Pre GE2025 Makamba: Hata kama hatumkubali Rais Samia, ni wetu

Pre GE2025 Makamba: Hata kama hatumkubali Rais Samia, ni wetu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
images.jpeg

MacAmber the turtle head
 
Ukweli utabakia kuwa ukweli CCM inafaa zaidi waupime uwezo wa Kiongozi wao Kama unatosha ama hautoshi waje na majibu ya nini kifanyike 2025?Siyo tu kusifia hatakama mambo yanaenda kombo.
 
"Hata kama hatumkubali, Rais Samia ni wetu"

Hii statement ni very "ambiguous" yenye kitu nyuma yake.

Na ieleweke wazi kuwa, ni kweli kabisa kuwa Samia Suluhu Hassan hakubaliki na ni mzigo mzito usio na faida yoyote kwa Wa - Tanganyika

Hata hivyo kwa kauli hii kutolewa na January Makamba waziri mteule wa huyu Rais "asiyekubalika" lakini tulazimike kumkubali hivyo hivyo kwa sababu ni wetu, mtu mwingine anaweza kufikiri hivi:

√ Kwamba, hata yeye January Makamba hamkubali Samia lakini kwa sababu ni wetu basi hana la kufanya inabidi amkubali tu..!

√ Lakini all in all, najiuliza, was it necessary kwa January Makamba kutumia maneno haya kuelezea kilichokukuwa kichwani mwake kiasi cha kusababisha mjadala kumhusu?
Baada ya hapo akaanza kumpopoa Rais kwa Mange Kimambi kupitia mahusiano ya Dada yake Mwamvita
Screenshot_20240722_041638_Instagram.jpg
 
Waziri Januari Makamba amesema hata kama hatumkubali Samia ni wetu hivyo tunatakiwa kuacha siasa hasa kuhusu ziara zake nje ya nchi kwani zimeleta manufaa makubwa kwa nchi.

Waziri Makamba ameyasema hayo leo 6.6.2024 akizungumzia ziara ya Rais Samia nchini Korea

Zaidi sikiliza hii link mpaka mwisho

Hili likuwa kosa kubwa, eti Hatumtaki? amefanya sesnsa gani akaona "hatumtaki"
 
Waziri Januari Makamba amesema hata kama hatumkubali Samia ni wetu hivyo tunatakiwa kuacha siasa hasa kuhusu ziara zake nje ya nchi kwani zimeleta manufaa makubwa kwa nchi.

Waziri Makamba ameyasema hayo leo 6.6.2024 akizungumzia ziara ya Rais Samia nchini Korea

Zaidi sikiliza hii link mpaka mwisho

Huyu mtu kichwa maji sana. Yaani rais aende nje kuingia makubaliano ya ovyo kugawa mali asili za nchi na mashirika ya umma tukae kimya tu?
 
Back
Top Bottom