Makamba: Itachukua misimu miwili ya mvua kujaza Bwawa la Nyerere

Makamba: Itachukua misimu miwili ya mvua kujaza Bwawa la Nyerere

Mwanzon alisema mvua zikianza bwawa likaingoaaji mgao utakua ndoto

Sahv anasema itachukua misimu miwili ya mvua mpka bwawa lijae maji[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kupotosha, nchi inaweka focus kwenye umeme wa Gesi hata hiyo Kinyerezi extension na Kinyerezi 3 itakua kwa ajili ya kufua gesi kuanzia mwakani. So strategy ni kwamba tusitegemee umeme wa Maji ambao hauko certain.

Sasa watu hamtaki kusikia nyie mmekariri tu kuwa kama stiegler haijaanza basi ni mgao kwenda mbele!! Alternative za short term solution yaani hamtaki hata kuona!!

Sijawahi ku support CCM ila tuwe optimistic kwenye mambo serious
 
Kulijaza misimu miwili ya mvua, lakini likijaa, maji yatatumika kuendesha mitambo kwa mwaka 1!

Maana yake ni kuwa kuna wakati lirakuwa tupu bila maji, na hivyo mgao kuendelea.
Baada ya kujaa halitakauka kwa sababu misimu ya mvua itaendelea na pia mitambo yote haitaendeshwa kwa wakati mmoja.
 
itachukua misimu miwili ya mvua kulijaza bwawa na kuanza kujaribu mitambo kwani Bwawa la Mwalimu Nyerere linahifadhi lita 33.2 bilioni za maji na kama zikitumika na mitambo yote itaweza kuendesha mitambo kwa kipindi cha mwaka mmoja.[emoji848][emoji2827]
Mh.Rais anawasaidizi wa ovyo sana na bahati mbaya hata waaotakiwa kumsaidia kung'amua wasidiazi wa ovyo. Kauli ya Baba ake ilitosha kujua yaliyo nyuma ya afanyayo January, Makamba na kigenge chao wana nia ovu ya kumharibia Mh. Rais ili watengeneze utelezi wa wao kuserereka kwenye uchaguzi next term!
 
Mh.Rais anawasaidizi wa ovyo sana na bahati mbaya hata waaotakiwa kumsaidia kung'amua wasidiazi wa ovyo. Kauli ya Baba ake ilitosha kujua yaliyo nyuma ya afanyayo January, Makamba na kigenge chao wana nia ovu ya kumharibia Mh. Rais ili watengeneze utelezi wa wao kuserereka kwenye uchaguzi next term!
Haya maoni yako yanahusikaje na Maji kujaa kwenye bwawa?
 
Baada ya kujaa halitakauka kwa sababu misimu ya mvua itaendelea na pia mitambo yote haitaendeshwa kwa wakati mmoja.
Wewe sio Mungu,binafsi naona Ni upumbavu wa Mwendazake kutumia gharama kubwa kuweka bwawa la umeme wakati akikua fika kwamba Kuna hatari ya ukame na Mafuriko
 
Mbona anamfokea mleta mvua?

Huyu jamaa tayari kipanda kichwa kishamwingia, hayuko salama!

Anazungumzia mvua yeye kama Nani? Anaifahamu hiyo nguvu ya mvua?
Anazungumzia kwa kulingana na mwenendo wa utabiri wa kiwango Cha mvua.

Kwa hiyo kosa lake Ni kukuambia ukweli au? Si mlikuwa mnasema bwawa halitakamilika ndio Hilo Sasa.

Rais muache January hapo hapo Hadi bwawa likamilike ili wale haters wake waaibike
 
itachukua misimu miwili ya mvua kulijaza bwawa na kuanza kujaribu mitambo kwani Bwawa la Mwalimu Nyerere linahifadhi lita 33.2 bilioni za maji na kama zikitumika na mitambo yote itaweza kuendesha mitambo kwa kipindi cha mwaka mmoja
Kwann wasichukue maji ya msimu mmoja yaendeshe kwa nusu mwaka🤔
Tunapangwa vibaya mno


Kifupi hata tukiwapa maji hakuna kitu hapo
 
Hivi hayo majenereta ni mangapi yanaoyouzwa kila siku!?..maana umeme ukikatika si dar si mikoani sioni hayo majenereta,zaidi ni kariakoo tu,Sasa miaka yote wanawauzia watu wa kkoo tu!!?..tafakarini mambo,mkiambiwa ukweli hamtaki,mnataka muongopewe,hili suala lilisemwa kabla hata bwawa halijaanza
Ni wapumbavu tuu wachache wenye chuki zao hao,waulize wapi Kuna majenereta hawawezi kuleta majibu.
 
Hili suala la kufanikiwa huu mradi, linatuudhi sana wapinzani, huu mradi utatupunguzia kura 2025🤔
 
Niliwahi kutoa hoja kama hii pia kwamba maji yanayotoka kwemye bwawa kuendesha mitambo kwa nn yasifanyiwe recycling yakaendelea kujaa na kuendesha mitambo hiyo!!

Kuna haja gani ya kuyajaza then kuyaachia yaondoke tena. Ukishajaza fanya recycling!!
Maji yameshuka enyewe mitambo na water pump za kurudisha hayo maji juu haitawezekana na umeme unaozalisha kwan utajikuta unahitaji umeme mwingi zaidi kufanya Hilo Jambo nilishawahi waza kipindi sielewi umeme


Assume una tank la Lita 5000 juu umejaza maji Yana flow kwenye turbine Kisha yazalishe umeme labda 300VA Kisha yaingie kwenye tank jingne afu uweke mota irudishe maji juu Basi unaweza hitaji 1kw motor kurudisha maji juu ili cycle iendelee

Umeme wakurudisha maji juu Ni mwingi marakadhaa ya unaouzalisha
 
Acha kupotosha, nchi inaweka focus kwenye umeme wa Gesi hata hiyo Kinyerezi extension na Kinyerezi 3 itakua kwa ajili ya kufua gesi kuanzia mwakani. So strategy ni kwamba tusitegemee umeme wa Maji ambao hauko certain.

Sasa watu hamtaki kusikia nyie mmekariri tu kuwa kama stiegler haijaanza basi ni mgao kwenda mbele!! Alternative za short term solution yaani hamtaki hata kuona!!

Sijawahi ku support CCM ila tuwe optimistic kwenye mambo serious
Umetumwa wewe
 
Waziri wa Nishati, Januari Makamba amesema itachukua misimu miwili ya mvua kulijaza bwawa na kuanza kujaribu mitambo kwani Bwawa la Mwalimu Nyerere linahifadhi lita 33.2 bilioni za maji na kama zikitumika na mitambo yote itaweza kuendesha mitambo kwa kipindi cha mwaka mmoja.

Waziri Makamba amesema hayo leo Disemba 18, 2022 wakati akizungumzia tukio la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa Mgeni rasmi katika kushuhudia fungaji wa lango la handaki mchepuko (vaani diversion tunnel) ili kuruhusu maji yaanze kujaa katika bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere.
Kila siku wanakuja na tamko jipya.

Sisi Wstanzania tuna mzigo na taabu nyingi.

Viongozi mizigo
Hali ngumu ya maisha
 
Hawa watu bwana. Si walisema bwawa likijaa litakuwa na uwezo wa kuzalisha umeme miaka mitatu mfululizo hata ikitokea ukame? Sasa naona no Kampala tuu. wanajipigia pasi tuu za madeal yao.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom