Makamba na Bashe semeni ukweli kuhusu vijana wa Kitanzania mliowapeleka Israel

Makamba na Bashe semeni ukweli kuhusu vijana wa Kitanzania mliowapeleka Israel

Halafu hao unaotaka wakupe majibu si ni waislamu wenzio ama? Unafikiri kwa nini hawakuwapeleka uarabuni?

Walijua huko wataishia kufundishwa kuchimba na kujificha kwenye mahandaki basi. Na kujitoa mhanga
 
Yule kijana alikuwa na mission zake za siri na watu wake, hamas hawana makosa.
Ninyi mashetani mtanena nini, zaidi kusifia ushetani wenu?

Ulimwengu wa wasraarabu, teketeza Hamas na magaidi mengine. Kama kuna watu wastaarabu wanastahili haki yao, wapewe. Lakini kamwe Dunia isiruhusu magaidi kupewa nchi. Magaidi yakipewa nchi, itakuwakiwanda cha kuzalisha magaidi mengine zaidi.
 
Hebu pitieni hapa muone Status ya Mwafrika huko Palestina.👇


View: https://youtu.be/YCY_Vwyqqww?si=bo13ygZKUXwFzTGX

Wapalestina wanawaita Waafrika Waisilamu wenzao Al Abidi huko Gaza.

Ewe Mwisilamu wa Mbagala Dini isikuzibe macho

Sina maana kuwa Israel hakuna ubaguzi upo.

Mwafrika tetea Waafrika kwanza.

Al Abidi ni Mtumwa katika lugha ya Kiarabu.

Ubaguzi wa Rangi kwa Wapalestina weusi upo kwenye maneno tu, kama vile ubaguzi wa Rangi Huku Africa, Mweusi anaweza akaitwa Galax (wakimaanisha Chocolate) ama mtu akaambiwa Usikae juani utakua kama (insert jina la mtu mweusi). Ila kwenye System weusi Palestina wapo very respected, Maeneo ya Western Bank kuna weusi ambao asili yao ni kama mercenaries walienda kupigana kwenye Dola za kiisilamu zamani, na kiongozi wao alijitoa kafara kumkinga risasi mufti wa Palestina wakati huo, since that time kuna eneo lao wamepewa mtaa mzima wanaishi mpaka leo, wengi weusi ushapotea potea kwa inter marriage ila bado wapo.

Na mpaka leo wanateswa na Settlers ila wenyewe hawana mpango wa kuondoka wana solidarity na Wapalestina wenzao.
 
Ninyi mashetani mtanena nini, zaidi kusifia ushetani wenu?

Ulimwengu wa wasraarabu, teketeza Hamas na magaidi mengine. Kama kuna watu wastaarabu wanastahili haki yao, wapewe. Lakini kamwe Dunia isiruhusu magaidi kupewa nchi. Magaidi yakipewa nchi, itakuwakiwanda cha kuzalisha magaidi mengine zaidi.
Na anqyewapa hela magaidi naye afanywe nini? Anayetibu magaidi afanywe nini? Anqyewapa silaha magaidi afanywe nini?

Kama ni ushetani Israel ndio ushetani mkuu hakuna kundi hata moja liwe Hamas, liwe Al Qaeda liwe Isis ambalo asili yake sio Israel. With Evidence za kutosha.
 
Hao ni tofauti kabisa na hawa wanaoenda kufundishwa namna ya kuuwa
Wote wanapelekwa na serikali na hili swali ungeuliza kwa wahusika waliowaombea ajira za kwenda huko
Kama walienda kufanya kazi za ndani na badala yake wakafanyiwa unyama huo na imethibishwa kuwa ni watz basi ni jukumu la serikali kuwarudisha
Sisi tunajadili tu kuhusu Hao wajeda na sio vijakazi kwa sasa
Hao madogo waliokufa ni walienda internship israel wakitokea SUA tafuta majina yao kwenye website ya SUA utawaona acha ukichaa na utahira wa kuzusha habari za kusadikika kwa vile dini yenu imeguswa kuwa na utu dhidi ya mtanzania mwenzako
 
Katazame na post #107 uje useme na hao je?
Nimeona je May 4 , 2019 Joshua Molel aliikua ameshaenda Israel?

Kichwa cha habari kinasema , IDF Training Tanzanian soldiers.

Hiki sio kitu kigeni ,miaka ya nyuma tumepeleka wanajeshi wa pale Ngerengere Uchina kujifunza urubani na ufundi wa ndege za jeshi.

