Hakuna anayesema Magufuli alikuwa Malaika. Lakini kutumia mwanya wa kuondoka kwake kuturudisha kwenye corruption ya wazi; ukwepaji kodi; uwekezaji holela wa wazungu n.k sio sawa. Tumeishatoka uko. Tumkosoe kwa mambo ya msingi kama kuweka mazingira rafiki ya biashara, kuongeza ajira na kuongeza demokrasia n.k. bila kusahau lengo ni kupeleka nchi mbele.