Makamba unampa taarifa za uongo Rais kwa faida ya nani?

Makamba unampa taarifa za uongo Rais kwa faida ya nani?

saidoo25

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
624
Reaction score
1,456
Kwa Mujibu wa Hotuba ya Bajeti ya Waziri wa Nishati kwa mwaka 2021/2022 nanukuu "Kuendelea na Ujenzi wa Mradi wa Julius Nyerere Hydro Power Project (JNHPP) MW 2,115 ambao hadi kufikia mwezi Mei, 9 2021 utekelezaji wake kwa ujumla umefikia asilimia 52'" mwisho wa kunukuu.

Sasa juzi Januari Makamba akamdanganya tena Mh Rais kwamba 2021 wakati anaingia mradi ulikuwa kwa asilimia 37, Mwigulu naye akihojiwa na Clouds naye akasema wakati Rais anaingia mradi ulikuwa asilimia 12.

Sasa kama Januari akiwa kwenye Umma anamdanganya kwa kiwango hiki Mh Rais swali je wanapokuwa kwenye vikao vya ndani kama Baraza la Mawaziri au vikao vya wao wawili anamdanganya mambo mangapi juu ya uendeshaji wa nchi yetu.

Pascal Mayalla mfuatilie na mkalitazame na hili.
 
Kwa Mujibu wa Hotuba ya Bajeti ya Waziri wa Nishati kwa mwaka 2021/2022 nanukuu "Kuendelea na Ujenzi wa Mradi wa Julius Nyerere Hydro Power Project (JNHPP) MW 2,115 ambao hadi kufikia mwezi Mei, 9 2021 utekelezaji wake kwa ujumla umefikia asilimia 52'" mwisho wa kunukuu.

Sasa juzi Januari Makamba akamdanganya tena Mh Rais kwamba 2021 wakati anaingia mradi ulikuwa kwa asilimia 37, Mwigulu naye akihojiwa na Clouds naye akasema wakati Rais anaingia mradi ulikuwa asilimia 22.

Pascal Mayalla mfuatilie na mkalitazame na hili.
Ah ah umenichekesha sana, kama kweli alisema hivyo basi nadhan uongo huwa ni kipaji aiseh
 
Mkuu subiri majibu yanakuja. Mh Pascal Mayalla typing huku anatembea 😂😂😂
 

Attachments

  • Screenshot_20221224-171838.jpg
    Screenshot_20221224-171838.jpg
    38.4 KB · Views: 4
Kwa Mujibu wa Hotuba ya Bajeti ya Waziri wa Nishati kwa mwaka 2021/2022 nanukuu "Kuendelea na Ujenzi wa Mradi wa Julius Nyerere Hydro Power Project (JNHPP) MW 2,115 ambao hadi kufikia mwezi Mei, 9 2021 utekelezaji wake kwa ujumla umefikia asilimia 52'" mwisho wa kunukuu.

Sasa juzi Januari Makamba akamdanganya tena Mh Rais kwamba 2021 wakati anaingia mradi ulikuwa kwa asilimia 37, Mwigulu naye akihojiwa na Clouds naye akasema wakati Rais anaingia mradi ulikuwa asilimia 22.

Pascal Mayalla mfuatilie na mkalitazame na hili.
Mama akidanganywa na Makamba na Mwigulu huwa hakunaga matatizo.
 
Kwa Mujibu wa Hotuba ya Bajeti ya Waziri wa Nishati kwa mwaka 2021/2022 nanukuu "Kuendelea na Ujenzi wa Mradi wa Julius Nyerere Hydro Power Project (JNHPP) MW 2,115 ambao hadi kufikia mwezi Mei, 9 2021 utekelezaji wake kwa ujumla umefikia asilimia 52'" mwisho wa kunukuu.

Sasa juzi Januari Makamba akamdanganya tena Mh Rais kwamba 2021 wakati anaingia mradi ulikuwa kwa asilimia 37, Mwigulu naye akihojiwa na Clouds naye akasema wakati Rais anaingia mradi ulikuwa asilimia 22.

Pascal Mayalla mfuatilie na mkalitazame na hili.
Mkuu saidoo25, mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni, kiukweli kabisa hawa vijana 3, January, Mwigulu na Nape, wanamsaidia sana Samia!.

Kufuatia Magufulification style of working, viongozi wengi wamekuwa na nidhamu ya uoga hivyo walikuwa wanamdanganya JPM, hili la nidhamu ya uoga, nililizungumza Je, Hizi Terorizing za Ziara za Kushtukiza, Hakutajenga Nidhamu ya Woga, Kutasaidia?!. ilifikia kiwango taasisi za umma zinakopa bank kupeleka gawio kwa JPM zionekane zinazalisha faida!.

