OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hii kauli ni hujuma tosha kwa Rais
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kauli ni hujuma tosha kwa Rais
Imeshaanza 😂😂😂Kiitifaki balozi namba mbili sasa hatoshi cheo, tusikilizie panga pangua mkeka wa mawaziri
Maskini kupara anaenda tumbuliwaWaziri Januari Makamba amesema hata kama hatumkubali Samia ni wetu hivyo tunatakiwa kuacha siasa hasa kuhusu ziara zake nje ya nchi kwani zimeleta manufaa makubwa kwa nchi.
Waziri Makamba ameyasema hayo leo 6.6.2024 akizungumzia ziara ya Rais Samia nchini Korea
Zaidi sikiliza hii link mpaka mwisho
Makamba sio TIss..Daaa ndoto inamtesa sana mwana tiss mbombezi .....
Amesema hata kama hamumpendi ila ndio Rais huyo hata mzushe vipi hatoki at any cost.Waziri Januari Makamba amesema hata kama hatumkubali Samia ni wetu hivyo tunatakiwa kuacha siasa hasa kuhusu ziara zake nje ya nchi kwani zimeleta manufaa makubwa kwa nchi.
Waziri Makamba ameyasema hayo leo 6.6.2024 akizungumzia ziara ya Rais Samia nchini Korea
Zaidi sikiliza hii link mpaka mwisho
"Hatumkubali" .........sasa ndo tunaanza kuyaelewa yale matusi ya Mange kwa mama,,,.........watu tonge linaporwa toka mkononi taraaatibuAmesema hata kama hamumpendi ila ndio Rais huyo hata mzushe vipi hatoki at any cost.
Ndio maana Jiwe alikuwa anawapelekea moto tuu.
Wamegawa Nini safari hiiWaziri Januari Makamba amesema hata kama hatumkubali Samia ni wetu hivyo tunatakiwa kuacha siasa hasa kuhusu ziara zake nje ya nchi kwani zimeleta manufaa makubwa kwa nchi.
Waziri Makamba ameyasema hayo leo 6.6.2024 akizungumzia ziara ya Rais Samia nchini Korea
Zaidi sikiliza hii link mpaka mwisho
Kama hamumkubali mtoeni kama mna ubavu tuone"Hatumkubali" .........sasa ndo tunaanza kuyaelewa yale matusi ya Mange kwa mama,,,.........watu tonge linaporwa toka mkononi taraaatibu
Ogopa teknolojia
Hakuna mkate mgumu mbele ya chaiKama hamumkubali mtoeni kama mna ubavu tuone
Kasema yeye!! AibuKumbe January makamba ni mmoja ya wale ambao hawamkubali Samia,siyo mimi nimesema bali ni yeye mwenyewe.
Hizo ni habari za kijiweni, sikutegemea nizisikie kutoka kwa mtu mbobezi kama wewe.Tafuta habari za kina kuhusu hizo kesi kuanzia ya mkulima Stein mwenyewe kwanza hakuwa hata na habari za shamba ni wapambe tu ndio waliofungua kesi zama JK.
Hayo mambo tumejadili sana humu wapingaji ya maamuzi ya serikali kipindi cha Magufuli given the background ya kesi zenyewe ni upigaji mtupu.
Story yote ilikuwa JF toka huyo mkulima anakubaliana na Mwalimu kuachia shamba kwa ridhaa yake mwenyewe kwa malipo kidogo ya fidia.Hizo ni habari za kijiweni, sikutegemea nizisikie kutoka kwa mtu mbobezi kama wewe.
Haki ni haki lazima imuelekee muhusika hata kama atakuwa ni marehemu. Angekuwa hana haki basi Mahakama zingemnyima.
Hiyo lugha yenu ya kusema UPIGAJI ilikuwa ni propaganda tu ambazo Magufuli alipandikiza kwa wajinga