Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Basi utakuwa mpinzani lege lege,, mpinzani shupavu lazima apinge kwa nguvu zote maendeleo, kwani yanawaongezea kura ccm,Hakuna mpinzani mjinga hivyo labda wewe.
😂,Si uliona tulivyopinga mradi wa gezi mtwara, enzi za jk,, bila mbinu hizi hata ubunge hatuta ambulia🤷🏽♂️