Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni uchonganishiKumbe January makamba ni mmoja ya wale ambao hawamkubali Samia,siyo mimi nimesema bali ni yeye mwenyewe.
Ameonyesha hisia zake,hamkubali kama ilivyo kwa sisi wengine.Waziri Januari Makamba amesema hata kama hatumkubali Samia ni wetu hivyo tunatakiwa kuacha siasa hasa kuhusu ziara zake nje ya nchi kwani zimeleta manufaa makubwa kwa nchi.
Waziri Makamba ameyasema hayo leo 6.6.2024 akizungumzia ziara ya Rais Samia nchini Korea
Zaidi sikiliza hii link mpaka mwisho
Umezipiga na umemsifia sawa,lakini hayo yote yanaonyesha kwamba you are morally corrupt.A real person cannot do that,hata iwe 100 trillion.After allHivi hata ingekuwa wewe upige billion 60 za ghafla utaacha kumsifia Mama kweli?😂
Waziri Januari Makamba amesema hata kama hatumkubali Samia ni wetu hivyo tunatakiwa kuacha siasa hasa kuhusu ziara zake nje ya nchi kwani zimeleta manufaa makubwa kwa nchi.
Waziri Makamba ameyasema hayo leo 6.6.2024 akizungumzia ziara ya Rais Samia nchini Korea
Zaidi sikiliza hii link mpaka mwisho
Waziri Makamba ameyasema hayo leo 6.6.2024 akizungumzia ziara ya Rais Samia nchini Korea
Hatumkubali huyo mzanzibar. Hatauzika kwa wananchi wakati wa kuomba kura 2025 ...Hiyo KAULI ya Makamba ina UKAKASI .... Labda kwa kuwa mimi ni wa Bara sielewi vizuri hicho Kiswahili chake.....!!
Sijawahi kumsikia mtanzania yoyote akisema hamkubali Rais Samia 🐼
Hakuna mwanaccm anategemea kura kukaa madarakani.Hatumkubali huyo mzanzibar. Hatauzika kwa wananchi wakati wa kuomba kura 2025 ...
Heri mchawi kuliko Mfitini😂Mchawi ni mchawi tu mwisho wa siku kaponyokwa na kauli!
Wewe kila mtu humpendi unajipendaga mwenyewe 😄Nisikie Mimi sasa, simpendi Samia Wala juzi lolote kwa kura.
BOMAYEE si kesha vutaUpara anajisemea yake ya moyoni,,,,,,,maana upepo umebadilika ile ndoto sijui kama bado ipo maana 2025 mama....2030 BOMAYEEE
This is bullshit aise. Kwaiyo hata kama unayoenda kufanya huko nje kwa kutuwakilisha sisi ni yale tunayoona hayafai tukukalie kimya eti kwamba tukungoje urudi ndio tukuseme/kukushauri.Waziri Januari Makamba amesema hata kama hatumkubali Samia ni wetu hivyo tunatakiwa kuacha siasa hasa kuhusu ziara zake nje ya nchi kwani zimeleta manufaa makubwa kwa nchi.
Waziri Makamba ameyasema hayo leo 6.6.2024 akizungumzia ziara ya Rais Samia nchini Korea
Zaidi sikiliza hii link mpaka mwisho
Yeye Makamba ndiyo hamkubali na ndiyo maana kamlipa Mange Kimambi ili amdhalilishe Rais kisa yeye na Mzee wa Msoga wanataka achukue fomu ya kugombea uRais mwaka 2025Labda yeye ndio hamkubali ila sisi tumampenda sana