Kitu gani kinakufanya usiamini kwamba walienda kwenye program ya kilimo ?Ndiyo maana uzi huu unasema, tusitafute mchawi, Bashe, January na Mama Samia wanaujuwa ukweli wa vijana wetu waliopo israel.
😄😄😄 dah kwa kuwa sichoki kujifunza nitatembelea huko.Wewe njoo nikupe darsa la Islamic Knowledge huku
Wanyongwe woteKwa hao vijana, kama ni kweli Watanzania, kuwepo jeshini Israel maana yake Tanzania imechaguwa upande na ipo vitani rasmi.
Tusidanganyane kuwa atanzania haifungamani na yeyote.
Wapi nimesema hayo?Kitu gani kinakufanya usiamini kwamba walienda kwenye program ya kilimo ?
Ninaye mdogo wangu alimaliza SUA yeye aliwahi kwenda huko kwa ajili ya mambo ya kilimo kama internship na alikaa huko kwa mwaka mmoja.
sidhani kama kuna jambo la ziada zaidi ya kufanya kilimo.
Hoja ya msingi ni kilimo na huo ndio uwazi uliokuwepo,kama kuna jambo kinyume na hilo ilikuwa wewe ndio uweke hoja na uthibitisho wa kinyume na mambo yalivyo
Ukqeli ni kwamba kuna program ya kilimo huko ipo na vijana wengi wanaenda ikiwemo na ndugu yangu alishawahi kwenda huko.Wapi nimesema hayo?
Kanisome tena post namba 1, usitie ujinga kinywani mwangu.
Unaonesha huwafahamu mazayuni. Kaongee vizuri na ndugu zako uwaulize wangapi wamebaki katika walioenda?Ukqeli ni kwamba kuna program ya kilimo huko ipo na vijana wengi wanaenda ikiwemo na ndugu yangu alishawahi kwenda huko.
Huo ndio ukweli wa mambo
Bila shaka huyo mdogo wako zuzu zuzu hivi alirudi shogaKitu gani kinakufanya usiamini kwamba walienda kwenye program ya kilimo ?
Ninaye mdogo wangu alimaliza SUA yeye aliwahi kwenda huko kwa ajili ya mambo ya kilimo kama internship na alikaa huko kwa mwaka mmoja.
sidhani kama kuna jambo la ziada zaidi ya kufanya kilimo.
Hoja ya msingi ni kilimo na huo ndio uwazi uliokuwepo,kama kuna jambo kinyume na hilo ilikuwa wewe ndio uweke hoja na uthibitisho wa kinyume na mambo yalivyo
Asante bibiTusihangaike kusaka mchawi, Makamba na Bashe wanaujuwa ukweli. Ninaamini na mama Samia kwa sasa atakuwa anaujuwa ukweli.
Januari jana kasema wazazi wa kijana aliyeuliwa atakwenda Israel. Tujiulize toka lini wazazi wa mfiwa yeyote yule Tanzania wakapelekwa nje alipokufa? Siri hii anayo Makamba na Bashe.
Bashe anafahamu kwa kuwa yeye alituaminisha hao vijana wanakwenda kusomea kilimo. Cha kujiuliza vijana 260 wapelekwe Israel wakasomee kilimo badala ya kuja myahudi mmoja au wawili hapa wakawafundisha vijana kibao, na vyuo na vituo vya kilimo tunavyo?
Kuna siri hapo na Bashe pia anaijuwa.
Naamini kabisa, vijana hao hawakupelekwa kujifunza kulima pekee, wamepekwa pia kufundisha mambo ya kijeshi na kivita na au wwengine watabaki israel kuendeleza kuuwa Wapalestina au wengine watakaorudi huku watakuwa ni "reserve" wa jeshi la Israel
Hili sasa hivi lipo wazi kabisa, ushahidi ni hii picha inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii:
View attachment 2847132
niseme tu we ni mpuuzi unayeita wenzako kafiri wakati we ndiye kafiri mkuu
Wewe ni sympathiser wao tu, huna hoja yoyote.Nilikua naongea na jamaa wa middle east akasema, Hamas hauwi raia wa kigeni tena akashangaa, akasema lazina kuna kitu amekijua juu ya huyo, HAIWEZEKANA
🙄 !Tusihangaike kusaka mchawi, Makamba na Bashe wanaujuwa ukweli. Ninaamini na mama Samia kwa sasa atakuwa anaujuwa ukweli.
Januari jana kasema wazazi wa kijana aliyeuliwa watakwenda Israel. Tujiulize toka lini wazazi wa mfiwa yeyote yule Tanzania wakapelekwa nje alipokufa? Siri hii anayo Makamba na Bashe.
Bashe anafahamu kwa kuwa yeye alituaminisha hao vijana wanakwenda kusomea kilimo. Cha kujiuliza vijana 260 wapelekwe Israel wakasomee kilimo badala ya kuja myahudi mmoja au wawili hapa wakawafundisha vijana kibao, na vyuo na vituo vya kilimo tunavyo?
Kuna siri hapo na Bashe pia anaijuwa.
Naamini kabisa, vijana hao hawakupelekwa kujifunza kulima pekee, wamepelekwa pia kujifundisha mambo ya kijeshi na kivita na au wengine watabaki israel kuendeleza kuuwa Wapalestina au wengine watakaorudi huku watakuwa ni "reserve" wa jeshi la Israel
Hili sasa hivi lipo wazi kabisa, ushahidi ni hii picha inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii, kina nani hawa?:
View attachment 2847132
Kazi kweli kweli !!Mayahudi wanawapeleka nyie chambo kwa njaa zenu, nenda na wewe ukawasqidie wajomba wa mungu wako.
Si unaona Bashe anawasaidia wayahudi wenzie.
Imani ni kitu Hatari sana kama hutotumia vizuri Akili zako mwenyewe kwa kujiuliza mambo mengi utakayokutana nayo humo vitabuni au utakavyo hubiriwa !!Kweli waliosema "dini ni bangi ya wanadamu", hakukosea.
Ila kuna dini imezidi kulevya zaidi ya bangi ilevyavyo.
Cha ajabu hao wanaotetea hiyo dini,hata hawaelewi maandiko yao.
Yaani mtu ambaye ulikuwa unafikiri ni mwerevu,linatokea jambo fulani linalohusiana na watu ambao inasemekana hiyo dini ndipo ilipotokea, anawaunga mkono hao watu kisa tu ni ndugu katika imani.
Ujuha wa kutisha.
CCM na hizi dini hazina tofauti,wote wanawafanya misukule wafuasi wao.
kwa nini umekuwa criticised kwenye uislam kiasi hiki? Hebu kuwa moderate pengine utaeleweka bibieKarazame post namba 106 urudi kuuliza tena.
Wewe njoo nikupe darsa la Islamic Knowledge huku: