Mkuu nafikiri ulimaanisha "bald" na sio "bold"πHiyo ilikuwa bajeti ya JPM!. Kiukweli kabisa this young fellow is very bold!,
Rais Samia walishamgeuza mtu wao wa kumdanganya. Na siyo hilo tu, bali hata usimamizi wa mradi eti January anajifanya alipochaguliwa yeye akashauriwa afuate project managament science, yaani uongo mtupu. January hataki kabisa bwawa liishe ili mgao uendelee. Anapika data kumdanganya rais Samia. Tulishamshauri rais Samia fukuza haraka Mwigulu na January wote hao wanamhujumu ni mijamaa maongo maongoKwa Mujibu wa Hotuba ya Bajeti ya Waziri wa Nishati kwa mwaka 2021/2022 nanukuu "Kuendelea na Ujenzi wa Mradi wa Julius Nyerere Hydro Power Project (JNHPP) MW 2,115 ambao hadi kufikia mwezi Mei, 9 2021 utekelezaji wake kwa ujumla umefikia asilimia 52'" mwisho wa kunukuu.
Sasa juzi Januari Makamba akamdanganya tena Mh Rais kwamba 2021 wakati anaingia mradi ulikuwa kwa asilimia 37, Mwigulu naye akihojiwa na Clouds naye akasema wakati Rais anaingia mradi ulikuwa asilimia 22.
Sasa kama Januari akiwa kwenye Umma anamdanganya kwa kiwango hiki Mh Rais swali je wanapokuwa kwenye vikao vya ndani kama Baraza la Mawaziri au vikao vya wao wawili anamdanganya mambo mangapi juu ya uendeshaji wa nchi yetu.
Pascal Mayalla mfuatilie na mkalitazame na hili.
Wewe ni kaka yangu lakini sikuungi mkono kuwatetea January na Nape!!Nitajie Waziri yoyote ndani ya serikali ya JPM na Samia, ambaye ni bold enough angeweza kusema ukweli mchungu kama huu?.Nani angethubutu kuyasema haya?.
P
Mkuu saidoo25, mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni, kiukweli kabisa hawa vijana 3, January, Mwigulu na Nape, wanamsaidia sana Samia!.
Kufuatia Magufulification style of working, viongozi wengi wamekuwa na nidhamu ya uoga hivyo walikuwa wanamdanganya JPM, hili la nidhamu ya uoga, nililizungumza Je, Hizi Terorizing za Ziara za Kushtukiza, Hakutajenga Nidhamu ya Woga, Kutasaidia?!. ilifikia kiwango taasisi za umma zinakopa bank kupeleka gawio kwa JPM zionekane zinazalisha faida!.
Kufuatia uoga huu JPM akawa anaogopwa hadi kudanganywa!. January ni mmoja wa mawaziri vijana very bold, ataisema ukweli wa mambo ulivyo na sio kufurahisha watu, kuhusu mradi wa JNHPP, January amesema kila kituEnzi za JPM, focus ya mradi huu ilikuwa ni ujenzi tuu wa bwawa, enzi za Samia kupitia January focus sio bwawa tuu bali na miundo mbinu ya kuusambaza umeme huu, mafanikio isiwe kumaliza bwawa au kulijaza maji bali umeme uzalishwe utumike!. Hizo data za mwanzo ni zile January alizozikuta zikimdanganya JPM, sasa anatoa data za ukweli.
P
Mkuu saidoo25, mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni, kiukweli kabisa hawa vijana 3, January, Mwigulu na Nape, wanamsaidia sana Samia!.
Kufuatia Magufulification style of working, viongozi wengi wamekuwa na nidhamu ya uoga hivyo walikuwa wanamdanganya JPM, hili la nidhamu ya uoga, nililizungumza Je, Hizi Terorizing za Ziara za Kushtukiza, Hakutajenga Nidhamu ya Woga, Kutasaidia?!. ilifikia kiwango taasisi za umma zinakopa bank kupeleka gawio kwa JPM zionekane zinazalisha faida!.
Kufuatia uoga huu JPM akawa anaogopwa hadi kudanganywa!. January ni mmoja wa mawaziri vijana very bold, ataisema ukweli wa mambo ulivyo na sio kufurahisha watu, kuhusu mradi wa JNHPP, January amesema kila kituEnzi za JPM, focus ya mradi huu ilikuwa ni ujenzi tuu wa bwawa, enzi za Samia kupitia January focus sio bwawa tuu bali na miundo mbinu ya kuusambaza umeme huu, mafanikio isiwe kumaliza bwawa au kulijaza maji bali umeme uzalishwe utumike!. Hizo data za mwanzo ni zile January alizozikuta zikimdanganya JPM, sasa anatoa data za ukweli.
