Na wewe umerudia upumbavu ule ule alioukataa Makamba!Maneno mazuri sana January kaongea
Kushindana kuonyesha nani ni mnazi zaidi wa rais Magufuli is useless, this man is dead na harudi tena.
Na kushibdana kuonyesha nani ni mnazi zaidi wa rais Samia ni kupoteza muda, kwa sababu Samia keshasoma gemu lote anajua nini maana ya kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa!
Cha msingi ni kuwa turudi kujenga nchi kwa kutumia watu waliotosha kwa vigezo na siyo wanaojua sana kushangilia, kusifu na kujipendekeza.
Samia ana kazi kubwa ya kutengeneza serikali inayoendana na yeye na vision yake kwa nchi, hana budi kuondoa wale wote walioingia kwenye serikali kwa kununuliwa, kujipendekeza, uzandiki na fitna.
Aweke wataalamu huko kwenye kurugenzi za halmashauri na aachane na ukada
Kwani magufuli Ni Nani mpaka kila mtu akamzike??Makamba haaminiki tena na raia sijui afanyaje aeleweke na wananchi wa kawaida.
Kwanza akwenda mzika Magufuli na pia alikuwa ameanzisha vuguvugu la kumsaliti pindi akiwa hai.
Kila mtu ana mabaya hata wewe. Lakini kwa mila zetu mtu akifa mabaya tunamwachia Mungu sisi tunachukua mazuriKama Mtu Akifa anasifiwa kwa Mema yake Basi lazima Pia Alaumiwe kwa Ubaya wake ili iwe Funzo na kwa Wengini na Sio Kosa Msema aliyekufa iwe kwa Mazuri au Mabaya
CCM kimenukaMbunge wa Bumbuli, January Makamba amesema kifo cha Magufuli kimeleta kipindi cha mpito chenye wasiwasi ila Rais Samia Suluhu ameanza vizuri kuendeleza yale aliyoacha Rais na kufanya marekebisho na mashahihisho pale panapostahili
Makamba ameongea kauli za kutiliana shaka, utengano, kuhukumiana na tuhumiana hazijengi na zinawachanganya wananchi,
Kaendelea kusema pia mazuri aliyofanya rais Magufuli hayatapotea kwa kauli za kubeza lakini pia wanaotoa maoni ya kurekebisha mambo wasionekane ni wasaliti kwani ameanza kuona dalili ambazo sio nzuri
Zaidi msikilize hapa
Walipanda miche ya bange sasa wanategemeaje kuvuna mchicha?Matunda ya uchaguzi wa 2020 ndo hayo.lazima waparuane tu
I second youThere is a brain in that guy.
Watajuana hayatuhusu.Mbunge wa Bumbuli, January Makamba amesema kifo cha Magufuli kimeleta kipindi cha mpito chenye wasiwasi ila Rais Samia Suluhu ameanza vizuri kuendeleza yale aliyoacha Rais na kufanya marekebisho na mashahihisho pale panapostahili
Makamba ameongea kauli za kutiliana shaka, utengano, kuhukumiana na tuhumiana hazijengi na zinawachanganya wananchi,
Kaendelea kusema pia mazuri aliyofanya rais Magufuli hayatapotea kwa kauli za kubeza lakini pia wanaotoa maoni ya kurekebisha mambo wasionekane ni wasaliti kwani ameanza kuona dalili ambazo sio nzuri
Zaidi msikilize hapa
hatusemi makosa ya maguful, tunasema makosa ya Rais. Tatizo Maguful alihodhi Urais na ndo maana makosa mengi (Kama si yote) yanamwangukia Maguful badala ya Rais.Kila mtu ana mabaya hata wewe. Lakini kwa mila zetu mtu akifa mabaya tunamwachia Mungu sisi tunachukua mazuri
Watakatana mapanga haoMatunda ya uchaguzi wa 2020 ndo hayo.lazima waparuane tu
hatusemi makosa ya maguful, tunasema makosa ya Rais. Tatizo Maguful alihodhi Urais na ndo maana makosa mengi (Kama si yote) yanamwangukia Maguful badala ya Rais.
Ivi Ni kweli hairuhusiwi kumsema mtu kwa mabaya. Hasa kwa wenzetu waislamu, Kuna sehemu Quran imekataza.Kama Mtu Akifa anasifiwa kwa Mema yake Basi lazima Pia Alaumiwe kwa Ubaya wake ili iwe Funzo na kwa Wengini na Sio Kosa Msema aliyekufa iwe kwa Mazuri au Mabaya.
umemaliza kabisa,Maneno mazuri sana January kaongea
Kushindana kuonyesha nani ni mnazi zaidi wa rais Magufuli is useless, this man is dead na harudi tena.
Na kushibdana kuonyesha nani ni mnazi zaidi wa rais Samia ni kupoteza muda, kwa sababu Samia keshasoma gemu lote anajua nini maana ya kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa!
Cha msingi ni kuwa turudi kujenga nchi kwa kutumia watu waliotosha kwa vigezo na siyo wanaojua sana kushangilia, kusifu na kujipendekeza.
Samia ana kazi kubwa ya kutengeneza serikali inayoendana na yeye na vision yake kwa nchi, hana budi kuondoa wale wote walioingia kwenye serikali kwa kununuliwa, kujipendekeza, uzandiki na fitna.
Aweke wataalamu huko kwenye kurugenzi za halmashauri na aachane na ukada
Mheshimiwa Rais Samia ametuahidi kuwa atafuata nyayo za mtangulizi wake. Moja kati ya mambo ambayo Magufuli aliyoyaweka hadharani ni tahadhali aliyompa waziri mkuu kuwa asitegemee kuwa angeshika hicho cheo kwa miaka 10 kwani itategemea utendaji wake!! Sasa kama huyu waziri mkuu alikuwa katika kundi lililotaka kuvunja katiba baada ya kifo cha mwendazake, mama wala usiwe na kigugumizi kumtumbua!Bado tunamfikiria kumpa U-PM ...
Hakuna shujaa jizi la kura, labda shujaa wa watu wasiojulikana.βUlimi ukipewa nafasi unaweza kufanya mtu mmoja kulishinda jeshi la watu 1000, na ulimi huo huo unaweza mfanya mtu akate kichwa chake ndani ya dakika kwa kumkera mtu mmoja tuβ Chinese proverb.
Kukosoa sio tatizo, lakini unapokosoa legacy ambazo zina support ya wengi, bila ya ulazima kwa sababu maamuzi yenyewe yapo hatua za mbali ayawezi geuzwa, halafu unafanya hivyo kwenye kipindi ambacho watu bado wanamuombeleza shujaa wao.
Matatizo mengine ni ya kujitakia, busara ni kuelewa uongee nini na wakati gani.
Baada ya kosakosa kadhaa karibu na goli πππππHatimaye Makamba kaibuka