BrownRange
JF-Expert Member
- Dec 25, 2020
- 927
- 1,191
Kuna downstream activities lazima ziendelee. Unataka mto ufe kabisaNiliwahi kutoa hoja kama hii pia kwamba maji yanayotoka kwemye bwawa kuendesha mitambo kwa nn yasifanyiwe recycling yakaendelea kujaa na kuendesha mitambo hiyo!!
Kuna haja gani ya kuyajaza then kuyaachia yaondoke tena. Ukishajaza fanya recycling!!
S01EP02Waziri wa Nishati, Januari Makamba amesema itachukua misimu miwili ya mvua kulijaza bwawa na kuanza kujaribu mitambo kwani Bwawa la Mwalimu Nyerere linahifadhi lita 33.2 bilioni za maji na kama zikitumika na mitambo yote itaweza kuendesha mitambo kwa kipindi cha mwaka mmoja.
Waziri Makamba amesema hayo leo Disemba 18, 2022 wakati akizungumzia tukio la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa Mgeni rasmi katika kushuhudia fungaji wa lango la handaki mchepuko (vaani diversion tunnel) ili kuruhusu maji yaanze kujaa katika bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere.
Basi wangefanya recyicle ya maji ili yasipotelee baharini itakuwa tumepoteza mradi
... principles of energy haziko hivyo.Niliwahi kutoa hoja kama hii pia kwamba maji yanayotoka kwemye bwawa kuendesha mitambo kwa nn yasifanyiwe recycling yakaendelea kujaa na kuendesha mitambo hiyo!!
Kuna haja gani ya kuyajaza then kuyaachia yaondoke tena. Ukishajaza fanya recycling!!
ShwainiChapa kazi ,CCM ni Makini kupita kiasi
Mbona anamfokea mleta mvua?Waziri wa Nishati, Januari Makamba amesema itachukua misimu miwili ya mvua kulijaza bwawa na kuanza kujaribu mitambo kwani Bwawa la Mwalimu Nyerere linahifadhi lita 33.2 bilioni za maji na kama zikitumika na mitambo yote itaweza kuendesha mitambo kwa kipindi cha mwaka mmoja.
Waziri Makamba amesema hayo leo Disemba 18, 2022 wakati akizungumzia tukio la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa Mgeni rasmi katika kushuhudia fungaji wa lango la handaki mchepuko (vaani diversion tunnel) ili kuruhusu maji yaanze kujaa katika bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere.
Kuyarudisha bwawani utahitaji umeme kama ule uliozalishwa au zaidi.Niliwahi kutoa hoja kama hii pia kwamba maji yanayotoka kwemye bwawa kuendesha mitambo kwa nn yasifanyiwe recycling yakaendelea kujaa na kuendesha mitambo hiyo!!
Kuna haja gani ya kuyajaza then kuyaachia yaondoke tena. Ukishajaza fanya recycling!!
Fafanua... principles of energy haziko hivyo.
Tumepigwa!Kulijaza misimu miwili ya mvua, lakini likijaa, maji yatatumika kuendesha mitambo kwa mwaka 1!
Maana yake ni kuwa kuna wakati lirakuwa tupu bila maji, na hivyo mgao kuendelea.
Tuwe wakweli mgao umepungua kama walivyoahidi sahvi zinapelea MW 150 Pekee tofauti na mwanzoni pale 300 plus!!Nikisema kila Mara makamba
Anaihujumu Hii nchi makusudi Watu wanasema namwonea jamaa wivu.
Haya Sasa yanajidhihirisha waziwazi
Mgao wa umeme bado tuko nao Sana tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kinyerezi, acheni kulialiaKulijaza misimu miwili ya mvua, lakini likijaa, maji yatatumika kuendesha mitambo kwa mwaka 1!
Maana yake ni kuwa kuna wakati lirakuwa tupu bila maji, na hivyo mgao kuendelea.
Hivi hayo majenereta ni mangapi yanaoyouzwa kila siku!?..maana umeme ukikatika si dar si mikoani sioni hayo majenereta,zaidi ni kariakoo tu,Sasa miaka yote wanawauzia watu wa kkoo tu!!?..tafakarini mambo,mkiambiwa ukweli hamtaki,mnataka muongopewe,hili suala lilisemwa kabla hata bwawa halijaanzaMwamba anatuandaa kisaikolojia ili endelee kuuza majenereta[emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app