Tumepeleka wanajeshi Cuba, Israel, USSR kamandi tofauti tu miaka hiyo hata walinzi wa high profile individuals wanakua trained ndani na nje ya nchi naomba nisiingie ndani zaidi ila jua iko hivyo majeshi yanabadlishana mbinu za kijeshi hata hao Israel wanakuwa trained na US Navy dept na dept zingine kwa nyakati tofauti na hua inaonyeshwa wazi.

So bado hujanipa concrete justification kwa article hiyo ya May 4 2019 wanajeshi wetu walipoenda kuwa trained mafunzo mbali mbali kama yalivyooyeshwa na hao ukiangalia hakuna picha ya wazi kuonesha uso wa mwanajeshi wetu.

Sasa turudi kwenye mada kuu, Joshua Molel kaingia Israel mwezi September 2023 ,kauwawa October 2023.

Joshua alitokea chuoni na wenzie wapo ni ushahidi tosha alikuwa mwanafunzi na ushahidi upo.

Je unaweza kutupa ushahidi Joshua alikua mwanajeshi kutoka Tanzania kwenda Israel ?

Hii ndio ingempa justification ya yeye kupokelewa na kupewa mafunzo ya kijeshi na sio kutoka kama raia wa kawaida kwenda nchi nyingine na kwenda kuanza kozi ya jeshi mara ya kwanza.

Naomba uweke ushahidi Joshua alikuwa kambi gani ya jeshi kabla hajatoka Tanzania.
 
Haya Majeshi yetu ya Kiafrika hayana Confidence tu ndio maana yanatumia hayaendi Vitani bila Hirizi.
😄 🤣 😂 yaani kuna watu wao maisha yao hayaendi bila hirizi na ntunguli, chale mpaka kwenye macho

Kuna mjeda mmoja nilisoma nae Enzi hizo yeye alipelekwa vitani wakati wa Amin Dada
Sasa nakuja muona anasema waliwavamia waganda wakaanza kuwapiga risasi anasema mti unakatika wao wanatuangalia tu nikamwambia wewe unahitaji hospitali una tatizo mahali 😄
Hao hata wapelekwe wapi wakirudi ni wale wale tu wa kutafuta nani kavaa t-shirt ya jeshi
Heshima na nidhamu katika majeshi nchi masikini ni zero
 
gaidi ni gaidi tu. ni kwamba unaweka hizi picha za wayahudi wa kiethiopia ili dunia iamini kwamba wale vijana walipelekwa kule kijeshi? BAshe ambaye ni msomali swala tano, makamba naye hivyo, mama samia naye hivyo, kwamba wangefanya hivyo? haujui kwamba walienda Israel kujifunza kilimo kwa vitendo kwenye mashamba ambayo tayari yapo? haujui kuwa Israel iligeuza jangwa likazalisha mazao yote unayoyajua hapa duniani wakati waarabu waliowazunguka bado wanachamba kwa kutumia mchanga jangwani hawana uwezo kulima chochote? wewe ni mjinga sana na umelaaniwa. jaribu kuwa na utu walau kidogo basi. mzazi wa Joshua anaenda Israel sio kwa msaada wa serikali yako ya kina makamba na bashe au yeyote, serikali yako masikini imeshindwa kusaidia kuokoa yeyote. Ubalozi wa Israel Kenya ulikuja Arusha na wao ndio wametoa hiyo offer. Ukiangalia ile clip ya Joshua na ile ya Clement wote walikabidhiwa baiskeli na wameuliwa wakiwa na baiskeli walizokuwa wanatumia mashambani. hivi mlipeleka wapi utu ninyi? kwanini mioyo yenu imejaa mashetani na roho mbaya kiasi hicho? kweli unataka kutwist hii issue ionekane wale vijana waliuliwa kwa halali kwa kuwa walikuwa wanajeshi? shida hata kutwist hauwezi kwasababu kichwani empty, unaujua ubwabwa na uuaji tu hakuna elimu wala akili.
wewe sio msemaji wa serikali ya Tanzania.
Kwa hili twataraji serikali haitakaa kimya itatoa ufafanuzi tujuwe wale vijana walikwenda kwa ajili ya nini?
Kama ni kazi za mashambani hatukuambiwa hivyo walipoondoka.Kama ni chuo cha kilimo ilikuwa ni chuo gani ?
Na kama hakuna majibu Faiza atakuwa sahihi kuhoji na hana makosa akishuku kuwa walikwenda kuchukua mafunzo ya kijeshi na kwamba walikamatwa kwenye kambi ndio maana Hamas waliwaona ni adui zao bila kujua utaifa wao wala kuangalia rangi ya ngozi zao.Hamas wanajua ndani ya jeshi la IDF kuna askari wengi wa ngozi za kiafrika ambao wanapambana kuzuia uhuru na heshima zao.
 
