Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kalemani alikuwa na miundombinu yake? shame on youShida ya umeme tz siyo kiwango Bali miundombinu ya kuufikisha kwa walaji...ilitakiwa ulijue hili tangu siku nyingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kalemani alikuwa na miundombinu yake? shame on youShida ya umeme tz siyo kiwango Bali miundombinu ya kuufikisha kwa walaji...ilitakiwa ulijue hili tangu siku nyingi
Kwani haukuwa ukikatika!?Kalemani alikuwa na miundombinu yake? shame on you
Ndo ukweli wenyewe.Kwa hivyo kama hawalisikilizi Bunge ambalo ndiyo wawakilishi wa wananchi maana yake hakuna sababu ya kuwepo kwa Bunge??
Usiku na Mchana lkn kwa miaka Miwili Unusu walijenga only 30%!Kuna tofauti ya ufanyaji kazi. Miradi mingi ya Magufuli kazi zilifanyika usiku na mchana.
Nakumbuka ile SGR waziri Kamwele aliwahi kuvamia site usiku akakuta kazi inaendelea.
Sasa haya mambo January hawezi. Anataka kula bata tu huku akitembea na cheo cha uwaziri.
Hujajibu tuhuma, uliambiwa wewe utakuwa donor kantri!Unajua wewe huwa akili yako awamu hii umeicha kwenye masaburi ya kina makamba,unatumia makamasi kufikiri na kuzungumza
Huyu ni juha kwani yeye si mbunge na aliupataje uwaziri. Au unapokuwa waziri ubunge inakoma?Kwa hivyo kama hawalisikilizi Bunge ambalo ndiyo wawakilishi wa wananchi maana yake hakuna sababu ya kuwepo kwa Bunge??
Umenena kweli tupu kuhusu Jk.Anasikiliza Bunge la Jamhuri ya Msoga!
Wamepanga kabisa January atakuwa Rais 2025 na Ridhiwan 2035. Ila Mama ajiangalie, maana amezungukwa na Mbwa mwitu,asipojipanga anaweza asifike 2025.
Wewe uliona wapi Duniani, Waziri hasikilizi Bunge! JK na Rostam ni watu hatari kwa usalama wa nchi.
Umesikia bei huko.? Wakulima wanalia. Ndio utajua JPM alikuwa mwanaume.January Makamba sasa ndiye waziri wa nishati na umeme, huku kusini wale KANGOMBA wanafanya shughuli zao.
Korosho inavunwa na kuuzwa bila kutumia JWTZ
afufuke sasa
Ni ujinga kukubaliana na ujingaNakubaliana na usemi wa Makamba.
Tusisahau fiksi nyingi tulizolishwa Awamu ya Mwendazake, ingawaze Mwendazake ata enziwa kwa kuanza ujenzi wa huu mradi.
Kama atakuwepo, na hasa kama atakuwepo kwenye wizara husikaMuda utakuwa hakimu, nina uhakika 2024 hatakosa neno la kujitetea
Ila kweli kabisa hawa jamaa kuwaamini inabidi mtu ujitoe sanaa.Akiwa Clouds TV, waziri wa nishati January Makamba amesema bwawa la kuzalisha umeme la mwalimu Nyerere linaisha mwezi Juni mwaka 2024 na wameamua kwenda na uhalisia na hawaoni aibu kusema litaenda miaka miwili mbele kuliko tarehe iliyotarajiwa kwani kwa namna yoyote isingewezekana ile tarehe ilitangazwa awali.
Awali Makamba amesema bwawa limeanza kujengwa Disemba 2018 na mpaka 2021(awamu ya tano) lilikuwa limejengwa kwa asilimia 37 kwa miaka miwili na nusu lakini mwaka mmoja(Awamu ya sita) limefika asilimia 74.
Makamba amesema wameongeza usimamizi na wamebadilisha 'Project Management' na wametumia pesa zaidi kupitia Tanesco kuhakikisha unakamilika kwa viwango na ubora.
Makamba pia amesema wameweka vichwa vyao pale na watapoinua uwe umeisha hivyo mambo ya Bungeni wao hawayasikilizi bali wanasimamia mradi vizuri na hali ilipo ni nzuri.
Awamu iliyopita ilidhamiria kumaliza bwawa la Nyerere Juni mwaka huu wa 2022.
Kuhusu hali ya umeme nchini, Makamba amesema umeme unaozalishwa nchini ni megawatts 1700 na mahitaji ya juu ni megawatts 1500 hivyo nchi inajitosheleza.
Mwerevu huona maana kati vile washamba huona ujinga.