P
Mayalla wewe ni muandishi mkubwa usijivunjie heshima yako kwa kuandika hisia zako badala ya mambo halisi, ukweli tupu.Mkuu saidoo25, mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni, kiukweli kabisa hawa vijana 3, January, Mwigulu na Nape, wanamsaidia sana Samia!.
Kufuatia Magufulification style of working, viongozi wengi wamekuwa na nidhamu ya uoga hivyo walikuwa wanamdanganya JPM, hili la nidhamu ya uoga, nililizungumza Je, Hizi Terorizing za Ziara za Kushtukiza, Hakutajenga Nidhamu ya Woga, Kutasaidia?!. ilifikia kiwango taasisi za umma zinakopa bank kupeleka gawio kwa JPM zionekane zinazalisha faida!.
Kufuatia uoga huu JPM akawa anaogopwa hadi kudanganywa!. January ni mmoja wa mawaziri vijana very bold, ataisema ukweli wa mambo ulivyo na sio kufurahisha watu, kuhusu mradi wa JNHPP, January amesema kila kituEnzi za JPM, focus ya mradi huu ilikuwa ni ujenzi tuu wa bwawa, enzi za Samia kupitia January focus sio bwawa tuu bali na miundo mbinu ya kuusambaza umeme huu, mafanikio isiwe kumaliza bwawa au kulijaza maji bali umeme uzalishwe utumike!. Hizo data za mwanzo ni zile January alizozikuta zikimdanganya JPM, sasa anatoa data za ukweli.
P
Yawezekana kaka Pasco aliandikiwa na Steve Nyerere, maana ametiririka kama anavizia fadhilaPascal naomba nisielezee sana ila sio kweli ukisemacho hapa. Nimetoka kwenye mradi Disemba, 2021 na nilikua naingia kwenye kikao kikubwa kabisa kati ya TANESCO(Client), TECU(Consultant) na JVACEE(Contractor) na tulikua tuko 49%.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni The late Magufuli did very serious job pale.
Ungemuuliza pia hivi kwa ile Tumbua tumbua ya JPM mtu angeanzaje danganya.Mayalla wewe ni muandishi mkubwa usijivunjie heshima yako kwa kuandika hisia zako badala ya mambo halisi, ukweli tupu.
Enzi za JPM akisema nataka mradi huu ukamilike wakati fulani ni kweli anafuatilia unakamilika muda aliopanga au unapitiliza kidogo sana.
Tumeona hilo kwenye barabara, miradi ya maji, vivuko, flyovers, ndege, mifumo ya kukusanya mapato ya kielektroniki, madaraja, umeme wa REA, umeme haukukatika ovyo, hakukuwa na mgawo wa umeme kwa miaka yake yote aliyokaa Ikulu n.k.
Hii ina maana alipewa taarifa sahihi.
Unafikiri mtu mfuatiliji kama JPM unaweza kumdanganya kwa kukopa bank wakati alikuwa na watu wake kila sehemu? Jinsi alivyo fuatilia mienendo ya kifedha ya bank zote unafikiri itakuwa rahisi taasisi ya umma kukopa kwa kificho bila yeye kujuwa? Hivi mnaijuwa taasisi ya uraisi nyie watu?
Acheni kujipendekeza kiasi hiki mnaangamiza taifa hamsaidii Mh. Raisi Samia kwa kupotosha taarifa au kumponda mtangulizi wake.
Huyo mtu haaminiki na waTanzania wengi sana, ukikaa mitaani muda wa mapumziko ya jioni unawasikia watu wakianza tu kuongelea Serikali na viongozi, vinywa na mawazo ya maongezi yote yanasema vibaya sana kuhusu huyo jamaa, na nibkweli huyu ni dishi limeyumba sanaKwa Mujibu wa Hotuba ya Bajeti ya Waziri wa Nishati kwa mwaka 2021/2022 nanukuu "Kuendelea na Ujenzi wa Mradi wa Julius Nyerere Hydro Power Project (JNHPP) MW 2,115 ambao hadi kufikia mwezi Mei, 9 2021 utekelezaji wake kwa ujumla umefikia asilimia 52'" mwisho wa kunukuu.
Sasa juzi Januari Makamba akamdanganya tena Mh Rais kwamba 2021 wakati anaingia mradi ulikuwa kwa asilimia 37, Mwigulu naye akihojiwa na Clouds naye akasema wakati Rais anaingia mradi ulikuwa asilimia 22.