wewe sio msemaji wa serikali ya Tanzania.
Kwa hili twataraji serikali haitakaa kimya itatoa ufafanuzi tujuwe wale vijana walikwenda kwa ajili ya nini?
Kama ni kazi za mashambani hatukuambiwa hivyo walipoondoka.Kama ni chuo cha kilimo ilikuwa ni chuo gani ?
Na kama hakuna majibu Faiza atakuwa sahihi kuhoji na hana makosa akishuku kuwa walikwenda kuchukua mafunzo ya kijeshi na kwamba walikamatwa kwenye kambi ndio maana Hamas waliwaona ni adui zao bila kujua utaifa wao wala kuangalia rangi ya ngozi zao.Hamas wanajua ndani ya jeshi la IDF kuna askari wengi wa ngozi za kiafrika ambao wanapambana kuzuia uhuru na heshima zao.
walienda kujifunza kilimo, na walitawanywa. vichwa vyenu vimejaa mashetani ndio sababu.
 
Ubaguzi wa Rangi kwa Wapalestina weusi upo kwenye maneno tu, kama vile ubaguzi wa Rangi Huku Africa, Mweusi anaweza akaitwa Galax (wakimaanisha Chocolate) ama mtu akaambiwa Usikae juani utakua kama (insert jina la mtu mweusi). Ila kwenye System weusi Palestina wapo very respected
Fanya research yako vizuri Weusi Al ABIDI hawaruhusiwi kuoa Waarabu wa Palestina unalijua hilo?

Hawapewi kazi za kutoa Service kwa Wapalestina wanapewa kazi za chini kuzoa taka nk.

Chunga sana Dini yako isikufunge macho kwenye ukweli.

Ukiwa Mkristo isiwe sababu ya kumtetea Mzungu hata pale anapofanya ubaya hali kadhalika Ukiwa Mwislamu usimtetee Mwarabu hata pale anapofanya ubaya.
 
Nimeon je May 4 , 2019 Joshua Molel aliikua ameshaenda Israel?

Kichwa cha habari kinasema , IDF Training Tanzania soldiers.

Hiki sio kitu kigeni ,miaka ya nyuma tumepeleka wanajeshi wa pale Ngerengere Uchina kujifunza urubani na ufundi wa ndege za jeshi.

Tumepeleka wanajeshi Cuba, Israel, USSR kamandi tofauti tu miaka hiyo hata walinzi wa high profile individuals wanakua trained ndani na nje ya nchi naomba nisiingie ndani zaidi ila jua iko hivyo majeshi yanabadlishana mbinu za kijeshi hata hao Israel wanakuwa trained na US Navy dept na hua inaonyeshwa wazi.

So bado hujanipa concrete justification kwa article hiyo ya May 4 2019 wanajeshi wetu walipoenda kuwa trained mafunzo mbali mbali kama yalivyooyeshwa na hao ukiangalia hakuna picha ya wazi kuonesha uso wa mwanajeshi wetu.

Sasa turudi kwenye mada kuu, Joshua Molel kaingia Israel mwezi September 2023 ,kauwawa October 2023.

Joshua alitokea chuoni na wenzie wapo ni ushahidi tosha alikuwa mwanafunzi na ushahidi upo.

Je unaweza kutupa ushahidi Joshua alikua mwanajeshi kutoka Tanzania kwenda Israel ?

Hii ndio ingempa justification ya yeye kupokelewa na kupewa mafunzo ya kijeshi na sio kutoka kama raia wa kawaida kwenda nchi nyingine na kwenda kuanza kozi ya jeshi mara ya kwanza.

Naomba uweke ushahidi Joshua alikuwa kambi gani ya jeshi kabla hajatoka Tanzania.
Ukipata jibu nitag mkuu
 
Sijui kwanini tunakuwa wavivu wa kutafta taarifa sahihi zaidi ya upotoshaji.ukienda pale SUA vijana wengi wamepitia mafunzo Israel ya kilimo nenda SUA watafte SUGECO uone wanavyopeleka vijana Kila mwaka Israel kujifunza kilimo Sasa wewe umekaa hapo unaamua kuandika upotoshaji na kuwalaumu mawaziri shame on you
 
Tusihangaike kusaka mchawi, Makamba na Bashe wanaujuwa ukweli. Ninaamini na mama Samia kwa sasa atakuwa anaujuwa ukweli.

Januari jana kasema wazazi wa kijana aliyeuliwa atakwenda Israel. Tujiulize toka lini wazazi wa mfiwa yeyote yule Tanzania wakapelekwa nje alipokufa? Siri hii anayo Makamba na Bashe.

