Lambardi
Platinum Member
- Feb 7, 2008
- 18,813
- 21,830
Usiyoyajua bora ukae kimyaaaa.....haturopokiii....wewe unamjua huyo vzr ?Kwahiyo Mara hii tayari Makamba naye, kageuka TISS mbobezi .
Hivi Wabongo tumelogwa ?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiyoyajua bora ukae kimyaaaa.....haturopokiii....wewe unamjua huyo vzr ?Kwahiyo Mara hii tayari Makamba naye, kageuka TISS mbobezi .
Hivi Wabongo tumelogwa ?.
Usilolijuaaa mkuu....sikurupukii....Sawa ila ufahamu siyo usije sema na Nape ni Tiss au sababu umemuona ni waziri wa mambo ya Nje .,😁
Haswaaaaa......Dojo lake na Zito yumo....sikia tuuuuuTangu akiwa sekondari
jamaa anajiamini sanaKapiga kwenye mshono
wamesema hawajauzaHapo ni baada ya kuuza kipande cha bahari
Turudi hapa tenaYeye Makamba ndiyo hamkubali na ndiyo maana kamlipa Mange Kimambi ili amdhalilishe Rais kisa yeye na Mzee wa Msoga wanataka achukue fomu ya kugombea uRais mwaka 2025
Baada ya hapo akaanza kumpopoa Rais kwa Mange Kimambi kupitia mahusiano ya Dada yake Mwamvita"Hata kama hatumkubali, Rais Samia ni wetu"
Hii statement ni very "ambiguous" yenye kitu nyuma yake.
Na ieleweke wazi kuwa, ni kweli kabisa kuwa Samia Suluhu Hassan hakubaliki na ni mzigo mzito usio na faida yoyote kwa Wa - Tanganyika
Hata hivyo kwa kauli hii kutolewa na January Makamba waziri mteule wa huyu Rais "asiyekubalika" lakini tulazimike kumkubali hivyo hivyo kwa sababu ni wetu, mtu mwingine anaweza kufikiri hivi:
√ Kwamba, hata yeye January Makamba hamkubali Samia lakini kwa sababu ni wetu basi hana la kufanya inabidi amkubali tu..!
√ Lakini all in all, najiuliza, was it necessary kwa January Makamba kutumia maneno haya kuelezea kilichokukuwa kichwani mwake kiasi cha kusababisha mjadala kumhusu?
Hili likuwa kosa kubwa, eti Hatumtaki? amefanya sesnsa gani akaona "hatumtaki"Waziri Januari Makamba amesema hata kama hatumkubali Samia ni wetu hivyo tunatakiwa kuacha siasa hasa kuhusu ziara zake nje ya nchi kwani zimeleta manufaa makubwa kwa nchi.
Waziri Makamba ameyasema hayo leo 6.6.2024 akizungumzia ziara ya Rais Samia nchini Korea
Zaidi sikiliza hii link mpaka mwisho
Yale matusi toka kwa Mange Kimambi ya kumtukana mama Samia matusi ya nguoni yalikuwa yanatoka kwa MakambaHili likuwa kosa kubwa, eti Hatumtaki? amefanya sesnsa gani akaona "hatumtaki"
Huyu mtu kichwa maji sana. Yaani rais aende nje kuingia makubaliano ya ovyo kugawa mali asili za nchi na mashirika ya umma tukae kimya tu?Waziri Januari Makamba amesema hata kama hatumkubali Samia ni wetu hivyo tunatakiwa kuacha siasa hasa kuhusu ziara zake nje ya nchi kwani zimeleta manufaa makubwa kwa nchi.
Waziri Makamba ameyasema hayo leo 6.6.2024 akizungumzia ziara ya Rais Samia nchini Korea
Zaidi sikiliza hii link mpaka mwisho
Uchonganishi!Yale matusi toka kwa Mange Kimambi ya kumtukana mama Samia matusi ya nguoni yalikuwa yanatoka kwa Makamba
View attachment 3048546
Kama unapinga nilichosema, niambie wewe ni nani alimlipa Mange Kimambi kumtukana Mama?Uchonganishi!
Mange hahitaji malipo kutukana au kumchafua mtu akitaka.Kama unapinga nilichosema, niambie wewe ni nani alimlipa Mange Kimambi kumtukana Mama?
Hata Makamba hujamsikia?Sijawahi kumsikia mtanzania yoyote akisema hamkubali Rais Samia 🐼
... hivi jamaa huwa yuko SERIOUS kabisa kuhusu URAIS?Ila kifo cha Magu kilimuharibia kabisa kipara mipango