Sasa kama Januari akiwa kwenye Umma anamdanganya kwa kiwango hiki Mh Rais swali je wanapokuwa kwenye vikao vya ndani kama Baraza la Mawaziri au vikao vya wao wawili anamdanganya mambo mangapi juu ya uendeshaji wa nchi yetu.
Pascal Mayalla mfuatilie na mkalitazame na hili.
Bro, tafadhari, huyu ndugu haaminiki, kwanza hua anaongea akiwa ni mwenye chuki kubwa sana ndani yake, si mnasemaga wengi wape? Basi mitaani na kundi la waTanzania wengi hawamuamini hata chembeMkuu saidoo25, mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni, kiukweli kabisa hawa vijana 3, January, Mwigulu na Nape, wanamsaidia sana Samia!.
Kufuatia Magufulification style of working, viongozi wengi wamekuwa na nidhamu ya uoga hivyo walikuwa wanamdanganya JPM, hili la nidhamu ya uoga, nililizungumza Je, Hizi Terorizing za Ziara za Kushtukiza, Hakutajenga Nidhamu ya Woga, Kutasaidia?!. ilifikia kiwango taasisi za umma zinakopa bank kupeleka gawio kwa JPM zionekane zinazalisha faida!.
Kufuatia uoga huu JPM akawa anaogopwa hadi kudanganywa!. January ni mmoja wa mawaziri vijana very bold, ataisema ukweli wa mambo ulivyo na sio kufurahisha watu, kuhusu mradi wa JNHPP, January amesema kila kituEnzi za JPM, focus ya mradi huu ilikuwa ni ujenzi tuu wa bwawa, enzi za Samia kupitia January focus sio bwawa tuu bali na miundo mbinu ya kuusambaza umeme huu, mafanikio isiwe kumaliza bwawa au kulijaza maji bali umeme uzalishwe utumike!. Hizo data za mwanzo ni zile January alizozikuta zikimdanganya JPM, sasa anatoa data za ukweli.
P
Shida yenu mnapenda kusikia habari mnazopenda kuzisikia au mnazoaminishana hata kama za uongo. Lakini huo ndio ukweli kulikuwa na upishi wa data kwa kiwango kikubwa kumdanganya mzee kuwa kazi inafanyika. Hizo taarifa za kuongopa idadi ya vijiji vilivyounganishwa umeme hazikutolewa ili kumuharibia mtu bali ni uhalisia.Mkuu Pascal Mayalla Hotuba tunayoinukuu ni Mwaka wa Fedha 2021/2022 ambayo iliwasilishwa bungeni Mwezi Juni 2021 ambapo JPM alishafariki katikati ya Machi 2021.... Hivyo hiyo Hotuba na hizo takwimu huwezi kuziita za uongo na zililenga kumdanganya Magufuli kwani alikuwa ameshalala mauti.
Swali la Msingi hapa ni kwanini Januari amdangaye Rais kuhusu Asilimia wakati hiyo taarifa ni ya Wizara ya Nishati na sio taarifa ya Familia yake ya WAZURI HAWAFI.
Hii sio mara ya kwanza kwa Januari kumdanganya Rais mbele ya Umma rejea tukio la Geita kuhusu Idadi ya Vijiji vilivyounganishwa na umeme Vs vijiji vilivyoko Mkoa wa Geita.
Rejea majibu yake bungeni kuhusu sababu za kukatika umeme
Mwisho umesikiliza tukio la kujaza maji juzi, umesikia Januari amesema mradi utakamilika lini? na je kuhusu madai ya Serikali ya Trilioni 1.5 kama faini ya kuchelewesha mradi nayo umemsikia amesema nini?
Hakuna mtu anayemchukua Januari personaly, ni mtu muungwana sana na ni kipenzi cha waandishi wa habari na wasanii ila hapa tunazungumzia madaraka ya uwaziri ambao ni mali ya umma.
Team Kalemani hawatakuelewa mkuu. Umeongea the naked truth.Mkuu saidoo25, mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni, kiukweli kabisa hawa vijana 3, January, Mwigulu na Nape, wanamsaidia sana Samia!.
Kufuatia Magufulification style of working, viongozi wengi wamekuwa na nidhamu ya uoga hivyo walikuwa wanamdanganya JPM, hili la nidhamu ya uoga, nililizungumza Je, Hizi Terorizing za Ziara za Kushtukiza, Hakutajenga Nidhamu ya Woga, Kutasaidia?!. ilifikia kiwango taasisi za umma zinakopa bank kupeleka gawio kwa JPM zionekane zinazalisha faida!.