Bashe anafahamu kwa kuwa yeye alituaminisha hao vijana wanakwenda kusomea kilimo. Cha kujiuliza vijana 260 wapelekwe Israel wakasomee kilimo badala ya kuja myahudi mmoja au wawili hapa wakawafundisha vijana kibao, na vyuo na vituo vya kilimo tunavyo?

Kuna siri hapo na Bashe pia anaijuwa.

Naamini kabisa, vijana hao hawakupelekwa kujifunza kulima pekee, wamepekwa pia kufundisha mambo ya kijeshi na kivita na au wwengine watabaki israel kuendeleza kuuwa Wapalestina au wengine watakaorudi huku watakuwa ni "reserve" wa jeshi la Israel


Hili sasa hivi lipo wazi kabisa, ushahidi ni hii picha inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii:

View attachment 2847132
Sijawahi kuona bibi kizee mwenye akili za hovyo kama wewe!! Israel imekosa wapiganaji tena wenye weredi kupambana na hao magaidi wanyonya damu wa kiarabu? Hili swali ungemuuliza Samia kwasababu Makamba na Bashe ni watekelezaji wa maagizo ya serikali yake. Udini umewakaba hadi kwenye nafasi ya kupumlia. Mlitaka hao vijana wapelekwe kujifunza kilimo Dubai au Oman kwa wajomba zenu?

Hao Waarabu mashetani wa Hamas wameshawajibu kwamba wanaua raia wa kigeni wanaopatika Israel kupeleka ujumbe kwa jumuiya ya kimataifa kuwa Israel siyo pahala salama. Nyie waafidhina mnatuletea hadidhi zenu za ubaguzi wa kidini. Nendeni mkawasaidie hao magaidi wenzenu kuliko kupigapiga makelele kutafuta huruma. Walichokoza ngoja wapate walichokitafuta.
 
Hao madogo waliokufa ni walienda internship israel wakitokea SUA tafuta majina yao kwenye website ya SUA utawaona acha ukichaa na utahira wa kuzusha habari za kusadikika kwa vile dini yenu imeguswa kuwa na utu dhidi ya mtanzania mwenzako
Huna akili wewe bado akili yako haijakuwa, kwani hakuna wanaofundishwa mafunzo ya jeshi huko ?
Halafu mnajifanya mna huruma sana kwa hao vijana ila mtanzania anapochomwa moto kisa kaiba yeboyebo unachekelea
Wewe ndio shetani unaona police anachukua rushwa ya 10.000 analiachia bus lenye tairi kipara,linaenda kuuwa watu mbele halafu report inaandikwa break na nyie mnaona sawa tu

Akili matope eti unajifanya una huruma sana
Nani kaongelea mabaya ya vijana au unajishuku tu kwa chuki ya udini
Haya kasherehekee hii
Screenshot_20231219_185418_Instagram~2.png
 
Ni mpumbavu Tu ndo anaamini mtu ataenda Israel kujifunza kilimo'....

Na mtu mpumbavu zaidi ndo anaamini kuwa "the so called mwanafunzi " wa kilimo alikuwa attacked innocently.....

Watu wenye akili wanajua there is more to the story ....
Hata mimi nilikuwa nashangaa. Inawezekanaje.
 
Ni mpumbavu Tu ndo anaamini mtu ataenda Israel kujifunza kilimo'....

Na mtu mpumbavu zaidi ndo anaamini kuwa "the so called mwanafunzi " wa kilimo alikuwa attacked innocently.....

Watu wenye akili wanajua there is more to the story ....
We ni kati ya wanadamu wapamnavu sana.
Program ya wanafunzi wa SUA kwenda Israel kwa ajili ya internship ya kilimo ipo kwa miaka mingi iliyopita, kila mwaka wanaenda.
Yani upo tayari kuhalalisha mauaji ya kikatili ya mtanzania mwenzako asiye na hatia ili tu kutetea magaidi wenzako, waumini wenzako wa dini ya majini na mashetani. Cha kushangaza hata hamuonyeshi ushahidi wowote kuwa kijana alistahili kuuawa.
Kweli ukiwa huko unakuwa punguwani kabisa.
 
Jeshi la israel na taasisi zingine kama immigration,polisi n.k kuna waafrika wengi tu hasa waethipia na waeritrea,na si kama eti wanawachukua chukua tu kama unavyoaminisha watu hapa,uwa wanakua raia wa israel kabisa
Wayahudi walizaa na waethiopia kuna kizazi chao huku africa
 
Back
Top Bottom