Mkuu
saidoo25, mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni, kiukweli kabisa hawa vijana 3, January, Mwigulu na Nape, wanamsaidia sana Samia!.
Kufuatia Magufulification style of working, viongozi wengi wamekuwa na nidhamu ya uoga hivyo walikuwa wanamdanganya JPM, hili la nidhamu ya uoga, nililizungumza
Je, Hizi Terorizing za Ziara za Kushtukiza, Hakutajenga Nidhamu ya Woga, Kutasaidia?!. ilifikia kiwango taasisi za umma zinakopa bank kupeleka gawio kwa JPM zionekane zinazalisha faida!.
Kufuatia uoga huu JPM akawa anaogopwa hadi kudanganywa!. January ni mmoja wa mawaziri vijana very bold, ataisema ukweli wa mambo ulivyo na sio kufurahisha watu, kuhusu mradi wa JNHPP, January amesema kila kitu
Enzi za JPM, focus ya mradi huu ilikuwa ni ujenzi tuu wa bwawa, enzi za Samia kupitia January focus sio bwawa tuu bali na miundo mbinu ya kuusambaza umeme huu, mafanikio isiwe kumaliza bwawa au kulijaza maji bali umeme uzalishwe utumike!. Hizo data za mwanzo ni zile January alizozikuta zikimdanganya JPM, sasa anatoa data za ukweli.
P