Kufuatia uoga huu JPM akawa anaogopwa hadi kudanganywa!. January ni mmoja wa mawaziri vijana very bold, ataisema ukweli wa mambo ulivyo na sio kufurahisha watu, kuhusu mradi wa JNHPP, January amesema kila kituEnzi za JPM, focus ya mradi huu ilikuwa ni ujenzi tuu wa bwawa, enzi za Samia kupitia January focus sio bwawa tuu bali na miundo mbinu ya kuusambaza umeme huu, mafanikio isiwe kumaliza bwawa au kulijaza maji bali umeme uzalishwe utumike!. Hizo data za mwanzo ni zile January alizozikuta zikimdanganya JPM, sasa anatoa data za ukweli.
P
Ndio tatizo kubwa walilo nalo. Wanaleta utimu kila sehemu na bahati mbaya wanaamini wao tu ndo watu sahihi na wenye uwezo wa kuwa viongozi wa nchi yetu. Taifa lina watu 60m kila mmoja ana nafasi ya kuwa kiongozi kulingana na utanzania wake, sifa zake, kipaji chake na network yake, ukiwa kiongozi then ukiondolewa just sepa acha wengine wafanya sehemu yao. Hili jambo ni gumu sana kwa waliokuwa viongozi wa awamu ya 5.Team Kalemani hawatakuelewa mkuu. Umeongea the naked truth.
Wamezoea kudanganyana.Kwa Mujibu wa Hotuba ya Bajeti ya Waziri wa Nishati kwa mwaka 2021/2022 nanukuu "Kuendelea na Ujenzi wa Mradi wa Julius Nyerere Hydro Power Project (JNHPP) MW 2,115 ambao hadi kufikia mwezi Mei, 9 2021 utekelezaji wake kwa ujumla umefikia asilimia 52'" mwisho wa kunukuu.
Sasa juzi Januari Makamba akamdanganya tena Mh Rais kwamba 2021 wakati anaingia mradi ulikuwa kwa asilimia 37, Mwigulu naye akihojiwa na Clouds naye akasema wakati Rais anaingia mradi ulikuwa asilimia 22.
Sasa kama Januari akiwa kwenye Umma anamdanganya kwa kiwango hiki Mh Rais swali je wanapokuwa kwenye vikao vya ndani kama Baraza la Mawaziri au vikao vya wao wawili anamdanganya mambo mangapi juu ya uendeshaji wa nchi yetu.
Pascal Mayalla mfuatilie na mkalitazame na hili.
Kabisa, kutwa kucha kuwasimanga viongozi wa awamu ya sita. Na wanamchukia kila mtu aliyepata nafasi katika awamu ya sita ambaye si wa circle yao ya awamu iliyopita.Ndio tatizo kubwa walilo nalo. Wanaleta utimu kila sehemu na bahati mbaya wanaamini wao tu ndo watu sahihi na wenye uwezo wa kuwa viongozi wa nchi yetu. Taifa lina watu 60m kila mmoja ana nafasi ya kuwa kiongozi kulingana na utanzania wake, sifa zake, kipaji chake na network yake, ukiwa kiongozi then ukiondolewa just sepa acha wengine wafanya sehemu yao. Hili jambo ni gumu sana kwa waliokuwa viongozi wa awamu ya 5.
Watu wanaamini eti siasa ni uongo uongo unaofanana na ukweli. !!Kwa Mujibu wa Hotuba ya Bajeti ya Waziri wa Nishati kwa mwaka 2021/2022 nanukuu "Kuendelea na Ujenzi wa Mradi wa Julius Nyerere Hydro Power Project (JNHPP) MW 2,115 ambao hadi kufikia mwezi Mei, 9 2021 utekelezaji wake kwa ujumla umefikia asilimia 52'" mwisho wa kunukuu.
Sasa juzi Januari Makamba akamdanganya tena Mh Rais kwamba 2021 wakati anaingia mradi ulikuwa kwa asilimia 37, Mwigulu naye akihojiwa na Clouds naye akasema wakati Rais anaingia mradi ulikuwa asilimia 22.
Sasa kama Januari akiwa kwenye Umma anamdanganya kwa kiwango hiki Mh Rais swali je wanapokuwa kwenye vikao vya ndani kama Baraza la Mawaziri au vikao vya wao wawili anamdanganya mambo mangapi juu ya uendeshaji wa nchi yetu.
Pascal Mayalla mfuatilie na mkalitazame na hili.