atapunguza kama sio kumaliza tatizo hili!!
Hilo la saruji... of course, sote tuliamini Dangote angetatua lakini kwa kila mfuatiliaji anafahamu ni namna gani Kiwanda cha Dangote kilikumbwa na misukosuko mara kadhaa iliyosababisha kupunguza uzalishaji! Kubwa zaidi, ni pale alipopewa ahadi ya kupunguziwa gharama za gesi ili azalishe umeme wake binafsi, lakini ahadi hiyo haikutimizwa!!
Na hata pale alipoamua kugeukia Makaa ya Mawe, I hope unafahamu what happened!!
Huyo Makamba amekuonyesha?Ni kwa sababu huyo alieuona pia hakutaka na sisi tuuone. Alitaka tu tuamini maneno yake. Angekua mkweli, angetuonyesha!
Hajanionyesha. Ndio maana simpingi, wala sikubaliani nae kama ilivyo kwa Jiwe!Huyo Makamba amekuonyesha?
Maana yake nyamazaHajanionyesha. Ndio maana simpingi, wala sikubaliani nae kama ilivyo kwa Jiwe!
Kwanini hukubaliani na mimi Chifu?Mkuu Chige naheshimu sana na kuthamini mchango wako mkubwa hapa jamii forum, kupitia kwako nimejifunza mambo mengi ambayo nilikua siyafahamu wewe ni katika miongoni mwa watu nnaojivunia uwepo wao hapa jukwaani, ila yote ya yote katika hii miradi kunakukuwa na propaganda na ahadi nyingi za uongo.
Kwa upande wako unajitahidi kutetea kua profesa Muhongo alikua hazungumzii gesi ile ya msimbati iliyosababisha jeshi kupelekwa Mtwara ili tu kufanikisha kujenga bomba la gesi ki ukweli kabisa siwezi kukubaliana na wewe.
Endapo tu, wewe utanyamaza!Maana yake nyamaza