Makambo na Kisinda wanasubiri nini Yanga?

Makambo na Kisinda wanasubiri nini Yanga?

Tz tusikubali kuwa dampo la wachezaji,hasa Simba, Yanga na Azam. Okwa, Dejan, Akpan ni hasara kwa timu
Tunalalamikia Wafanyakazi wa kigeni Wenye taaluma Sawa na Watanzania kuajiriwa kwenye nafasi ambazo zingeweza kushikwa na wazawa tunasahau kuwalalamikia Wachezaji wa kigeni Wenye viwango vibovu kuliko Wazawa. Kisinda Vs Farid, Akpan Vs Mkude.
 
Mimi siyo wa kulalamika but nimefatilia uchezaji wa MAKAMBO na KISINDA kwa msimu huu hakuna kitu wanaisaidia timu bora wapelekwe hata Simba SC kwa mkopo.

Ni kweli sisi ni unbeaten,Tunaongoza ligi,tunaongoza kuwa na furaha,tuna jezi nzuri Africa.Lakini nataka kujua hawa watu wana mchango gani kwa timu Mwenye statistics zao za msimu huu alete hapa.

Timu yetu ina utaratibu wa kutoa misaada kwa wenye uhitaji basi MISHAHARA wanayolipwa hawa watu ingepelekwa huko tungepata faida kubwa sana.Watu wanacheza kama hawalipwi (no fighting spirit)Na benchi la ufundi wanawaangalia tu?.

Halafu nyie mnaosema ile siyo PENALTY mlitaka TULIKATAE? Wakati tunalalamika ubovu wa Marefa NBC PREMIER LEAGUE si mlituita MALALAMIKO FC mara kila MTU ASHINDE MECHI ZAKE(Badala ya kuungana na sisi)?.

Mnasema ndo maana kimataifa hatutoboi,tusipotoboa ndo tunakuwa BEATEN?

Kama nyie mnapata raha KIMATAIFA sisi tumechagua kupata raha hapa Nchini tusichaguliane pls.

Kihimbwa kanituma salamu.
Makambo ana akili ya mpira kuliko yuleee... Ila kwa mpira wenu hamtomwelewa.
 
Mimi siyo wa kulalamika but nimefatilia uchezaji wa MAKAMBO na KISINDA kwa msimu huu hakuna kitu wanaisaidia timu bora wapelekwe hata Simba SC kwa mkopo.

Ni kweli sisi ni unbeaten,Tunaongoza ligi,tunaongoza kuwa na furaha,tuna jezi nzuri Africa.Lakini nataka kujua hawa watu wana mchango gani kwa timu Mwenye statistics zao za msimu huu alete hapa.

Timu yetu ina utaratibu wa kutoa misaada kwa wenye uhitaji basi MISHAHARA wanayolipwa hawa watu ingepelekwa huko tungepata faida kubwa sana.Watu wanacheza kama hawalipwi (no fighting spirit)Na benchi la ufundi wanawaangalia tu?.

Halafu nyie mnaosema ile siyo PENALTY mlitaka TULIKATAE? Wakati tunalalamika ubovu wa Marefa NBC PREMIER LEAGUE si mlituita MALALAMIKO FC mara kila MTU ASHINDE MECHI ZAKE(Badala ya kuungana na sisi)?.

Mnasema ndo maana kimataifa hatutoboi,tusipotoboa ndo tunakuwa BEATEN?

Kama nyie mnapata raha KIMATAIFA sisi tumechagua kupata raha hapa Nchini tusichaguliane pls.

Kihimbwa kanituma salamu.
Kwanza mnalalamikia marefa msipobebwa wala hamna lolote.

Pia kuwa unbeaten ya mchongo mko sawa tu kwa kuwa mmedanganywa mnawachezaji wanajua.

Unalalamikia Kisinda,si aliletwa kupima umri wa Onyango?
Si mmemsajili kwa ajili ya Simba?Mbona mnakuwa na tabia ya kujuzima data kisha mnaongea kama manyani?
 
Umemsahau sure boy jamaa hamna kitu kabisa tena fanya kautafiti pass nyingi anazopiga haziwi complete.Yanga kunamagalasa mengi mnooo dirisha dogo nikuwatema tuu cc Mwamnyeto nae asepe
 
Mzamiru huyu huyu? Ambae ukichanganya viungo wote wa uto aziza ki akiwa kifungashio
Mzamiru kawa bora leo hii? Kasemangwa sans huyu na mashabiki wa Simba kuwa atafanya kazi kubwa lakini maamuzi yake mwishoni ni ovyo. Pasi zake hazina macho, back pass nyingi ila leo ndio anaimbwa tena.

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Huu UZI hauwahusu MANYONYO
Kwanza mnalalamikia marefa msipobebwa wala hamna lolote.

Pia kuwa unbeaten ya mchongo mko sawa tu kwa kuwa mmedanganywa mnawachezaji wanajua.

Unalalamikia Kisinda,si aliletwa kupima umri wa Onyango?
Si mmemsajili kwa ajili ya Simba?Mbona mnakuwa na tabia ya kujuzima data kisha mnaongea kama manyani?
 
Umemsahau sure boy jamaa hamna kitu kabisa tena fanya kautafiti pass nyingi anazopiga haziwi complete.Yanga kunamagalasa mengi mnooo dirisha dogo nikuwatema tuu cc Mwamnyeto nae asepe
Sure boy fundi yule
 
Mzamiru kawa bora leo hii? Kasemangwa sans huyu na mashabiki wa Simba kuwa atafanya kazi kubwa lakini maamuzi yake mwishoni ni ovyo. Pasi zake hazina macho, back pass nyingi ila leo ndio anaimbwa tena.

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Mzamiru chini ya mgunda ameimarika sana
Lazima tumpe sifa zake nadhan sasa hivi yuko kiwango bora zaidi katika maisha yake yote
 
Nyie nyie utopolo fc si mlisema kisinda amekuja kusumbua mabeki wa simba [emoji28]?
 
Back
Top Bottom