Mawazo ya kimasikini hayo.Hii kauli ya kutuandaa physiological kwamba tatizo la umeme kukatika litakuwa endelevu, lkn pia anawahakikishia wapiga deal wenzie kuwa ameshatupanga....waendelee kuagiza mizigo ya generators and deal zingine lukuki.....Twafaaaa......
Mawazo ya kimasikini hayo.
Ambae hazioni fursa kwenye matatizo atabakI kuwa masikini daima.
I am just being realistic,tumewaachia sana,we should have acted sooner,they are almost done.Usipoteze matumaini...!!! In chemistry, they have a valid saying, which states that, 'there is no impossibility under the sun; the gold can be built in the lab.'
===
There must be a way through.
Yaani matatizo yatengenezwe makusudi kusaliti maendeleo ya wote halafu useme ni furusa!??Ambae hazioni fursa kwenye matatizo
Lini ilikuwa hakuna matatizo?Yaani matatizo yatengenezwe makusudi kusaliti maendeleo ya wote halafu useme ni furusa!??
===
Povu ruksa.
Hawa watu hawajui mambo mengi nchi wangetuambia tuwaambie habari za bomba la mafuta kutoka Uganda kwamba ni kupoteza tu matrilioni ya watanzania, na kwamba ATCL, SGR mashirika haya yataendelea kuingiza hasara na mwishowe kufa. Nimeshasema sana lakini sijui kwanini hawasikii. Yapo mengi sana mengine!Mbaaali uliona we kijana.
Kweli mnajua mnachokifanya.Lini ilikuwa hakuna matatizo?
Kweli mnajua mnachokifanya.
Lakini, kumbuka Kuna waafrika wanasema "usichekeshe utakaloliza"! Hata hivyo, ninajua ni nukuu za watu gani wa ng'ambo zinaweza kukuingia kwa urahisi akilini.
Alhamsikh!
Hata Truong alifikiri amewaacha mbali wavietinamu.I am just being realistic,tumewaachia sana,we should have acted sooner,they are almost done.
Naam, ni ushauri mzuri lakini kamwe sitatumia furusa zinazowadhoofisha watanzania wenzangu na Afrika wanaopigania maendeleo na Uhuru wa kweli wa kiuchumi kutoka kwa ukoloni mambo Leo....fursa kujiletea maendeleo
Sawa,tusubiri.Ila unajua hiyo pesa aliyo embezzle ni ya nani hasa hata akakamatwa na kupata hukumu hiyo.Inawezekana it belongs to "The Powers To Be (TPTB)" establishment, ndio maana wakamkamata.Umeshawahi kujiuliza kwa nini CAG anatoa ripoti mbaya kila mwaka lakini hakuna anayechukuliwa hatua? It is TPTB in action.So usidanganyike.Anyway,tusubiri,time will tell.Ila tusitegemee, TPTB has a firm grip already not only in Tanzania,but across the World.What you see happening in Ukraine,Israel etc. is nothing but TPTB exerting it's muscle.Hata Truong alifikiri amewaacha mbali wavietinamu.
====
Truong My Lan (C) looks on as she is sentenced to death at a court in Ho Chi Minh city, Vietnam, April 11, 2024 © AFP / STR
Real estate developer Truong My Lan has been sentenced to death by a Vietnamese court for her role in Southeast Asia’s largest ever embezzlement scheme.
The verdict was handed down by a court in Ho Chi Minh City on Thursday after a month-long trial. The court found the 67-year-old guilty of bribery, the violation of banking regulations, and embezzlement, with the latter charge carrying the death penalty due to the amount of money stolen by Lan.
Jiwe aliondolewa na Mungu baada ya kilio cha Watanzania wengi, acha kupotosha kwenye hili.Hakuna political will ya kufanya hivyo Mkuu,wananchi hatuna budi kulitambua hilo na kuwashuhulikia sisi wenyewe.Nchi hii tayari imetekwa na kikundi kiovu ambacho hakiko tayari kuona wananchi wakipiga hatua yeyote kimaendelea kwa kuwa that means eroding their power and financial base.
Kikundi hiki kilianza kuteka nchi baada tu ya Mwalimu kuachia madaraka and possibly hata kabla ya kung'atuka and now it has total control.Kitendo cha kuweza kum-eliminate Magufuli with extreme ease shows how much control it has in government and the political scene.
Wewe angalia fursa kwenye matatizo yawe ya kutengenezwa ama vinginevyo, acha kujiita mnyonge piaYaani matatizo yatengenezwe makusudi kusaliti maendeleo ya wote halafu useme ni furusa!??
===
Povu ruksa.
Jiwe aliondolewa na Mungu baada ya kilio cha Watanzania wengi, acha kupotosha kwenye hili.
Kilikuwa kilio chako mkuu,sio cha wengi,unajifariji.Magufuli kwa kuwa aliji-identify na wananchi wa kawaida,he was loved by them.Unaweza kulithibitisha hili kufuatana na maongezi yao,tuwe wakweli tu.Kwanza Mungu hata siku moja hatoi roho kwa namna Magufuli alivyokufa.Nothing justifies killing in the eyes of God.Kutoa roho ni kitendo ambacho kipo reserved to God only.Jiwe aliondolewa na Mungu baada ya kilio cha Watanzania wengi, acha kupotosha kwenye hili.
Unaijua Dunia wewe, kiukweli it seems kwa comment hii huijui.Niseme hivi hata mimi ningetamani Uhuru wa kweli Tanzania,lakini tusahau.Kifo cha Hayati Magufuli should tell you something:We are now going towards "total enslavement and domination."Naam, ni ushauri mzuri lakini kamwe sitatumia furusa zinazowadhoofisha watanzania wenzangu na Afrika wanaopigania maendeleo na Uhuru wa kweli wa kiuchumi kutoka kwa ukoloni mambo Leo.
Bali ujue Afrika na wa Tanzania tutapata Uhuru huo, unataka ama hutaki hivi karibuni au baadaye!
Asante sana kwa kueleza ukubwa wa changamoto...Hata hivyo, najua una maanisha nini unapoandika "...tumezubaa sana...". Maana hiyo itafanyiwa kazi kwa manufaa ya wote.not.Tumezubaa sana,mpaka TPTB wamefika walipofika.
Hakuna mtu aliyekuwa anahangaika na Membe,labda Musiba. Maisha ya Membe yalikuwa hayana uhusiano wa moja kwa moja na wananchi. Jiwe ilikuwa ile wanaita kichaaa kapewa rungu,bila Mungu kuingilia kati sijui nchi ya Tz ingekuwa vip leo hiiNa Membe aliondolewa baada ya kilio cha nani
🤔Unaijua
Unaijua Dunia wewe, kiukweli it seems kwa comment hii huijui.Niseme hivi hata mimi ningetamani Uhuru wa kweli Tanzania,lakini tusahau.Kifo cha Hayati Magufuli should tell you something:We are now going towards "total enslavement and domination."
Huo ndio ukweli mchungu,whether people like it or not.Tumezubaa sana,mpaka TPTB wamefika walipofika.