Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kwa hili taifa letu hata kichaa anawezaJanuary bado ana ndoto za kuwa Rais wa JMT
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hili taifa letu hata kichaa anawezaJanuary bado ana ndoto za kuwa Rais wa JMT
Huo ni uchochezi, nani kasema hatumkubali Rais?Unapima upepo eeh?Labda yeye ndio hamkubali ila sisi tumampenda sana
Makamba unasema hatumkubali Rais wewe na nani ambao hamumkubali rais mimi sijawahi kusikia kiongozi hata mmoja aliyeteuliwa na rais akisema hayo maneno hatakama hatumkubali wewe umejuaje kama wengine hawamkubali? Rais Samia waangalie vizuri hawa vijana wako na hizi kauli zao ni jambo nyumaWaziri Januari Makamba amesema hata kama hatumkubali Samia ni wetu hivyo tunatakiwa kuacha siasa hasa kuhusu ziara zake nje ya nchi kwani zimeleta manufaa makubwa kwa nchi.
Waziri Makamba ameyasema hayo leo 6.6.2024 akizungumzia ziara ya Rais Samia nchini Korea
Zaidi sikiliza hii link mpaka mwisho
Kapiga kwenye mshonoIf the owners of the natural resources go around begging, then you should know there's something wrong with their mind.
PK
Yaani hapo amerusha jiwe gizani huku amefumba macho ! 😅🙏January bado ana ndoto za kuwa Rais wa JMT
Fumbo hufumbiwa mjinga lakini mwerevu hung’amua papo kwa papo. !!Acheni uchonganishi
Yeye kaongea eti kikubwa wanasemaga !🙄Swali muhimu sana 🐼
Tupo wazee wa kuunganisha dots !Hii kauli ni hujuma tosha kwa Rais
Karopokwa bila kujijua anasema nini na kwamba italeta impression gani kwa wajuzi wa dots !"Hata kama hatumkubali, Rais Samia ni wetu"
Hii statement ni very "ambiguous" yenye kitu nyuma yake.
Na ieleweke wazi kuwa, ni kweli kabisa kuwa Samia Suluhu Hassan hakubaliki na ni mzigo mzito usio na faida yoyote kwa Wa - Tanganyika
Hata hivyo kwa kauli hii kutolewa na January Makamba waziri mteule wa huyu Rais "asiyekubalika" lakini tulazimike kumkubali hivyo hivyo kwa sababu ni wetu, mtu mwingine anaweza kufikiri hivi:
√ Kwamba, hata yeye January Makamba hamkubali Samia lakini kwa sababu ni wetu basi hana la kufanya inabidi amkubali tu..!
√ Lakini all in all, najiuliza, was it necessary kwa January Makamba kutumia maneno haya kuelezea kilichokukuwa kichwani mwake kiasi cha kusababisha mjadala kumhusu?
Vipara ngoto hawafaiJanuary bado ana ndoto za kuwa Rais wa JMT
Waziri Januari Makamba amesema hata kama hatumkubali Samia ni wetu

Khee, mbona ana haraka kusema hatumkubali Rais? hiyo hofu anaitoa wapiWaziri Januari Makamba amesema hata kama hatumkubali Samia ni wetu hivyo tunatakiwa kuacha siasa hasa kuhusu ziara zake nje ya nchi kwani zimeleta manufaa makubwa kwa nchi.
Waziri Makamba ameyasema hayo leo 6.6.2024 akizungumzia ziara ya Rais Samia nchini Korea
Zaidi sikiliza hii link mpaka mwisho
Kwanini mkuuVipara ngoto hawafai
Kwahiyo Mara hii tayari Makamba naye, kageuka TISS mbobezi .Daaa ndoto inamtesa sana mwana tiss mbombezi .....