Kufuatia uoga huu JPM akawa anaogopwa hadi kudanganywa!. January ni mmoja wa mawaziri vijana very bold, ataisema ukweli wa mambo ulivyo na sio kufurahisha watu, kuhusu mradi wa JNHPP, January amesema kila kitu
Enzi za JPM, focus ya mradi huu ilikuwa ni ujenzi tuu wa bwawa, enzi za Samia kupitia January focus sio bwawa tuu bali na miundo mbinu ya kuusambaza umeme huu, mafanikio isiwe kumaliza bwawa au kulijaza maji bali umeme uzalishwe utumike!. Hizo data za mwanzo ni zile January alizozikuta zikimdanganya JPM, sasa anatoa data za ukweli.

P
 
Mkuu saidoo25, mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni, kiukweli kabisa hawa vijana 3, January, Mwigulu na Nape, wanamsaidia sana Samia!.

Kufuatia Magufulification style of working, viongozi wengi wamekuwa na nidhamu ya uoga hivyo walikuwa wanamdanganya JPM, hili la nidhamu ya uoga, nililizungumza Je, Hizi Terorizing za Ziara za Kushtukiza, Hakutajenga Nidhamu ya Woga, Kutasaidia?!. ilifikia kiwango taasisi za umma zinakopa bank kupeleka gawio kwa JPM zionekane zinazalisha faida!.

Kufuatia uoga huu JPM akawa anaogopwa hadi kudanganywa!. January ni mmoja wa mawaziri vijana very bold, ataisema ukweli wa mambo ulivyo na sio kufurahisha watu, kuhusu mradi wa JNHPP, January amesema kila kitu
Enzi za JPM, focus ya mradi huu ilikuwa ni ujenzi tuu wa bwawa, enzi za Samia kupitia January focus sio bwawa tuu bali na miundo mbinu ya kuusambaza umeme huu, mafanikio isiwe kumaliza bwawa au kulijaza maji bali umeme uzalishwe utumike!. Hizo data za mwanzo ni zile January alizozikuta zikimdanganya JPM, sasa anatoa data za ukweli.

P

Hawa watu hakuna wanachokifanya creativity kwenye kazi wanayoifanya kwa maslai ya taifa ni zero, Baado unawasifia sema kama unatengeneza mazingira yako hongera kwako, ila hao jamaa ni liability kwa taifaa
 
Mkuu saidoo25, mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni, kiukweli kabisa hawa vijana 3, January, Mwigulu na Nape, wanamsaidia sana Samia!.

Kufuatia Magufulification style of working, viongozi wengi wamekuwa na nidhamu ya uoga hivyo walikuwa wanamdanganya JPM, hili la nidhamu ya uoga, nililizungumza Je, Hizi Terorizing za Ziara za Kushtukiza, Hakutajenga Nidhamu ya Woga, Kutasaidia?!. ilifikia kiwango taasisi za umma zinakopa bank kupeleka gawio kwa JPM zionekane zinazalisha faida!.

Kufuatia uoga huu JPM akawa anaogopwa hadi kudanganywa!. January ni mmoja wa mawaziri vijana very bold, ataisema ukweli wa mambo ulivyo na sio kufurahisha watu, kuhusu mradi wa JNHPP, January amesema kila kitu
Enzi za JPM, focus ya mradi huu ilikuwa ni ujenzi tuu wa bwawa, enzi za Samia kupitia January focus sio bwawa tuu bali na miundo mbinu ya kuusambaza umeme huu, mafanikio isiwe kumaliza bwawa au kulijaza maji bali umeme uzalishwe utumike!. Hizo data za mwanzo ni zile January alizozikuta zikimdanganya JPM, sasa anatoa data za ukweli.

P
Umejishushia hadhi kwa namna fulani. Sipo kumsifu JPM au kukubali uongo na uoga kwa watendakazi wake lkn . Tukuukulize kama mwana habari nguli na mwanasheria.
1. Ipi tuianini alipokea bwawa likiwa 52% au 37% na pia je aliyesema 22% naye akiwa kiongozi nani mkweli?

2. Umesena JpM alikuwa na ujenzi tu wa Bwawa, je hii ni kweli? Kuwa usalishaji wa hizo megawat zaidi ya 2000 hazikuwa kwenye lengo na wala usambazaji wake. Je hayo maji wangejaza kwa ajili ya uogeleaji au kufugia samaki na kilimo?

Nchi imejaa kujipendekeza ili mtu apewe nafasi ya kula i.e hayupo yanayetumika kwa ajili ya nchi.
 
Mkuu saidoo25, mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni, kiukweli kabisa hawa vijana 3, January, Mwigulu na Nape, wanamsaidia sana Samia!.

Kufuatia Magufulification style of working, viongozi wengi wamekuwa na nidhamu ya uoga hivyo walikuwa wanamdanganya JPM, hili la nidhamu ya uoga, nililizungumza Je, Hizi Terorizing za Ziara za Kushtukiza, Hakutajenga Nidhamu ya Woga, Kutasaidia?!. ilifikia kiwango taasisi za umma zinakopa bank kupeleka gawio kwa JPM zionekane zinazalisha faida!.

Kufuatia uoga huu JPM akawa anaogopwa hadi kudanganywa!. January ni mmoja wa mawaziri vijana very bold, ataisema ukweli wa mambo ulivyo na sio kufurahisha watu, kuhusu mradi wa JNHPP, January amesema kila kitu
Enzi za JPM, focus ya mradi huu ilikuwa ni ujenzi tuu wa bwawa, enzi za Samia kupitia January focus sio bwawa tuu bali na miundo mbinu ya kuusambaza umeme huu, mafanikio isiwe kumaliza bwawa au kulijaza maji bali umeme uzalishwe utumike!. Hizo data za mwanzo ni zile January alizozikuta zikimdanganya JPM, sasa anatoa data za ukweli.

P

Mkuu Pascal Mayalla Hotuba tunayoinukuu ni Mwaka wa Fedha 2021/2022 ambayo iliwasilishwa bungeni Mwezi Juni 2021 ambapo JPM alishafariki katikati ya Machi 2021.... Hivyo hiyo Hotuba na hizo takwimu huwezi kuziita za uongo na zililenga kumdanganya Magufuli kwani alikuwa ameshalala mauti.

Swali la Msingi hapa ni kwanini Januari amdangaye Rais kuhusu Asilimia wakati hiyo taarifa ni ya Wizara ya Nishati na sio taarifa ya Familia yake ya WAZURI HAWAFI.

Hii sio mara ya kwanza kwa Januari kumdanganya Rais mbele ya Umma rejea tukio la Geita kuhusu Idadi ya Vijiji vilivyounganishwa na umeme Vs vijiji vilivyoko Mkoa wa Geita.

Rejea majibu yake bungeni kuhusu sababu za kukatika umeme

Mwisho umesikiliza tukio la kujaza maji juzi, umesikia Januari amesema mradi utakamilika lini? na je kuhusu madai ya Serikali ya Trilioni 1.5 kama faini ya kuchelewesha mradi nayo umemsikia amesema nini?

Hakuna mtu anayemchukua Januari personaly, ni mtu muungwana sana na ni kipenzi cha waandishi wa habari na wasanii ila hapa tunazungumzia madaraka ya uwaziri ambao ni mali ya umma.
 
Hawa watu hakuna wanachokifanya creativity kwenye kazi wanayoifanya kwa maslai ya taifa ni zero, Baado unawasifia sema kama unatengeneza mazingira yako hongera kwako, ila hao jamaa ni liability kwa taifaa
Nitajie Waziri yoyote ndani ya serikali ya JPM na Samia, ambaye ni bold enough angeweza kusema ukweli mchungu kama huu?.
Nani angethubutu kuyasema haya?.
P
 
Mkuu saidoo25, mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni, kiukweli kabisa hawa vijana 3, January, Mwigulu na Nape, wanamsaidia sana Samia!.

Kufuatia Magufulification style of working, viongozi wengi wamekuwa na nidhamu ya uoga hivyo walikuwa wanamdanganya JPM, hili la nidhamu ya uoga, nililizungumza Je, Hizi Terorizing za Ziara za Kushtukiza, Hakutajenga Nidhamu ya Woga, Kutasaidia?!. ilifikia kiwango taasisi za umma zinakopa bank kupeleka gawio kwa JPM zionekane zinazalisha faida!.

Kufuatia uoga huu JPM akawa anaogopwa hadi kudanganywa!. January ni mmoja wa mawaziri vijana very bold, ataisema ukweli wa mambo ulivyo na sio kufurahisha watu, kuhusu mradi wa JNHPP, January amesema kila kitu
Enzi za JPM, focus ya mradi huu ilikuwa ni ujenzi tuu wa bwawa, enzi za Samia kupitia January focus sio bwawa tuu bali na miundo mbinu ya kuusambaza umeme huu, mafanikio isiwe kumaliza bwawa au kulijaza maji bali umeme uzalishwe utumike!. Hizo data za mwanzo ni zile January alizozikuta zikimdanganya JPM, sasa anatoa data za ukweli.

P

 
Mkuu Pascal Mayalla Hotuba tunayoinukuu ni Mwaka wa Fedha 2021/2022 ambayo iliwasilishwa bungeni Mwezi Juni 2021 ambapo JPM alishafariki katikati ya Machi 2021.... Hivyo hiyo Hotuba na hizo takwimu huwezi kuziita za uongo na zililenga kumdanganya Magufuli kwani alikuwa ameshalala mauti.
Hiyo ilikuwa bajeti ya JPM!. Kiukweli kabisa this young fellow is very bold!, hebu msikilize hapa, Waziri mwingine gani wa Samia angeweza kutamka haya?.
P
 
Back
Top Bottom